Umewahi kujaribu kupika dagaa kwa mtindo huu?

Umewahi kujaribu kupika dagaa kwa mtindo huu?

Ali
Nilikula kisamvu Cha karanga nilitamni kutema 😃Yani kinatia kinyaa kimehorojeka nikajikaza mwenzangu akashindwa kula 😀

Nikakuta sehemu nyingine kitam tu nikagundua mpishi wa kwanza alizidisha karanga sana inabid ziwe Kwa kiasi
Alizidisha mafuta kuna wengine karanga(ntwili) wanaweka mengi na futa la kutosha kisamvu kinakuwa km mlenda, ila kisamvu cha karanga ni kitamu kuliko cha nazi
 
Back
Top Bottom