sitagliptin
JF-Expert Member
- Mar 10, 2023
- 1,208
- 2,525
Nimebakiza mikoa 7 tu kumaliza ila huniambii kitu kuhusu dodoma au moro
Japo kote huko siishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Japo kote huko siishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwanini?Nimebakiza mikoa 7 tu kumaliza ila huniambii kitu kuhusu dodoma au moro
Japo kote huko siishi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante,jana nilichelewa kulala leo mchana nimeteseka.Umelala?pole na usingizi
Mkoa wa Zanzibar 🤣Walahi, sijafika mkoa wa Mtwara na Mkoa wa Zanzibar tu.😁😁😁😁😁🤔
Sasa unaandikaje huku umelala?😅Ahsante,jana nilichelewa kulala leo mchana nimeteseka.
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
Kuna mzee wa mara kawatukana mbele yao kuwa wamezaa muandamizi na bado wakapiga makofi nchi hii ngumu sanaSingida hapana aisee panaboa no company wala nini, wenyeji wanapiga kinyaturu tu nakunywa magai 😁🤣🤣🤣 nyomo nyokwe.
Aah wapi wajuaji sana wanaongea misamiati ya ajabu ajabu😁😁😁pa kawaida sana hayo mambo yapo kwenye tv tu
ni ile lafudhi tu, hata dar ipo😂 tupo tunaokaa arusha na hatuongei kichugaAah wapi wajuaji sana wanaongea misamiati ya ajabu ajabu😁😁😁
Songea ni rafiki kwa wanyama???Dar
Mbeya na Songwe
Moro
Njombe
Iringa
Dodoma
Songea/ Ruvuma.
Iringa anytime, Songea sitaki kupaskia sio rafiki kwa Bin adam.
Kabisa, baridi kaliii + safu za milima iliyofunikwa na Pine trees + Kibena tea Plantations pamenivutiaNjombe kama ulaya..
Mbeya Vumbi jingi mno.....Ok,
Dar
Moro
Manyara
Dodoma
Mtwara
Lindi
Tanga
Mbeya,,,,,,huu mkoa naupenda na ndoto yangu ni kuishi mbeya,one day yes[emoji120]
Sent from my itel W5002 using JamiiForums mobile app
[emoji846]Mikoa yote ya Bara
Napenda
Moro
Mwanza
Arusha
Mbeya
Geita
Ni kweli mkuu. Sema miaka ya hivi karibuni kuna cases za watu hasa watoto kuliwa wilayani Karatu na fisi. Wenyeji wamekuwa wakiitupia lawama idara ya wanyamapori kuwachukua fisi Ngorongoro na kuwahamishia vijiji vya jirani huko Karatu kwa kile kinachotajwa kwamba fisi Ngorongoro wamekuwa wengi sana kiasi kwamba inahatarisha viumbe wengine kupotea. Hawa fisi wanaopelekwa vijijini hukutana na uhaba wa msosi hali inayopelekea kutafuna watu. Hata hao fisi wa Shinyanga wengi wao sio uchawi ni ukosefu wa chakula. Fisi ni mnyama hatari mno akili zikimruka. Kuna fisi alivamia sehemu nikaonyeshwa sufuria aliyoikatakata kwa meno.. imagine akikutana na mtoto atamfanyaje?😅😅😅 noma sana
Nitavumilia naona ni la kawaida tu,maana kwetu lipo jekundu kabisaMbeya Vumbi jingi mno.....
Sijafika huko🤣 sio Magharibi au Kusini yake.🤭Mkoa wa Zanzibar 🤣
Namshukuru Mungu mikoa yote nimekaa.View attachment 2705519
Je umewahi kusafiri mikoa mingap Tanzania na ipi uliipenda zaidi na ipi uliichukia zaidi?
Namshukuru Mungu mikoa yote ya Bara nimekaa.