Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Umwa tu mama 🤣🤣🤣Naumwa kwanza...
Naomba aftatu ya juice basi...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umwa tu mama 🤣🤣🤣Naumwa kwanza...
Naomba aftatu ya juice basi...
Pole mkuu ndio maishaHahahaha,dah mie huwa kn mdada huyo ashanipiga block ,kuanzia simu,hadi social network ,mwaka wa tatu huu
Alikuwa anaishi na mtu wake bila shakaMi nilikuwa na kula block only night [emoji287]
Alaf Mchana anapatikana dah ilikuwa hatar sana ila mapenz ni kiboko
hahahaha
Ama mtu qkupende tu. Nimewahi kuharibu sehemu zaidi ya mara tatu za mwanzo hadi nikaulizwa "Z ulizaliwa na matatizo Ama yamekupqtq ukubwani?" Nikamjibu vya kumjibu akanielewa. Kwakuwa sababu ya tatizo ilikuwa yeye, siku ya nne akaniambia ngoja afanyie kazi niliyomwambia. Mpaka leo ni wangu bila chenga na tunaenjoy.Ni kweli kabisa
Pa kuponea ni awe muelew tu
Mtu akisha kuvuruga roho ya huruma inatoka wapi lijitu unalipenda unalisaidia linapokuwa na shida linakufanyia vitimbi ukiamua kukaa pemben linarudi eti nimekukumbuka sanaUkimya unataka nidhamu sana na kutokuwa na roho ya huruma
Kwei kuna mivurugo mingine hata roho ya kusamehe inatoweka kabisa. Kama mtu anakucheat na unajua na umekuwa ukimsaidia hii kitu ni ngumu sanaMtu akisha kuvuruga roho ya huruma inatoka wapi lijitu unalipenda unalisaidia linapokuwa na shida linakufanyia vitimbi ukiamua kukaa pemben linarudi eti nimekukumbuka sana
Nikulikalia kimya unaliangalia linavyoweweseka na vimeseji vyake
Si bora acheat kwa aman anakuvuraga kabisa akili na maisha yako kuna watu wana mioyo ya unyamaKwei kuna mivurugo mingine hata roho ya kusamehe inatoweka kabisa. Kama mtu anakucheat na unajua na umekuwa ukimsaidia hii kitu ni ngumu sana
Ndo maana wengine wanablock ka=isa ili wasipatwe na roho ya huruma wengine hawablock wanapotezea wanamove on
umenkumbusha mpenzi wangu alikuja saloon jiran na makazi yangu kwa siri uko kaweka wallpaper picha yangu uzuri hakukipata alichokitaka na mrejesho nilipewa pande zote mbiliNilichezea block baada ya yeye kwenda kusuka saloon iliyo karbu na makazi yangu sasa sijui aliambiwa nini ??
Nikasema ngoja nipambanie nili pambana lkn ile sumu aliyolishwa sijui ilikuaje nikaamua nimtazame tu mana nilikubali yote nilikaa kimya mpk akaja kunitafut mwenyewe hadi leo sitaki kujuana na wadada wa masaloon yani sina hamu nao.
Pole sana inaonekana umepitia changamoto kubwa sana kwenye mahusiano.Si bora acheat kwa aman anakuvuraga kabisa akili na maisha yako kuna watu wana mioyo ya unyama
🙏🙏🙏🙏🙏Pole sana inaonekana umepitia changamoto kubwa sana kwenye
Hatari na hizo saloon yaani ukitaka kuwakomesha we pita na wote wafanyakaz ili wakose pa kusema .umenkumbusha mpenzi wangu alikuja saloon jiran na makazi yangu kwa siri uko kaweka wallpaper picha yangu uzuri hakukipata alichokitaka na mrejesho nilipewa pande zote mbili
Msumbufu vizinga vingi mnooSababu ya kumlima block ni nini mkuu?
Hawa wa vizinga ni kuwablock. Asubuhi asubuhi unakutana meseji "babe nna njaa"Msumbufu vizinga vingi mnoo