Basi Nenda
JF-Expert Member
- Jul 29, 2017
- 20,774
- 47,866
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
True mkuuMkuu ulipambana kweli hukukata tamaa , kipande kilichonifurahisha ni kile umeomba block alafu ukaomba vikwazo vitolewe baada ya kushinda yaani hapo ni sawa na kuomba vita alafu ukapigwa tukio ukakubali mwenyewe yaishe
Naam ni kweliAma mtu qkupende tu. Nimewahi kuharibu sehemu zaidi ya mara tatu za mwanzo hadi nikaulizwa "Z ulizaliwa na matatizo Ama yamekupqtq ukubwani?" Nikamjibu vya kumjibu akanielewa. Kwakuwa sababu ya tatizo ilikuwa yeye, siku ya nne akaniambia ngoja afanyie kazi niliyomwambia. Mpaka leo ni wangu bila chenga na tunaenjoy.
Wengine wanaweka vikwazo kwa kushtukiza mkuušMpaka upigwe block, bila shaka utakuwa umekaidi onyo la kutulia kwa amani bila kifungo.
Ukiambiwa SITAKI basi tulizana..potezea.
I feel uBlock kawaida sana tu
AseeAah block hazichagui mkuuš
š¤£š¤£š¤£Hahahaha,dah mie huwa kn mdada huyo ashanipiga block ,kuanzia simu,hadi social network ,mwaka wa tatu huu
Oh anajua inavyofeel kuwa blockedMe sijui maumivu ya block...
Ila tukigombana ananiambia fanya yote ila usini-block.
Alikua anacheki kama unalialia huyoNilikua nakulablock halafu ikifika saa 7(usiku) anatoa block ananichungulia status then nakula block tenaa...
Namkumbuka sana yule mdada
Kweli mkuušØMtu akisha kuvuruga roho ya huruma inatoka wapi lijitu unalipenda unalisaidia linapokuwa na shida linakufanyia vitimbi ukiamua kukaa pemben linarudi eti nimekukumbuka sana
Nikulikalia kimya unaliangalia linavyoweweseka na vimeseji vyake
NdiyoNdo umeona uje uninange huku sasa switie
Ni aina ya tofali linalotumika kuzuia mawasiliano kabisa kabisaBlock ndo nini?
SafiAlini bloku nikajua na nikakubali bila stress kuwa safar imefika mwisho ,nikadelete kila kitu.
Baada ya siku moja akanitafuta anadai simu moja imeibiwa moja imeharibika.
Nikacheka sana kimya kimya nikamwambia pole kwa utulivu kama ninavyofanyaga kwenye kila uongo anaonipaga akidhan kichwan namilik dafu.
Hapa sijui kilichomfanya anibuloki na wala sijui kikichomfanya arudi.
Right here playing a fool to fool the fool.
Shunie wa Basi Nenda sema chochoteā¦Shunie. Cheupe wangu nakuona una like tu,sema neno lolote nijiskie rahaš
šHunitakii mema, Roho mbaya huna,wanawake wenye muonekano huo mna roho nzuri sana.Nimependa ulivyopewa block sijui ndio roho mbaya yangu
Ni kweli kabisa
Pa kuponea ni awe muelew tu
[emoji23] Muonekano upi achana na hizi avatar fake tunazoweka jf[emoji23]Hunitakii mema, Roho mbaya huna,wanawake wenye muonekano huo mna roho nzuri sana.
[emoji7]Ulivo comment leo ntalala vizuri sana
Hatari hii mkuuhahaha hatari aisee, nakumbuka huyo manzi tulipanga jmosi nikamjegeje hapo ilikuwa j4, aisee wiki yote nilikuwa nawaza nitakavombinua, hiyo siku imefika ubooo haujasimama kabisa yaani hata kamoko sikupiga, bahati yule binti alikuwa amenielewa tu akawa ananambia itakuwa umechoka sana wewe, yaani alikuwa akinipa maneno ya kunipa matumaini flani nisijihisi vibaya, hakutamka hata neno moja la kunikejeli, lucky me jumamosi iliyofuata akanitxt kesho jpili upo home nataka nije nikuone nimekumis, hapo sasa ilibidi nitulize wenge nimtembezee mjegejo unaoeleweka