Mwanamke wa mithali 31
JF-Expert Member
- Apr 10, 2024
- 1,159
- 2,577
- Thread starter
- #381
Ndyo vitu vyangu hivyoEwaaaaahhh vibambala 😋😋😋 ugali wa udaga alooooh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndyo vitu vyangu hivyoEwaaaaahhh vibambala 😋😋😋 ugali wa udaga alooooh
Unakipika kinakua na mchuzi kama kimeekwa maziwaWachaaa....Navipenda mno
Ukipike na karanga😋😋😋
Ile mboga ni tamu mno....Unakipika kinakua na mchuzi kama kimeekwa maziwa
mamy chapati ni ukandaji, kanda chapati ambayo ukiisukuma inaenda hutumii nguvu na siri yachapati kua laini yenye kurasa ni kuianda unga had ulainike maji ya moto geresha tu mimi nakanda chapat may ya baridi na ikilala unakula kanda isukume had yale madonge yalainike iwe smooth utanipa mrejeshoChapat ni janga la taifa kwakweli 😀😀nishakula chapat hata kutafuna ni Kwa shida 😃
Kisamvu Cha Nazi ni kweli kitamu sana hasa kikilala sijui Ile ladha inatokeaga wapi
vipi kiporo cha wali nazi na harage nazi nipate na chai ya rangi lazima nikila nivue had sidiria siwez kubanwa wakat nakula kitu napendaChapat ni janga la taifa kwakweli 😀😀nishakula chapat hata kutafuna ni Kwa shida 😃
Kisamvu Cha Nazi ni kweli kitamu sana hasa kikilala sijui Ile ladha inatokeaga wapi
Ukila kabichi YA karanga utaiheshimu kuliko nyamaacha utani hio nakula kama salad ya kulilia pilau au kachori na mihogo ukitaka nile labda uichanganye na nyama
iHapana nakufananisha na mtu
hii ya karanga unaipika vipi?Ukila kabichi YA karanga utaiheshimu kuliko nyama
Ni chai tu ndio huwa hatuweki, uji wenyewe tunaweka 🤣🤣🤣Naweka peanut butter kwenye mboga za majani kama spinach....pia naweka kwenye mihogo 🤣
Kabisa yaani maji ya barid yanatosha mm bhana shape ndo Ilikuwa ishu chapat lain shapesasa 🤣🤣🤣mamy chapati ni ukandaji, kanda chapati ambayo ukiisukuma inaenda hutumii nguvu na siri yachapati kua laini yenye kurasa ni kuianda unga had ulainike maji ya moto geresha tu mimi nakanda chapat may ya baridi na ikilala unakula kanda isukume had yale madonge yalainike iwe smooth utanipa mrejesho
unaisukuma vibaya, hakikisha ukishaikunja wakati unaikunjua unavyoisukuma usiibakishe sukuma moja kwa moja usibakishe unene juu wala chiniKabisa yaani maji ya barid yanatosha mm bhana shape ndo Ilikuwa ishu chapat lain shapesasa 🤣🤣🤣
Had nimejua watu wamecheka vya kutosha 😃
unaujua mseto? sasa umix hizp chooooko na mchele halaf unamixia nazi mchuz wako wa papa pembeni oh my!! borohoa mnalijua ni choroko zipikwe na ubwabwa badala ya harage ni choroko za nazi unaunga kama maharage, sie tukiona tunataka tupike ubwabwa wa maua saa zingine tubatupiamo choroko humo vipi choroko za maua unazijua?Choroko ni moja ya Mboga sijawahi kuielewa..
Nina miaka zaidi ya kumi sijawahi kuila..
Nawe ni homegirl nkajuaga ni manka 😃Ile mboga ni tamu mno....
Halafu ina harufu yake ndiyo inashawishi unaweza kula ukakimaliza
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akhiiiii, kuna watu mnayawezaaaa!! WoiiiiiihYaan na enjoy hapo na ki ugali changu Donna nachanganya na unga wa muhogo yaaan .... huwez kuelewa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nishampata subiri tukualike kwenye ndoa yetu mwezi wa 10🤣unafikiri utapata wakufanananae..??
Inakuwa tamu balaa.
Dagaa hao ni watamu sana ukipiga na ugali. Ila usijaribu kula dagaa wabichi na karanga mbichi utasimulia
Basi nitajaribu kuweka karanga nami niinjoiKama hujatoka kwenye mikoa wanayolima karanga utashangaa, lakini karanga kwenye dagaa ndiyo mafuta hayo
Sikuhiz nawezaunaisukuma vibaya, hakikisha ukishaikunja wakati unaikunjua unavyoisukuma usiibakishe sukuma moja kwa moja usibakishe unene juu wala chini
'Ntwili' mbona pambe sana kwenye misumari?Peanut butter kwenye dagaa?! Kweli kuna aina nyingi za mapishi
Vimbambala vinanukia balaa, shombo la hatari.Ewaaaaahhh vibambala 😋😋😋 ugali wa udaga alooooh