Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

[emoji7][emoji7][emoji7] Nianze kujibu pm zako sasa, huu ndio ugonjwa wangu.!!
Kumbe Manyanza ni muenchamu na husemi?? Awwww [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Tall, dark, handsome na hii nyingine slim ndio yenyewe kabisaa.!!
Pm zako nazijibu [emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Uduguu Manyanza kanichanganya [emoji81][emoji81][emoji81]
Siku zote niko mpweke kumbe kuna kijana wa moto hivi na nadengua kujibu pm zake, na wewe udugu wangu hata husemi?? Sijapentraaa [emoji23][emoji23][emoji23]
Utakua wizoo angu kwakee, unajua ni mlongo huyoo!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji445]

Kuna muda mi nashindwaa aaah,
kufanya vitu vingi kwako natamani kutimizaa

Ila moyoo, unajua jinsi gani unavotaka kwenda sawa nawee ×2

Na usione km navunja yako heshima, every thing, I think about u babee
Na usione nadharau 7bu ya jina, every thing, I think about u babeee

Aaah Aaah nikipata, umepata babee tunakwenda JUU!!

[emoji445]

[emoji3590][emoji178][emoji179][emoji8][emoji8][emoji8]View attachment 3042568
Awww 🥰🥰🥰
Shemeji yangu ba tamu yuko vyedi
Kapouwaaaaa.!!
Uduguu umeweza, umeweza, umeweza tena.!!
Peke yako JF unamiliki mwanaume mwenye vigezo vya tbs
 
Awww [emoji3059][emoji3059][emoji3059]
Shemeji yangu ba tamu yuko vyedi
Kapouwaaaaa.!!
Uduguu umeweza, umeweza, umeweza tena.!!
Peke yako JF unamiliki mwanaume mwenye vigezo vya tbs
Uduguu huu upambee umeanza linii?
Ba tamu akiwa Golini kwake. Amepoaa mwenyewee.

Ujee umuungishe [emoji158]na sandals ukampee ba tamuu wakoo.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Ntakuja kumuungisha asijali shem lake.
Manyanza kachague kiatu nikulipie ile midundo yako ya tandale sijaielewa [emoji81][emoji81][emoji81]
Kuna siku nimeenda palee nimewakuta vijana wamekaa, nisianze kuzuga kuchagua sandals, had m1 anasema wee kiumbe acha uchawi unachagua mda wote huo huoni?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilitoka na aibuu, afu nilichukiaa hatareee. Sipendi sehemu ya kupata huduma watu, afu wakae watu wengine km kijiwe.

Iwe dukani, saluni etc naborekaa mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna siku nimeenda palee nimewakuta vijana wamekaa, nisianze kuzuga kuchagua sandals, had m1 anasema wee kiumbe acha uchawi unachagua mda wote huo huoni?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nilitoka na aibuu, afu nilichukiaa hatareee. Sipendi sehemu ya kupata huduma watu, afu wakae watu wengine km kijiwe.

Iwe dukani, saluni etc naborekaa mie, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣 wivu huo
Ila kiukweli hata mimi sipendi mtu kuweka kijiwe cha story sehemu ya kazi.
Inafanya wateja wasiingie, halafu mteja akichagua bidhaa hata halisapoti kumshawishi liko busy kukuuliza ujinga.!!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] wivu huo
Ila kiukweli hata mimi sipendi mtu kuweka kijiwe cha story sehemu ya kazi.
Inafanya wateja wasiingie, halafu mteja akichagua bidhaa hata halisapoti kumshawishi liko busy kukuuliza ujinga.!!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akhiii ile siku niliumbukaaa, kwanza mie nikiona sehemu wamejaa wakaka wengi sipiti au sisogeii hapoo.

Yaana wanakeraa balaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom