Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah acha tu. Naona nikimssumbua atachukua credit..niliamua kukaa kimya. Ukimya wangu naona kama Nina asilimia za ushindi, japo nahisi najiliwaza tu. Ingawa bahati mby mshua wake mashine haiwaki najua lazima atatafuta wa kumkunakuna japo anapenda kudanga kiaina. Sio ishu lkn anataka kusolve vyote kukunwa na kudanga.Ungemtumia tu msj ataisoma kwenye sms blacklisted
Woooi!! Kwani huu mwaka ni mpya😳😳😳[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Heri ya Mwaka mpya kwanza..
Hapana....Woooi!! Kwani huu mwaka ni mpya[emoji15][emoji15][emoji15]
We mjeuriiii 😄Mia mbona chache fanya milioni nazifuta zote sijasoma hata moja 😂 mlishanipitisha kwenye msoto ndio maana nipo hivi
Sana nakuwa over MandingoKwa hiyo ujasiri unakuwa nao ikiwa hamuonani ile physically 🤣🤣🤣
BrowserKwenye app?
Sijawahi kuwa mjeuriWe mjeuriiii 😄
Aah block hazichagui mkuu😂Polee
Hivi na nyie warembo huwa mnachezeaga block? 🤔
Sasa sms 1000 unafutaje bila kusoma?Sijawahi kuwa mjeuri
Huwa nakuonaga mpole kumbe nawe mkorofi mpaka jamaa yetu anakulima block 🤣🤣Aah block hazichagui mkuu😂
Na madeni yasiyolipwa😭😭😭Hapana....
Mwaka wako wa fedha unaendelea[emoji1787]
Hahaaa ndiyo hivo inatokeaga sometimesHuwa nakuonaga mpole kumbe nawe mkorofi mpaka jamaa yetu anakulima block 🤣🤣
Oooh!! App ndio ina maujinga mengi.Browser
Kabisa mkuuledada kwenye post yake alizungumzia long distance kuwa chanzo cha kupigana block na aliyekuwa mpenzi wake
Long distance ni hatari kwa ustawi wa mahusiano.
Katika visa vingi haijawahi kuwaacha wapendanao salama.
Inawezekana vizuri tu, hakuna kitu sipendi kama kujistress kwa kitu nachoweza kukizuia/epuka.Sasa sms 1000 unafutaje bila kusoma?
Kwa hiyo huwa unaanza kumtafuta kwa njia nyingine akusamehe aku-unblock au yeye mwenyewe anakutoa kifungoni au ndo huwa inakuwaga mazima?Hahaaa ndiyo hivo inatokeaga sometimes
Naumwa kwanza...Na madeni yasiyolipwa[emoji24][emoji24][emoji24]