Umewahi kukaa sehemu na ukahisi kama hiyo sehemu uliwahi kukaa zamani 'DEJAVU' already seen?

Umewahi kukaa sehemu na ukahisi kama hiyo sehemu uliwahi kukaa zamani 'DEJAVU' already seen?

Leo Nilikuwa nipo katika maktaba yangu ya simu nasoma kitabu kinaitwa "the power of karma"


katika kusoma nimekutama na neno la kifaransa linaitwa Dejevu likimaanisha already seen.

Hii nimewahi kuisoma Mara nyingi Ila Leo nilijaribu Ku-trace maisha yangu na kuiona hii Dejavu

Dejavu - inaamisha kuwa kuna mambo huwa yanatokea au Unayaona na Kuhisi Kama uliwahi kuyaona.



Ntaendelea Ila sifikirii Kama nitaelewaka kirahisi

Ni kuwa unaweza kukaa eneo ambalo ulishawahi kulikaa kupitia kitu inaitwa Dejavu already seen na ukikaa katika hilo eneo utali-master na kujikuta unaishi vizuri kwakuwa utakuwa na insights nyingi sana juu yako.
Nilipofika Tanga Mabawa mara ya kwanza niliona nimeshawahi kufika na kwenda kwa mwenyeji wangu bila kuongozwa
Nastaajabu sana.
 
Hii nimewahi kuisoma Mara nyingi Ila Leo nilijaribu Ku-trace maisha yangu na kuiona hii Dejavu
Mkuu DR HAYA LAND DeJavu huiitrace ni Ile hisia ambayo inakuja gafla msome vizuri Minjingu Jingu hapa chini hii ndio maana halisi ya DeJavu.
Ni rahisi tu. Ni ile hali ya hisia kuwa umewahi fanya jambo flani ingawa ndo kwa mara ya kwanza unafanya. Au umewahi fika sehemu flani ingawa ndo umefika kwa mara ya kwanza. Mfano umekuja leo hapa nilipo USA Washington DC. Ukaingia ofisini kwangu kwa mara ya kwanza kabisa maishani mwako.

Lakini ukawa na hisia kuwa mbona kama nimewahi fika hii ofisi. Mbona si ngeni. Wakati mwingine unaweza fanya kitu then ikakujia kumbukumbu umewahi fanya kitu kama hicho before si kigeni. Ingawa kiuhalisia ndo mara ya kwanza unafanya.
 
Leo Nilikuwa nipo katika maktaba yangu ya simu nasoma kitabu kinaitwa "the power of karma"

Katika kusoma nimekutama na neno la kifaransa linaitwa Dejevu likimaanisha already seen.

Hii nimewahi kuisoma Mara nyingi Ila Leo nilijaribu Ku-trace maisha yangu na kuiona hii Dejavu

Dejavu - inaamisha kuwa kuna mambo huwa yanatokea au Unayaona na Kuhisi Kama uliwahi kuyaona.

Nitaendelea Ila sifikirii Kama nitaelewaka kirahisi

Ni kuwa unaweza kukaa eneo ambalo ulishawahi kulikaa kupitia kitu inaitwa Dejavu already seen na ukikaa katika hilo eneo utali-master na kujikuta unaishi vizuri kwakuwa utakuwa na insights nyingi sana juu yako.
mwisho wa siku unakuta watu kama hawa ndo wanashupashaza shingo kudai elimu ya kayumba ndo bora zaidi,,,nimepata shida sana kuelewa kinazungumzwa nn apa. naona tu neno dejevu dejevu dejevu kumbe unaunaongelea neno DEJA VU!?daah we jamaa😳 umeshindwa hata kufuatisha walivyoandika kwenye iyo karatasi apo?🚮
 
Hili expert wangu kwa asilimia kubwa lina ukweli sana,kwasababu kwa mujibu wa qur'an tukufu,roho huwa zina kawaida ya kuacha mwili kila siku iendayo kwa Mungu tunapo lala

Kwahiyo kuna uwezekano mkubwa on their way back zinapita sehemu mbali mbali na mwisho wa siku ukienda pale physical unakumbuka mbona hapa nishafika

Hii nadharia nai amini asilimia zote

Hizo nafsi huwa zinasafiri muda gani tukiwa ktk utambuzi au tukiwa usingizini?
 
Leo Nilikuwa nipo katika maktaba yangu ya simu nasoma kitabu kinaitwa "the power of karma"

Katika kusoma nimekutama na neno la kifaransa linaitwa Dejevu likimaanisha already seen.

Hii nimewahi kuisoma Mara nyingi Ila Leo nilijaribu Ku-trace maisha yangu na kuiona hii Dejavu

Dejavu - inaamisha kuwa kuna mambo huwa yanatokea au Unayaona na Kuhisi Kama uliwahi kuyaona.

Nitaendelea Ila sifikirii Kama nitaelewaka kirahisi

Ni kuwa unaweza kukaa eneo ambalo ulishawahi kulikaa kupitia kitu inaitwa Dejavu already seen na ukikaa katika hilo eneo utali-master na kujikuta unaishi vizuri kwakuwa utakuwa na insights nyingi sana juu yako.
Hii kitu ni kweli aisee! Kuna siku unakuta kila unachofanya au kinachotokea unaona inafanana kabisa na siku fulani ambayo umeshaiishi hapo kabla. Yaani karibia kila kitu. Huwa inanishangaza sana.
 
Hii khali huwa inanitokea mara moja moja.
Kinaweza kufanyika kitendo lakini kumbukumbu zangu zinanijulisha kuwa haya ni marudio, hiki kitu umewahi kukishuhudia kabla.
Kweli kabisa. Huwa inanishangaza sana Aisee!
 
Mimi iliwahi kunitokea nilienda mkoa ambao sijawahi kwenda tangu nizaliwe lakini kuna mahali nilikuwa nikifika najihisi niliwahi kufika kabisa tena zaidi ya mara moja.
Nilikuja kugundua niliwahi kuiota hiyo sehemu zaidi ya mara moja kabla sijaenda mkoa huo
 
Back
Top Bottom