Umewahi kufika mikoa mingapi Tanzania na ipi uliipenda zaidi?

Umewahi kufika mikoa mingapi Tanzania na ipi uliipenda zaidi?

1. Kilimanjaro ni home pazuri sana.
2. Arusha ni ujuaji mwingi na unakaa kwa tahadhari muda wote beto ni anytime saa mbili ikukute nyumbani au lodge yenye usalama 😁
3. Manyara pakawaida sana mzunguko wa pesa upo shambani ila amani ipo kiasi. Tatizo kuna mafisi sana, kuliwa na fisi ni anytime ukizubaa usiku hasa nje ya mji 😁
4. Tanga ni pazuri sana kuliko sehemu zote ila tatizo ni mzunguko wa pesa hakuna kabisa.
5.Dar es salaam mitikasi ni mingi.
6.dodoma pakawaida.
7.singida pamezubaa tu
8.morogoro pazuri ila pesa ipo.
9.Iringa pamepoa sana.
10. Kahama pesa ipo ila hali ya hewa chenga.
Fisi wa mkoa wa Manyara hawana tatizo na ni nadra kusikia mtu kaliwa. Shinyanga na Simiyu ndo kuna upuuuzi wa fisi kula na kujeruhi watu.
 
Dar es Salaam
Arusha
Singida
Tanga
Kigoma
Mbeya
Mwanza
Mara
Dodoma
Morogoro
Iringa
Kilimanjaro
Shinyanga
Tabora
Manyara

Mkoa wa Tanga ndiyo umenivutia zaidi ktk sehemu zote nilizoishi. Tanga na Lushoto ndiyo wilaya zangu pendwa.
 
Back
Top Bottom