proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 6,814
- 10,104
fungua PM mkuuMkoa wa Dar es Salaam ndio baba lao ila, nilikaa Kigoma ni pazuri sana tatizo wenyeji wana mambo ya kiwaki!
Wanakuloga huku wanakupa pole.
Tanga napo ni pazuri ila mzunguko wa hela ni mdogo... Kilimanjaro napo mzunguko ni mdogo... Arusha hadi usome ramani kwa muda mrefu alafu uwe na mtaji wa uhakika... Manyara napo hapaeleweki ila ukipata chimbo lako unabeba mali hadi unakinai.
Nilifika tanga kilichonishangaza ni kuona wachaga ndio wanao i run tanga...sasa nikajiuliza sehemu mpaka ma mamangi wameamua kupiga kambi ina maana pesa ipo au niaje?1. Kilimanjaro ni home pazuri sana.
2. Arusha ni ujuaji mwingi na unakaa kwa tahadhari muda wote beto ni anytime saa mbili ikukute nyumbani au lodge yenye usalama [emoji16]
3. Manyara pakawaida sana mzunguko wa pesa upo shambani ila amani ipo kiasi. Tatizo kuna mafisi sana, kuliwa na fisi ni anytime ukizubaa usiku hasa nje ya mji [emoji16]
4. Tanga ni pazuri sana kuliko sehemu zote ila tatizo ni mzunguko wa pesa hakuna kabisa.
5.Dar es salaam mitikasi ni mingi.
6.dodoma pakawaida.
7.singida pamezubaa tu
8.morogoro pazuri ila pesa ipo.
9.Iringa pamepoa sana.
10. Kahama pesa ipo ila hali ya hewa chenga.
Mwanza mzunguko wa pesa upo tena mkubwa tu! Sijui kipi kilichofanya uone mzunguko wa pesa ni mdogo!Arusha
Mwanza
Daresalaam.
Nilipapenda zaidi dar es salaam kwasababu Kuna mzunguko mkubwa WA pesa , hivyo ni jiji zuri kwaajili ya biashara ,masoko yapo kwasababu ya wingi wa watu ....
Lakin pia napenda Hali ya hewa ya Joto ndiyo maana nilipapenda ...
Lakin daresalaam huwezi kukosa vibarua hatakama ulikuwa unafanya Kaz ikaishia njian kupata vibarua ni rahisi ...
Napenda Daresalaam ni jiji la kibiashara Yan pamechangamka Sanaa ,
na MZUNGUKO WA PESA NI MKUBWA .
Arusha Ni mji Wa Gharama Sanaa kuishi
Na Kuna baridi Sanaa
Lakin pia Arusha biashara unafanya strategical hauanzishi tu gafla gafla hivyo sipendelei Sanaa .
Mwanza ni pana Hali ya hewa nzuri lakin pia watu wake ni wakarimu mnoo , watu wenye Upendo Sanaa ,
Shida yake ni kwamba mzunguko Wa pesa ni mdogo Sanaa na pia hata kwenye swala la biashara hakujachangamka kabisa kabisa .... Hivyo sipapendelei Sana pia .
Mbona sijafunga?fungua PM mkuu
Hakuna sehemu yenye mzunguko mkubwa wa pesa na utajiri wa haraka kama Mwanza na Dar, na unaposema Mwanza hakuna mzunguko wa pesa labda ulienda Mwanza ya Namtumbo.Arusha
Mwanza
Daresalaam.
Nilipapenda zaidi dar es salaam kwasababu Kuna mzunguko mkubwa WA pesa , hivyo ni jiji zuri kwaajili ya biashara ,masoko yapo kwasababu ya wingi wa watu ....
Lakin pia napenda Hali ya hewa ya Joto ndiyo maana nilipapenda ...
Lakin daresalaam huwezi kukosa vibarua hatakama ulikuwa unafanya Kaz ikaishia njian kupata vibarua ni rahisi ...
Napenda Daresalaam ni jiji la kibiashara Yan pamechangamka Sanaa ,
na MZUNGUKO WA PESA NI MKUBWA .
Arusha Ni mji Wa Gharama Sanaa kuishi
Na Kuna baridi Sanaa
Lakin pia Arusha biashara unafanya strategical hauanzishi tu gafla gafla hivyo sipendelei Sanaa .
Mwanza ni pana Hali ya hewa nzuri lakin pia watu wake ni wakarimu mnoo , watu wenye Upendo Sanaa ,
Shida yake ni kwamba mzunguko Wa pesa ni mdogo Sanaa na pia hata kwenye swala la biashara hakujachangamka kabisa kabisa .... Hivyo sipapendelei Sana pia .
Mwanza biashara kuu ni uchuuzi wa bidhaa kutoka china hakuna kingineHakuna sehemu yenye mzunguko mkubwa wa pesa na utajiri wa haraka kama Mwanza na Dar, na unaposema Mwanza hakuna mzunguko wa pesa labda ulienda Mwanza ya Namtumbo.
Na mikoa mingine kuna uchuuzi wa makalio?Mwanza biashara kuu ni uchuuzi wa bidhaa kutoka china hakuna kingine
Sent from my SM-A013G using JamiiForums mobile app
Tanzania mikoa ambayo sijafika ni mitatu tu.View attachment 2705519
Je umewahi kusafiri mikoa mingap Tanzania na ipi uliipenda zaidi na ipi uliichukia zaidi?
Ningekujibu ila lugha uliyotumia inaonesha we si muungwana na hufai kwenye huu mjadalaNa mikoa mingine kuna uchuuzi wa makalio?