1. Kilimanjaro, (Moshi mjini, Same)
2. Mbeya, (Kyela na Mbeya mjini)
3. Iringa ( Mufindi na Iringa Mjini)
4. Morogoro, ( Morogoro Mjini)
5. Pwani, ( Bagamoyo, Mkuranga, Kibaha)
6. Dodoma (Dodoma Mjini)
7. Shinyanga (Kahama)
8. Mwanza. ( Mwanza mjini)
9. Dar es salaam ( Kinondoni, Ubungo)
10. Zanzibar. (Unguja)
11. Njombe. ( Makambako)
12. Arusha. ( Arusha Mjini)
Maeneo mazuri
1. Dar es salaam. ✔️
Huduma za kijamii, Hali ya hewa nzuri, biashara, attitude ya Watu wake, Burudani na starehe.
2. Morogoro. ✔️
Hali ya hewa nzur, Kilimo, na gharama za Maisha zipo Chini.
3. Pwani,
Hali ya hewa, Kilimo, pazuri ku-establish makazi.
4. Kilimanjaro.
Ni nyumbani. Pazuri Kwa kurudi kulia pension Baada ya mihangaiko ya Dunia. Na kusubiri Kifo.
Sipendi maeneo yenye baridi Kali kama Mafinga na njombe,
Sipendi maeneo yenye joto na jua Kali kama Dodoma, Kahama, Same n.k