Nyamwi255
JF-Expert Member
- Dec 2, 2022
- 4,848
- 12,776
Yalaaaa🙆🙆Yeah unaweza sema hivyo 😎.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yalaaaa🙆🙆Yeah unaweza sema hivyo 😎.
Si wanyamwezi wote labda huyo, mimi mnyamwezi wa Nzega hawaweki mafuta kwani karanga ina mafuta sasa hayo mafuta mengine ya nini!Wengine hasa wanyamwezi wanakidodeka mafuta,
Mbona umeshtuka?Yalaaaa🙆🙆
🤣🤣🤣huyo naemzungumzia ni wa hapo hapo Nzega, hata hivyo nimekulia huko naweza kuyajua mengi kukulikoSi wanyamwezi wote labda huyo, mimi mnyamwezi wa Nzega hawaweki mafuta kwani karanga ina mafuta sasa hayo mafuta mengine ya nini!
Kutulizwa kwa kuwekewa kale kajan mkuu? Si unataka kuniua kabisa mkuu!!!!! 😰😰😰😰😰Kutulizwa ni mapendo sio chuki
Unakula vitu vinakuangaliaUnapikaje Dagaa na vichwa vyake....aaargh
Oh embu nikutanishe nae kwazaheeee kama mtaelewana unaozeshwa tu bamkwe
Hapana wanapangwa sokoni tu. Ni wewe kujichaguliaKwa kg au
😂😂😂Una gubu wewSema hizo hoho apo sijazielewaaaa! 😂😂😂😁😀
Kabisa Yani mlenda kabisa kisamvu haionekani ni mikaranga kikipikwa vizuri ni kitam sana karanga Huwa nazielewaAli
Alizidisha mafuta kuna wengine karanga(ntwili) wanaweka mengi na futa la kutosha kisamvu kinakuwa km mlenda, ila kisamvu cha karanga ni kitamu kuliko cha nazi
Bila shaka utakuwa ni mnyakyusa😀Mimi ni mpenzi wa wale dagaa wa Kigoma umenitamanisha sana hapo uwe na ugali kidogo na maziwa ya Mtindi ukiwa na parachichi la Moshi...
Nimeishi kanda ya ziwa na sijawahi kuona hayo mapishi😂😂eehHii aina ya upishi wakuweka karanga/peanut butter kwenye vyakula niliuona kanda ya ziwa asee. Kaskazini sikuwahi kuona tokea utotoni mpaka nakuwa.
Nitakushangazahuwezi badilika
Sawa Mkuu,ahsanteJaribu hautajutia pishi lako hakikisha butter ni laini isiwe na punje punje. Pika vizuri hadi butter ibadili rangi na kuleta rangi ya mafuta.
Wengi wanasema inanoga😒nachanganyikiwaYeah Mimi hii nimezoea tu lkn hakika hainogi asee
🙄Nitakushangaza
Lishangazi litapikAaaaNime screenshot hapa..
Nataka kesho nimuoneshe antiel tuone kama atapika haya madude...
Maana nimechoka nyama nyama kila day