Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Duh🤔😂🤣🤣🤣 mshamba_hachekwi ona na hii🤔🤔, hii Unique Flower ni solo huru🤣😂Wala nimejipanga dear wewe njoo tu namaji ya kutosha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh🤔😂🤣🤣🤣 mshamba_hachekwi ona na hii🤔🤔, hii Unique Flower ni solo huru🤣😂Wala nimejipanga dear wewe njoo tu namaji ya kutosha
nimemshindwa aisee😅 sio rizki ya mshamba tenaDuh🤔😂🤣🤣🤣 mshamba_hachekwi ona na hii🤔🤔, hii Unique Flower ni solo huru🤣😂
Public relations 🤣😂😂nimemshindwa aisee😅 sio rizki ya mshamba tena
My little sweep pie , she is okay however we still got some issues.vipi wako yule amekaa sawa au bado?
🤣 hapo hakuna hata movie moja naweza kuangalia
Sasa kama mtu mwenyewe nimemtoa namtaka akasema wala hanitaki akatoka nduki na Mwachiluwi alichukuliwa na Pridah sasa unatakaje?Duh🤔😂🤣🤣🤣 mshamba_hachekwi ona na hii🤔🤔, hii Unique Flower ni solo huru🤣😂
Mh kweli sema kweli weweSasa kama mtu mwenyewe nimemtoa namtaka akasema wala hanitaki akatoka nduki na Mwachiluwi alichukuliwa na Pridah sasa unatakaje?
Mwanaume unamjali unampa kipaumbele anakutolea mapovu
YesMh kweli sema kweli wewe
Ngoja nikikukamata unaharibu mapenzi ya watu walahi nakugawanya hutoamini na mashati yako makubwa kama bendera za chademaHi Ina onesha we Ni konkodi wa kugegedwa🤣😂 mshamba_hachekwi
Sorry kipenz
there is no next time siwezi kuyafanya hayo tena.Wakati wa ujana wangu nikifinya ama kuingia katika mahusiano, mwanamke ndiye atakuwa kwanza ku-expose mahusiano yetu na si mimi!.
Nitamkula kimya kimya then utasikia marafiki zangu ama family yangu " kumbe wewe una date na fulani!"
Na mimi nitaonyesha kukataa then watafunguka"katuambia yeye mwenyewe".
Sasa nyie vijana wa siku hizi mnakimbia mbele hadi mnaacha mpira nyuma.
Ikiwa mlikubaliana, why kwake likawa jambo zito na wewe ukaingia kichwa kichwa?.
Next time utaumbuka zaidi!
maji ya nini wakati unayo ?Wala nimejipanga dear wewe njoo tu namaji ya kutosha
kufanya nini tena?Sema nkupe maelekezo
Nini chakufanya
Na hapo mwanamke anaanza kukumbuka mtu ambae alikuwa anamjali na kumpa mda wake, tatizo lao wanaharibu sana.Mkuu sisi wanaume uongo mwingi sana aisee hasa kama hujapata tunda.
Sababu inakua jamaa anakua keshamchoka manzi, hawezi kufake ten zile out za mara kawa mara, mawasiliano ya kila muda hawezi.
Nkupe mbinu za hao ng'ombe wa kuchinjakufanya nini tena?
In onyesha bado mtoto kwenye hii tasinia, weka akiba ya maneno.Mtu akinikataa hilo ni tatizo lake
Shida ya wabongo tunapenda show off,sasa kama huyo kwenye picha alishindwa nini kumvisha huyo demu faraghani wakiwa wawili,Ili hata kama demu atakataa inabaki aibu ya wawili!
Action equals reaction,ulitegemea kuuza mbele ya demu Ili upate ujiko mbele ya masela na mademu,demu naye kutaka sifa mbele ya shoga zake kuwa ni wa thamani akaamua kupindua meza
Usimpe mtu nguvu ya kuamua thamani Yako ndani ya jamii
dondosha mbinu kwa faida ya wana jukwaaNkupe mbinu za hao ng'ombe wa kuchinja
Dahh ila we ni kiboko. Ishi Sana chizi wangu Unique Flower 😂🤒Sasa kama mtu mwenyewe nimemtoa namtaka akasema wala hanitaki akatoka nduki na Mwachiluwi alichukuliwa na Pridah sasa unatakaje?
Mwanaume unamjali unampa kipaumbele anakutolea mapovu
malizia mkuuAliandika kwenye wasap status kua
Nikikupenda ukanikera nakuacha kama nilivokukuta
Kilichotokea sasa bora nisimalizie
Inatosha mkuu ata kuandika ivo nilijishauri sanamalizia mkuu