kipapi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2016
- 1,059
- 1,390
Mimi sijatembea sana mikoani kwasababu sina connection yoyote ile ya ndugu wanaoishi mikoani, nimezaliwa na kukulia Dar hata kusoma pia nimesoma hapahapa dar, Baba na mama wote wamezaliwa Dar, Baba amezaliwa gerezani k/koo na mama amezaliwa Msasani.
Ila nimetembelea na kufika mikoa kadhaa ikiwemo;
°Lindi
°Tanga
°Morogoro
°Iringa
°Arusha
°Mbeya
°Pwani
°Pamoja na nchi ya Zanzibar [emoji23]
Ila nimetembelea na kufika mikoa kadhaa ikiwemo;
°Lindi
°Tanga
°Morogoro
°Iringa
°Arusha
°Mbeya
°Pwani
°Pamoja na nchi ya Zanzibar [emoji23]