Umewahi kufika mikoa mingapi Tanzania na ipi uliipenda zaidi?

Umewahi kufika mikoa mingapi Tanzania na ipi uliipenda zaidi?

Dar
Morogoro- mjini, mvomero
Mara
Pwani, bagamoyo
Ruvuma,
Kigoma
Dodoma
Kagera
Mwanza
Tabora
Mikoa mingine kama singida iringa nk nimepita tu.
Kwa maoni yangu maisha ni popote inategemea na makusudio yako.
Ukiwa na hela unaishi mkoa wowote! kama huna hela basi ishi tu Dar ni rahisi kuzitafuta!
 
Iringa
Mara
Mwanza
Dar
Mtwara
Shinyanga -Kahama( home)
Dodoma
Tabora.
Arusha.
Mikoa mingi naona kama inafanana tu.Ila Dar City🙌🙌🙌🙌🙌
 
Mtwara,Lindi, Pwani, Dar, Tanga, Zanzibar, Kilimanjaro, Arusha, Manyara, Singida, Dodoma, Morogoro, Iringa, Njombe, Ruvuma, Songwe, Mbeya, Kigoma, Tabora, Shinganga, Mwanza, Simiyu, Geita, Mara na Kagera

Mkileta uzi wa nchi nitakuja tena!
 
1: Geita
2: Mwanza
3: Kigoma
4: Lindi
5: Shinyanga
6: Simiyu
7: Mara
8: Tabora
9: Singida
10: Dodoma
11: Morogoro
12: Pwani
13: Tanga
14: Kagera
15: Dar er Salaam
Mwanza is my home town but my favorite City ni Dar! …mikoa yooote hiyo nimepita ukiacha mwanza na dar Morogoro ni mkoa mzuri ila mzunguko wa pesa mdogo sana,
 
Aisee Nimeona Zanzibar kwenye ramani na Zanzibar ni mkoa ? Mbona hautambui mikoa yake ?😁
 
Mkoa wa Dar es Salaam ndio baba lao ila, nilikaa Kigoma ni pazuri sana tatizo wenyeji wana mambo ya kiwaki!
Wanakuloga huku wanakupa pole.

Tanga napo ni pazuri ila mzunguko wa hela ni mdogo... Kilimanjaro napo mzunguko ni mdogo... Arusha hadi usome ramani kwa muda mrefu alafu uwe na mtaji wa uhakika... Manyara napo hapaeleweki ila ukipata chimbo lako unabeba mali hadi unakinai.
Wanakuroga afu wanakupa pole
 
Fisi wa mkoa wa Manyara hawana tatizo na ni nadra kusikia mtu kaliwa. Shinyanga na Simiyu ndo kuna upuuuzi wa fisi kula na kujeruhi watu.
Hydom ipo wapi!? Pale Hospitali kuna cases za watu kuliwa na Fisi hadi unaogopa mkuu
 
Arusha
Mwanza
Daresalaam.

Nilipapenda zaidi dar es salaam kwasababu Kuna mzunguko mkubwa WA pesa , hivyo ni jiji zuri kwaajili ya biashara ,masoko yapo kwasababu ya wingi wa watu ....

Lakin pia napenda Hali ya hewa ya Joto ndiyo maana nilipapenda ...

Lakin daresalaam huwezi kukosa vibarua hatakama ulikuwa unafanya Kaz ikaishia njian kupata vibarua ni rahisi ...

Napenda Daresalaam ni jiji la kibiashara Yan pamechangamka Sanaa ,
na MZUNGUKO WA PESA NI MKUBWA .


Arusha Ni mji Wa Gharama Sanaa kuishi
Na Kuna baridi Sanaa
Lakin pia Arusha biashara unafanya strategical hauanzishi tu gafla gafla hivyo sipendelei Sanaa .

Mwanza ni pana Hali ya hewa nzuri lakin pia watu wake ni wakarimu mnoo , watu wenye Upendo Sanaa ,
Shida yake ni kwamba mzunguko Wa pesa ni mdogo Sanaa na pia hata kwenye swala la biashara hakujachangamka kabisa kabisa .... Hivyo sipapendelei Sana pia .
Ulifika Magu au Buchosa Mkuu!??
 
Back
Top Bottom