MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Sijafika Mara tu. Kwingine kote nimevuruga. Kwa maokoto Dar ni namba moja. Ila kimandhari napenda Mkoa wa Mtwara. Hata Kigoma sio pabaya.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆My favorite ni Arusha,ila ule ubabe ubabe wao na usela vimenishinda......
TABORA ni pabayaaaaa
Daah mi kazi zangu nasafiri sana mikoa ila Kuna muda najiuliza hivi ghafla Dar imezama na tsunami nitafanyaje Mimi??😅Kufikia nini? Shule zangu zote nimesoma huko... sina ugeni na Dar, ila ndio sipaelewi
Morogoro kubwa sanaHapo number 8 Kuna mtu kaniambia mbona hakuna mzunguko wa pesa ?
Fisi wa mkoa wa Manyara hawana tatizo na ni nadra kusikia mtu kaliwa. Shinyanga na Simiyu ndo kuna upuuuzi wa fisi kula na kujeruhi watu.1. Kilimanjaro ni home pazuri sana.
2. Arusha ni ujuaji mwingi na unakaa kwa tahadhari muda wote beto ni anytime saa mbili ikukute nyumbani au lodge yenye usalama 😁
3. Manyara pakawaida sana mzunguko wa pesa upo shambani ila amani ipo kiasi. Tatizo kuna mafisi sana, kuliwa na fisi ni anytime ukizubaa usiku hasa nje ya mji 😁
4. Tanga ni pazuri sana kuliko sehemu zote ila tatizo ni mzunguko wa pesa hakuna kabisa.
5.Dar es salaam mitikasi ni mingi.
6.dodoma pakawaida.
7.singida pamezubaa tu
8.morogoro pazuri ila pesa ipo.
9.Iringa pamepoa sana.
10. Kahama pesa ipo ila hali ya hewa chenga.
Moro ni kubwa fursa kubwa ni kilimoMorogoro pana uzuri gani jamani?
😅😅😅 noma sanaFisi wa mkoa wa Manyara hawana tatizo na ni nadra kusikia mtu kaliwa. Shinyanga na Simiyu ndo kuna upuuuzi wa fisi kula na kujeruhi watu.
Ukipaelewa Singida utakua MchawiDar
Moro
Dom
Arusha
Mwanza
Singida.. hata sikupaelewa
Arusha imekuwa Fav city..
Labda kwa wafanyabiashara.Daah mi kazi zangu nasafiri sana mikoa ila Kuna muda najiuliza hivi ghafla Dar imezama na tsunami nitafanyaje Mimi??😅
Arusha makoti yamejaaDar
Arusha pako poa sana shida kipindi cha baridi
Kilimanjaro
Bagamoyo mji wa kitalii
Moro
Dodoma
Mbeya kuna vumbi hee
Tanga hali ya hewa nzuri
Manyara
Mwanza sato😋😋
Mara
😀😀😀 wanakuja wenye Singida yao, watakushushuaUkipaelewa Singida utakua Mchawi
Wewe kweli umevuruga kwa mandhari ya mtwara yakoje???Sijafika Mara tu. Kwingine kote nimevuruga. Kwa maokoto Dar ni namba moja. Ila kimandhari napenda Mkoa wa Mtwara. Hata Kigoma sio pabaya.
Singida hapana aisee panaboa no company wala nini, wenyeji wanapiga kinyaturu tu nakunywa magai 😁🤣🤣🤣 nyomo nyokwe.😀😀😀 wanakuja wenye Singida yao, watakushushua