Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Nahisi nilimkwaza kwaajiri yako!! Wifi yangu hapendi nitaniane na mtu humu!!
Subiri utaniambia ngoja aweke sababu [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilishaamueleza ukiona chochote huelewi washa moto[emoji23]

Humu uzuri nina dada zangu wengi sana, na nawapenda sana[emoji23][emoji23]
 
FB_IMG_1700334152944.jpg
 
Back
Top Bottom