Umewahi kufika mikoa mingapi Tanzania na ipi uliipenda zaidi?

Umewahi kufika mikoa mingapi Tanzania na ipi uliipenda zaidi?

most of the regions are still there na hata Km zilizoongezeka unazitaja tu Km Manyara, Njombe, Katavi, Geita but izo zingine bado zipo vile vile
Hivi hizo njombe zilimegwa Malawi, Zambia au wapi? Mbona unasema most of the regions are still there wakati najua mikoa mipya imemegwa kutoka iliyokuwepo kabla kwa hiyo mikoa ya zamani haiwezi kubaki vilevile kama kuna mingine imeanzishwa kwa kumegwa iliyokuwepo
 
MIKOA. FURSA

Dar es salaam kibiashara na makazi
Lindi  Sijapaelewa
Mwanza kibiashara na makazi
Shinyanga hapana kwa kweli
geita  hapama
mara kupo nyuma sana
Mtwara  kibiashara
Tanga  makazi
Morogoro  kilimo
Iringa  kilimo
Njombe kilimo
Dodoma kibiashara
Singida kumepauka sana
Mbeya kilimo,biashara,makazi
Ruvuma/songea kilimo japo ni HOME TOWN
 
1. Kilimanjaro ni home pazuri sana.
2. Arusha ni ujuaji mwingi na unakaa kwa tahadhari muda wote beto ni anytime saa mbili ikukute nyumbani au lodge yenye usalama 😁
3. Manyara pakawaida sana mzunguko wa pesa upo shambani ila amani ipo kiasi. Tatizo kuna mafisi sana, kuliwa na fisi ni anytime ukizubaa usiku hasa nje ya mji 😁
4. Tanga ni pazuri sana kuliko sehemu zote ila tatizo ni mzunguko wa pesa hakuna kabisa.
5.Dar es salaam mitikasi ni mingi.
6.dodoma pakawaida.
7.singida pamezubaa tu
8.morogoro pazuri ila pesa ipo.
9.Iringa pamepoa sana.
10. Kahama pesa ipo ila hali ya hewa chenga.
Arusha unga limited kinanuka anytime ✅😄
 
Shida nini Songea? Nataka kuoa huko ila sijawahi kufika huko.
Kupo vizuri mkuu wasikutishe ni mji wenye idadi ya kuridhisha una fursa nyigi za biashara za kilimo maisha yako cheap sana ukiwa na mtaji wa kilimo umetoboa, wanawake wa kingoni wavumilivu na hekima pia wazaz hawana noma pia
 
Kupo vizuri mkuu wasikutishe ni mji wenye idadi ya kuridhisha una fursa nyigi za biashara za kilimo maisha yako cheap sana ukiwa na mtaji wa kilimo umetoboa, wanawake wa kingoni wavumilivu na hekima pia wazaz hawana noma pia
Asante sana.
 
View attachment 2705519
Je umewahi kusafiri mikoa mingap Tanzania na ipi uliipenda zaidi na ipi uliichukia zaidi?
Kwa upande wa Zanzibar niliishia Unguja.

Kwa Tanganyika, nimeshafika mikoa yote isipokuwa miwili tu: Lindi na Mtwara.

Mikoa yangu 5 pendwa ni kama ifuatavyo:
1. Arusha
2. Mwanza
3. Kagera (Karagwe)
4. Njombe
5. Mbeya.
 
Back
Top Bottom