Umewahi kuchekeshwa na MC Pilipili?

Umewahi kuchekeshwa na MC Pilipili?

Haioneahi unyenyekevu inaonesha ume fake mbele za watu ili wakuone ni mnyenyekevu

Kwaiyo kwako mtu mnyenyekevu ni lazima apige magoti?

Kungekua hivyo basi ndoa zote zilizofungwa kwa kupigiana magoti zisingevunjika wala kusingekua na migogoro ya kindoa kwasababu walioana wote ni wanyenyekevu

Wazungu wakifanya hawakosei?

Ni mangapi ambayo wanafanya wazungu na mnakatazwa msiwaige wazungu?

Wazungu wamehalalisha hadi ushoga we utakubali ushoga kwasababu wazungu wanafanya?

Hiyo tabia ya unyenyekevu ya kupiga magoti unaifanga siku zote za maisha yako au unafanya hapo kwenye hilo tukio kwasababu umeona walio wengi wanapiga magoti?
Kwa hy wewe uli/uta-visha pete umesimama mana hii inaonyesha unyenyekevu kama vile kupiga magoti nk..hadi wazungu wanafanya hivyo, mtanzania kwann asifanye?
Mshikaji yupo tayari kufungwa ndoa ya jinsia moja kisa wazungu nao huwa wanafanya!!!
 
Mimi simuelewi mc pilipil labda anaweza kulia tuu pia idriss nae hamna kitu
 
Unyenyekevu unadhihirishwa kwa njia nyingi, hakuna limit. Kupiga magoti ni njia mojawapo ya kuonyesha unyenyekevu wa jambo..mfn kuomba msamaha, ukiamua unapiga magoti au unaacha..kwahy pilipili aliamua kuonesha kwa mpenzi wake na si kosa bali ni tfsir za watu.


Tofautisha tukio na tukio..uvishwaji wa pete ni tukio moja na ndoa kuvunjika ni tukio la pili..hivyo ni vitu viwili tofauti.


Wazungu kufunga ndoa wanafunga, iwe ni ushoga au kawaida ni lazima unyenyekevu uwepo na wao ni kupitia kupiga goti kama pilipili alivyofanya..ni hivyo kweny ushoga, ni yule anayeolewa ndy anapigiwa..dhana ya kuiga ushoga iache, chukua dhana ya sub-actions ndani ya mchakato wa kufunga ndoa


Hii ishu inategemea na tukio, siwezi kuja ofisin kuomba kazi hlf nipige goti.

kupiga goti siyo ishara ya unyonge..
Mfn Kuomba msamaha kwa mpenz wako unaeza piga goti ukiamua.

Aisee hii hatari sana

Nyie kwenu unyenyekevu mnaupima kwa magoti sio matendo?

Nikija leo kwenu nikipiga magoti basi mtanipa shavu kua mimi mnyenyekevu?

Hii ndio sababu hadi bongo movie jambazi anavua viatu nje kuonesha ishara ya unyenyekevu halafu akiingia ndani anafanya uhalifu

Maisha ya bongo 85% watu wanaishi kwa ku fake
 
Kwenye maisha ni vizuri kuheshimu kazi ya mwenzio na sipendi kucomment negative ila MC pilipili nq Idris hata insta niliunfollow wote...sio wachekeshaji hata kidogooo
Habari zenu, kwanza nianze kumpongeza MC Pilipili kwa kupambana, kwa ujumla ni MC mzuri sana tu, turudi kwenye mada.

Mimi ni mdau mkubwa wa vichekesho vya ndani na nje ya nchi yetu. Kimsingi sikumbuki kama kuna siku nimewahi kuchekeshwa na MC Pilipili.

Huwa naangalia vipindi vyake vinavyoitwa vya ucheshi lakini hajawahi kunichekesha hata siku 1, huwezi mfananisha na mtu kama Joti au ile timu ya Mizengwe nk.

Kwa maoni yangu nadhani huyu bwana ni MC na si mchekeshaji au kuna wanao chekeshwa na MC Pilipili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari zenu, kwanza nianze kumpongeza MC Pilipili kwa kupambana, kwa ujumla ni MC mzuri sana tu, turudi kwenye mada.

Mimi ni mdau mkubwa wa vichekesho vya ndani na nje ya nchi yetu. Kimsingi sikumbuki kama kuna siku nimewahi kuchekeshwa na MC Pilipili.

Huwa naangalia vipindi vyake vinavyoitwa vya ucheshi lakini hajawahi kunichekesha hata siku 1, huwezi mfananisha na mtu kama Joti au ile timu ya Mizengwe nk.

Kwa maoni yangu nadhani huyu bwana ni MC na si mchekeshaji au kuna wanao chekeshwa na MC Pilipili?
Hahaha...nilidhani niko pekeangu aisee, pia Idrisa, maisha bhana..duh, ngoja nikamcheki kwanza brother K asogeze masaa ya mkesha.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kumbe ni mchekeshaji?
Me najuaga ni MC tu.
 
Mzungu ni nan katik maamuzi yako. So mzungu akifanya una justify. Chuja.

Utasikia watu wanaoa wanyama na ndugu zao kisa mzungu alifanya
Kwa hy wewe uli/uta-visha pete umesimama mana hii inaonyesha unyenyekevu kama vile kupiga magoti nk..hadi wazungu wanafanya hivyo, mtanzania kwann asifanye?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukiangalia comments nyingi wengi tumeponda hapa ndio utaona watanzania wengi Tunaroho mbaya Roho ya kwa nini na wengi tumemkatisha tamaa MC pili pili tena kwa mfano mimi sijawahi kumsikiliza akichekesha sasa ndugu zangu kwa mtindo huu hatutofika


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Ilitakiwa hapa tuje na maoni ya Mc pili pili afanye nini ili awe bora zaidi ya alivo kipi aongeze ili asonge mbele yaani roho zetu watanzania ni mbaya sijawahi kuona hii tabia ya kukatisha watu tamaa ni mbaya sana inawarudisha nyuma watu wengi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
manengelo: nadhani umejionea comment zetu wengi wetu ni zaidi ya wachawi kila kitu ni kuponda tu na siajabu hata wengine tunamponda jamaa huku tukiwa na njaa kali wakati tulitakiwa tutoe maoni positive ni nini afanye au aboreshe ili awe bora zaida


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
MC Pilipili kaamua kuongeza products ktk soko lake..

yy kuwa mchekeshaji ni njia ya kujipatia kipato zaidi na hata baadae anaweza pia kuwa mchungaji kama Masanja Mkandamizaji.

pia kwa sasa ana family;lazima ajiongeze

kikubwa hakabi...so anahitaji support!



Sent using Jamii Forums mobile app

Hii ni aina ya uchangiaji tunaopaswa kujifunza hongera mkuu kwa kua positive


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom