Alexander Lukashenko
JF-Expert Member
- Sep 9, 2017
- 4,140
- 9,667
Na kweli utavumilia.....
So kuna maeneo yana Vumbi kuliko mbeya? Maybe Songea.
Mie sipendi Vumbi,pahala popote penye Vumbi siwezi Tumia sekunde hata moja isiyo yalazima.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kweli utavumilia.....
TABORA gahwa vibarazani na mchezo wa bao...1. Kilimanjaro ni home pazuri sana.
2. Arusha ni ujuaji mwingi na unakaa kwa tahadhari muda wote beto ni anytime saa mbili ikukute nyumbani au lodge yenye usalama 😁
3. Manyara pakawaida sana mzunguko wa pesa upo shambani ila amani ipo kiasi. Tatizo kuna mafisi sana, kuliwa na fisi ni anytime ukizubaa usiku hasa nje ya mji 😁
4. Tanga ni pazuri sana kuliko sehemu zote ila tatizo ni mzunguko wa pesa hakuna kabisa.
5.Dar es salaam mitikasi ni mingi.
6.dodoma pakawaida.
7.singida pamezubaa tu
8.morogoro pazuri ila pesa ipo.
9.Iringa pamepoa sana.
10. Kahama pesa ipo ila hali ya hewa chenga.
Inategemea ulikuwa hapo mwezi wa ngapi na sehemu ganiNa kweli utavumilia.....
So kuna maeneo yana Vumbi kuliko mbeya? Maybe Songea.
Mie sipendi Vumbi,pahala popote penye Vumbi siwezi Tumia sekunde hata moja isiyo yalazima.
Huku nilipita nikanywa Tende 😀😁😅Sijafika huko🤣 sio Magharibi au Kusini yake.🤭
Mie musomaNjombe kama ulaya..
NImekaa kabwe na Forest.....Inategemea ulikuwa hapo mwezi wa ngapi na sehemu gani
Tukuyu ni Mbeya,no vumbi.NImekaa kabwe na Forest.....
DarView attachment 2705519
Je umewahi kusafiri mikoa mingap Tanzania na ipi uliipenda zaidi na ipi uliichukia zaidi?
Sijawahi fika.Mie musoma
Tukuyu nilifika Pia, kupo vizuri.....Tukuyu ni Mbeya,no vumbi.
Imagine,si bora Dom patamMorogoro pana uzuri gani jamani?
Fanya ufike hata stonetown.Sijafika huko🤣 sio Magharibi au Kusini yake.🤭
Ukiingia ndani kuna Beach nzuri tu i.e. MatemaTukuyu nilifika Pia, kupo vizuri.....
Tuseme kuanzia kiwila kwenda hivi kupo vizuri. ( ila sio kyela)
Kuna jua kali....Ukiingia ndani kuna Beach nzuri tu i.e. Matema
Hapo kwenye Sumbawanga ni kweli kabisa. Ule mji unahudumia baadhi ya maeneo ya Zambia na Congo. Pale ukijipanga pako vzr maana wageni kibao.TABORA gahwa vibarazani na mchezo wa bao...
Mabeto yapo Mara kwa kina Muraa
Rukwa hasa Sumbawanga ni pazuri kwa anayeona mbali
Mungu akujalie ufike Rukwa kuna kitu cha kipekee utakiona.Sijafika, Katavi, Rukwa, Kigoma, na Pemba mikoa mingine yote nimefika Asante Mungu si kwa uwezo wangu Bali ni Kwa baraka zako 🙏🙏🙏