Umewahi kukataliwa hadharani kinyume na ulivyotarajia?

Umewahi kukataliwa hadharani kinyume na ulivyotarajia?

Au nenda kajitambulisha Mpk kwao...
Mwambie awashauri wazazi wake nyumba yao uifanyie marekebisho itolewe paa au kubomolewa upande mmoja...
Ujenzi uanze mara Moja afu wewe potea ikiwa ujenzi haujaisha.
si kutafutwa kulogwa na ukoo tena watanga 😂
 
hasa na yule uliempenda sana inaumiza
Daaah sema tupo tofauti..
Mii naanza kuumia kwa yule ambaye nimeshakuwa nae kwa mahisiano.

Ila kama sipo nae kwenye mahusiano ndo nipo katika harakati za kumtongoza hata akikataa sawa tu maana nakua sijapenda.

Napenda baada ya kukubaliwa
🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌
 
Daaah sema tupo tofauti..
Mii naanza kuumia kwa yule ambaye nimeshakuwa nae kwa mahisiano.

Ila kama sipo nae kwenye mahusiano ndo nipo katika harakati za kumtongoza hata akikataa sawa tu maana nakua sijapenda.

Napenda baada ya kukubaliwa
🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌
ndio huwa hivyo kwa wengi, huwezi kuumia kwa mtu ambae sio mpenzi wako.
 
Haujamwelewa mleta mada read between the lines km wanavyofanya wanasheria....

Kule juu kaongelea = people

Umewahi kukataliwa %na mtu au watu% hadharani kinyume na ulivyotarajia?

Expectation kills , (people kill), they kill us once when we wait for the same things we did for people. (People kill). They kill us twice when we don't really get anything.

Kwa hio center of action ni people

I'm the best English teacher without any certificates.

Haya nenda katandike mkanda sasa upasue miamba M-BANTU
Khaa [emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom