Babu Kijiwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2010
- 4,830
- 4,729
Habari zenu, kwanza nianze kumpongeza MC Pilipili kwa kupambana, kwa ujumla ni MC mzuri sana tu, turudi kwenye mada.
Mimi ni mdau mkubwa wa vichekesho vya ndani na nje ya nchi yetu. Kimsingi sikumbuki kama kuna siku nimewahi kuchekeshwa na MC Pilipili.
Huwa naangalia vipindi vyake vinavyoitwa vya ucheshi lakini hajawahi kunichekesha hata siku 1, huwezi mfananisha na mtu kama Joti au ile timu ya Mizengwe nk.
Kwa maoni yangu nadhani huyu bwana ni MC na si mchekeshaji au kuna wanao chekeshwa na MC Pilipili?
Mimi ni mdau mkubwa wa vichekesho vya ndani na nje ya nchi yetu. Kimsingi sikumbuki kama kuna siku nimewahi kuchekeshwa na MC Pilipili.
Huwa naangalia vipindi vyake vinavyoitwa vya ucheshi lakini hajawahi kunichekesha hata siku 1, huwezi mfananisha na mtu kama Joti au ile timu ya Mizengwe nk.
Kwa maoni yangu nadhani huyu bwana ni MC na si mchekeshaji au kuna wanao chekeshwa na MC Pilipili?