Lanlady
JF-Expert Member
- Feb 27, 2019
- 1,836
- 6,303
Dar
Morogoro- mjini, mvomero
Mara
Pwani, bagamoyo
Ruvuma,
Kigoma
Dodoma
Kagera
Mwanza
Tabora
Mikoa mingine kama singida iringa nk nimepita tu.
Kwa maoni yangu maisha ni popote inategemea na makusudio yako.
Ukiwa na hela unaishi mkoa wowote! kama huna hela basi ishi tu Dar ni rahisi kuzitafuta!
Morogoro- mjini, mvomero
Mara
Pwani, bagamoyo
Ruvuma,
Kigoma
Dodoma
Kagera
Mwanza
Tabora
Mikoa mingine kama singida iringa nk nimepita tu.
Kwa maoni yangu maisha ni popote inategemea na makusudio yako.
Ukiwa na hela unaishi mkoa wowote! kama huna hela basi ishi tu Dar ni rahisi kuzitafuta!