Umewahi kukataliwa hadharani kinyume na ulivyotarajia?

Umewahi kukataliwa hadharani kinyume na ulivyotarajia?

Ni ajabu Sana wanavyoacha kikatili lakini wanategemea kupokelewa kirahisi Kwa vitishio vya sijui ntajiua

Kuna baadhi ya wanawake wanachangia sana kutengeneza wanaume kuwa katili. Wakipendwa sana wanaleta dharau. Wanaacha wanaume kwa ukatili tena kwa kuwadhalilisha pasi kujali. Matokeo yake wanaume wanabadilika na kutowajali kisha wanaanza uanarahakati.

Wanawake wanaojua kuwajali na kutodharau wanaume wanaowapenda, wanakuwa na furaha sana kimahusiano.
 
Kwa hiyo ndio wamefundishwa hivyo huko school of law kutoa watu ngeu?mkuu mbona kama unawasahia sana kunguni?🤠
Mkuu ujakaa nao nin kwenye vikao..watu tu wanawachukulia wanna maana kumbe hamna kitu wanaongoza sana kuomba nafasi za utendaji wa vijiji/mitaa zinazotangazwa na halmashauri tofauti tofauti..
 
Back
Top Bottom