Umewahi kufanyiwa kituko gani na Fundi Nguo (Cherehani) mpaka ukatamani msingefahamiana?

Umewahi kufanyiwa kituko gani na Fundi Nguo (Cherehani) mpaka ukatamani msingefahamiana?

Miss Zomboko

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2014
Posts
4,599
Reaction score
9,532
Nimekumbuka Miaka kadhaa iliyopita Wiki mbili kabla ya Siku yangu ya Uchumba na kutolewa mahari nikapeleka kitambaa kwa fundi anitolee Gauni nzuri na mshono ulikuwa simple tu

Akanipa na siku ya kurudi kuchukua nguo bhana, me nikajiongeza nikasogeza siku kadhaa (akamilishe vizuri nguo) nikaenda siku 2 kabla ya uchumba, yoooh nimefika pale kuchukua nguo fundi ananiuliza ulileta kitambaa cha aina gani?

Heeeeeeee Jaman nilitamani kuzimia, nilimwangalia kama vile nimnyongeeeee, niliongea mpaka machozi yakanitoka mwenzenu. Nilikaa hapohapo kitambaa kikaanza kutafutwa kwenye manguo huko ndani ndio aanze kushona huku nasubiria, nguo ilikamilika saa 4 usiku aisee kuanzia saa 9 mchana

Kuna mwingine nilimpa Kitenge ashone koti, siku naenda kuchukua nakuta natoa Gauni, nikagundua Mafundi watakuwa sababu ya miye kwenda Jela aiseeee

Kuanzia hapo mzuka na Nguo za kushona uliisha, mimi na nguo za dukani mpaka Yesu arudi
 
Nimekumbuka Miaka kadhaa iliyopita Wiki mbili kabla ya Siku yangu ya Uchumba na kutolewa mahari nikapeleka kitambaa kwa fundi anitolee Gauni nzuri na mshono ulikuwa simple tu

Akanipa na siku ya kurudi kuchukua nguo bhana, me nikajiongeza nikasogeza siku kadhaa (akamilishe vizuri nguo) nikaenda siku 2 kabla ya uchumba, yoooh nimefika pale kuchukua nguo fundi ananiuliza ulileta kitambaa cha aina gani?

Heeeeeeee Jaman nilitamani kuzimia, nilimwangalia kama vile nimnyongeeeee, niliongea mpaka machozi yakanitoka mwenzenu. Nilikaa hapohapo kitambaa kikaanza kutafutwa kwenye manguo huko ndani ndio aanze kushona huku nasubiria, nguo ilikamilika saa 4 usiku aisee kuanzia saa 9 mchana

Kuna mwingine nilimpa Kitenge ashone koti, siku naenda kuchukua nakuta natoa Gauni, nikagundua Mafundi watakuwa sababu ya miye kwenda Jela aiseeee

Kuanzia hapo mzuka na Nguo za kushona uliisha, mimi na nguo za dukani mpaka Yesu arudi
Pole sana kwa yote yaliyokukuta.
 
Mie pia si mvaaji sana wa nguo za kushona kwa mafundi wetu hawa, basi siku hiyo nikashawishiwaaa nikaona poa, nikabeba kitenge kwa fundi nikampa mshono rahisi kweli kweli maana sivai nguo fupi, siku nafika kuchukua nguo nakuta kitukooo,nilichukia na hivi nina kigugumizi hata kuongea nilishindwa, nikamlipa na nguo nikamuachia kenge yule...!
 
Nimekumbuka Miaka kadhaa iliyopita Wiki mbili kabla ya Siku yangu ya Uchumba na kutolewa mahari nikapeleka kitambaa kwa fundi anitolee Gauni nzuri na mshono ulikuwa simple tu

Akanipa na siku ya kurudi kuchukua nguo bhana, me nikajiongeza nikasogeza siku kadhaa (akamilishe vizuri nguo) nikaenda siku 2 kabla ya uchumba, yoooh nimefika pale kuchukua nguo fundi ananiuliza ulileta kitambaa cha aina gani?

Heeeeeeee Jaman nilitamani kuzimia, nilimwangalia kama vile nimnyongeeeee, niliongea mpaka machozi yakanitoka mwenzenu. Nilikaa hapohapo kitambaa kikaanza kutafutwa kwenye manguo huko ndani ndio aanze kushona huku nasubiria, nguo ilikamilika saa 4 usiku aisee kuanzia saa 9 mchana

Kuna mwingine nilimpa Kitenge ashone koti, siku naenda kuchukua nakuta natoa Gauni, nikagundua Mafundi watakuwa sababu ya miye kwenda Jela aiseeee

Kuanzia hapo mzuka na Nguo za kushona uliisha, mimi na nguo za dukani mpaka Yesu arudi
😂😂😂😂😂 Uliongea huku unalia
 
Mie pia si mvaaji sana wa nguo za kushona kwa mafundi wetu hawa, basi siku hiyo nikashawishiwaaa nikaona poa, nikabeba kitenge kwa fundi nikampa mshono rahisi kweli kweli maana sivai nguo fupi, siku nafika kuchukua nguo nakuta kitukooo,nilichukia na hivi nina kigugumizi hata kuongea nilishindwa, nikamlipa na nguo nikamuachia kenge yule...!
😂😂😂😂 Mnakuaga na hasira mbaya nyie watu
 
Mimi niliacha kuvaa nguo za kushona tangu nipo chuo...fundi alinishonea vituko nguo hata kuvaa huwezi...bora nikasaule mtumbani
 
Nimekumbuka Miaka kadhaa iliyopita Wiki mbili kabla ya Siku yangu ya Uchumba na kutolewa mahari nikapeleka kitambaa kwa fundi anitolee Gauni nzuri na mshono ulikuwa simple tu

Akanipa na siku ya kurudi kuchukua nguo bhana, me nikajiongeza nikasogeza siku kadhaa (akamilishe vizuri nguo) nikaenda siku 2 kabla ya uchumba, yoooh nimefika pale kuchukua nguo fundi ananiuliza ulileta kitambaa cha aina gani?

Heeeeeeee Jaman nilitamani kuzimia, nilimwangalia kama vile nimnyongeeeee, niliongea mpaka machozi yakanitoka mwenzenu. Nilikaa hapohapo kitambaa kikaanza kutafutwa kwenye manguo huko ndani ndio aanze kushona huku nasubiria, nguo ilikamilika saa 4 usiku aisee kuanzia saa 9 mchana

Kuna mwingine nilimpa Kitenge ashone koti, siku naenda kuchukua nakuta natoa Gauni, nikagundua Mafundi watakuwa sababu ya miye kwenda Jela aiseeee

Kuanzia hapo mzuka na Nguo za kushona uliisha, mimi na nguo za dukani mpaka Yesu arudi
Kakakakeki mimi kuna nguo toka 2022 iko kwa fundi bonge la suruali sikuyaka marinda kitambaa matata cha mtumba Daah nawaona kama mbwa nikisikia tu mtu fundi nguo hata kufahamiana nae sitaki
 
Vituko ni vingi ila huyu baba alizingua
Nilimpa nguo aimodoe siku zikakatika kazi bado. One day nikamwambia nipatie hiyo nguol akasema ameshaikata nikasema nipe tu takulipa hivyo hivyo kuitoa hajakata hata sehemu moja. Nilitaka nimtandike mbele ya mke wake watu wakamwokoa
 
Vituko ni vingi ila huyu baba alizingua
Nilimpa nguo aimodoe siku zikakatika kazi bado. One day nikamwambia nipatie hiyo nguol akasema ameshaikata nikasema nipe tu takulipa hivyo hivyo kuitoa hajakata hata sehemu moja. Nilitaka nimtandike mbele ya mke wake watu wakamwokoa
Wee nasemaga kila siku uwezi kuwa mwamuzi 😂😂😂😂😂😂
Ona sasa kama ingetokea mngepigana nani angewaamuliA
 
Back
Top Bottom