Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Umevaa nini leo? Tupia uturingishie

Pitiku na chainizi [emoji39][emoji39][emoji39]
Nimekumbuka home. Ngoja leo nitoe vitu vya kwetuu.
Nakwambia pitiku imenoga hatar
Umekumbuka mwez wa 2 kipind Cha mvua ndo mboga kuu mwendo wa pitiku tu😀😀
 
😀😀nimemkumbuka jirani yetu kipind Cha mvua mboga za majani anachuma mchicha bwas,majani ya maboga,majani ya kunde akipata kunde mbili Tatu akiwa Yan bwana wee hiyo combination hatari 😀😀
cocastic
 
[emoji3][emoji3]nimemkumbuka jirani yetu kipind Cha mvua mboga za majani anachuma mchicha bwas,majani ya maboga,majani ya kunde akipata kunde mbili Tatu akiwa Yan bwana wee hiyo combination hatari [emoji3][emoji3]
cocastic
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] alikua anatengeneza libenani, tena kunde ziwee mbaazi aaah wee najilamba had vidoleee.
 
Kuna Skecher na crocs nimeziona km za muuza uduvi 😹😹😹
Hapana sijavielewa kwakweli km anaenda kunywa ulanzi
20240429_184404-jpg.3043026

Mlongo, kwenye [emoji149] unafaili bhana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hebu nipe samples aisee 😂 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom