Umewahi kuchezea block toka kwa mpenzi wako? (Ushuhuda)

Umewahi kuchezea block toka kwa mpenzi wako? (Ushuhuda)

Naungana na Mwamba 777 Block ni utoto na mambo ya kishamba ila si jambo la kushangaza mwanamke akifanya hivyo maana wanawake ni watoto wakubwa 😅... mtoto mwenye maziwa, anayeweza kuzaa na anayerefuka kimo. Lakini bado ni mtoto. (Mwenye kuelewa ameelewa)

ANAEKU-BLOCK HAKUPENDI! (aidha mwanamke au mwanaume)

usipoteze muda kuumia na kuwaza. Na ukiona Dume linafanya hivi inabidi lifanyiwe tathmini.

Ushauri ni kwamba... Wanawake wapo wengi sana! Hangaika kuchagua kwa makini, unaweza kumpata bora kuliko aliyepita Ingawa si rahisi kumsahau mrembo wako uliyempenda kabla akakuletea utoto akaku-block.

Kumbuka:- Unaweza kuwa blocked mwanzoni ukapambania zigo kama ndugu yangu Mzee wa kupambania na ukampata... kama uko serious lakini

#Nawasilisha
 
Naungana na Mwamba 777 Block ni utoto na mambo ya kishamba ila si jambo la kushangaza mwanamke akifanya hivyo maana wanawake ni watoto wakubwa 😅... mtoto mwenye maziwa, anayeweza kuzaa na anayerefuka kimo. Lakini bado ni mtoto. (Mwenye kuelewa ameelewa)

ANAEKU-BLOCK HAKUPENDI! (aidha mwanamke au mwanaume)

usipoteze muda kuumia na kuwaza. Na ukiona Dume linafanya hivi inabidi lifanyiwe tathmini.

Ushauri ni kwamba... Wanawake wapo wengi sana! Hangaika kuchagua kwa makini, unaweza kumpata bora kuliko aliyepita Ingawa si rahisi kumsahau mrembo wako uliyempenda kabla akakuletea utoto akaku-block.

Kumbuka:- Unaweza kuwa blocked mwanzoni ukapambania zigo kama ndugu yangu Mzee wa kupambania na ukampata... kama uko serious lakini

#Nawasilisha
Shukran kwa uwasilishaji mzuri mkuu
 
Pole mkuu

Ila bloku inauma sana[emoji1787]
Kawaida katika maisha kanipa block fb tuu tsap ipo open ila sihitaji kumtafuta kwa dalili aliyo nionyesha na msimamo wangu ktk maisha sihitaji na haitakuja kutokea nipelekeshwe na mwanamke hawa wameumbwa watusikilize tuwasikilize lkn sio watupelekeshe asee!!
 
Back
Top Bottom