Mi nilifanyiwa hii, Rafiki wa demu wng jrn na kwao ulitokea mcba na mbaya zaid aliyefrki tulifanan majina fasta akampigia rafk yake kumuambia bwna wko amefrk. Bibie unaambiwa breki ya Kwanza gto sa 4 hyo ucku baada ya kunipgia bila majibu balaaa linakuja na mm gto cpo cm getoni na iko silent, ilikuwa sio poa. Bibie pga sna cm haaipokelewi ikabidi awapgie ndgu zangu unambiwa mi nilipo huko cna hili Wala lile nimalize lilonipeleka nirudi nikalale Nafika gto mida ya 7 kosro nakuta baadhi ya ndgu wakiwa majonzi