Umewahi kuingilia ugomvi usiokuhusu halafu yakakukuta makubwa?

Ha ha ha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ndio uwana

Sent using Jamii Forums mobile app
 

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Pole sana
 
Hahaha....eti movie zinadanganya, wewe ulifikiri mlango ni sawa na pazia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahaha.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] dah pole sana mkuu
 
Ugomvi sio mzuri jamani ila nimecheka sana ila wanaume wa dar amna msimamo wa kiume unaoneshewa bastola unaanza kuomna msamaha na kuna mwingine kamng'ata mwanamke meno[emoji38][emoji38][emoji38]. Mimi sio mgomvi ila nilishirikishwa ugomvi mmoja na mshikaji wangu nayeye alinichukulia tu poa nilichoenda kukifanya mpaka alienialika alijuta kuniita akaniambia kumbe Haa mym una roho mbaya hivi.
 
[emoji3][emoji3][emoji3]
 
Acha mkwar wako wewe hebu tuambie ulifanya nini
 

Usiichukulie poa gun aisee achana na unavyoviona kwenye movie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…