Django Doer
JF-Expert Member
- Jun 30, 2023
- 2,865
- 5,184
We muongo wewe danganya toto hiyoNdio😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We muongo wewe danganya toto hiyoNdio😂😂
Mkuu kesho ... inshallah 😊We muongo wewe danganya toto hiyo
Sawa my FWB 😄😊😊 kigamboni ntakuja 😃Mkuu kesho ... inshallah 😊
Ngoja niwajibike naona clients ziko kwa hewa...bye
huwezi badilika😂😂😂nicheke nikonde! Utasubiri sana we baba.
Mlevi tangu lini akaweza kuhudumia familia? Nipe namba za shemeji niwe namuwezesha mara mojamoja familia isilale njaa.Endelea kushabikia misisiem magamba hapo lumumba kumbaf. Siku wasipokupeni hela ya mihogo uwe unasema nikuelekeze kwa wifi yako angalau ukale chakula.
Tuachane na mambo ya dagaa tuzungumzie utamu wa samaki papa. Kama kwenye avatar ni wewe basi ashukuriwe Mungu kwa uumbaji wake. I will be there waiting for Papa filletsNimekaa huko wakati fulani😅
Kumbe umeoa!🙄Endelea kushabikia misisiem magamba hapo lumumba kumbaf. Siku wasipokupeni hela ya mihogo uwe unasema nikuelekeze kwa wifi yako angalau ukale chakula.
Umepika Misumari ya bati hongera zako nime imiss misumari ya mabati lohhDagaa nimechanganya bamia, nyanya chungu,nimeweka hoho/carrot/soy sauce/ kitunguu maji na peanut butter.
View attachment 3076461
duniani wawili wawili yawezekana maybe ni mm aubpacha wanguMama mwana wa mbagala
Humu jukwaani ishi kwa akili. Usiamini kila unachoambiwa, kusikia au kusoma. Kama upo interested na jambo chunguza utaujua ukweli.Kumbe umeoa!🙄
Sina muda! Wewe ni muongo🙄Humu jukwaani ishi kwa akili. Usiamini kila unachoambiwa, kusikia au kusoma. Kama upo interested na jambo chunguza utaujua ukweli.
Hahaha dah haya bana.Sina muda! Wewe ni muongo🙄
Mbona huu upishi wa kwaida sana mkuu? Wewe huajawahi pika?Dagaa nimechanganya bamia, nyanya chungu,nimeweka hoho/carrot/soy sauce/ kitunguu maji na peanut butter.
View attachment 3076461
Wewe hujawahi kupika mkuu? Hawo ni dagaa wasiokuwa na mchangaUnapikaje Dagaa na vichwa vyake....aaargh
Mwanza samaki mzuri wa bei nafuu anauzwa 15,000ðŸ˜ðŸ˜Samaki wazuri sana hasa wawe wabichi
Kwa kg auMwanza samaki mzuri wa bei nafuu anauzwa 15,000ðŸ˜ðŸ˜