Smart Gang
JF-Expert Member
- Nov 16, 2022
- 2,013
- 3,406
Sahihi kabisa Mkuudondosha mbinu kwa faida ya wana jukwaa
Mkupokee afu muigizie
Kama unampenda
Mwaka mzima afu muache kama ataumia mpk kufa haina shida.
Tutamzika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sahihi kabisa Mkuudondosha mbinu kwa faida ya wana jukwaa
hii ni kwa faida ya wanajukwaa imefika kama ulivyokusudia.Sahihi kabisa Mkuu
Mkupokee afu muigizie
Kama unampenda
Mwaka mzima afu muache kama ataumia mpk kufa haina shida.
Tutamzika
Au nenda kajitambulisha Mpk kwao...hii ni kwa faida ya wanajukwaa imefika kama ulivyokusudia.
si kutafutwa kulogwa na ukoo tena watanga 😂Au nenda kajitambulisha Mpk kwao...
Mwambie awashauri wazazi wake nyumba yao uifanyie marekebisho itolewe paa au kubomolewa upande mmoja...
Ujenzi uanze mara Moja afu wewe potea ikiwa ujenzi haujaisha.
Hakuna mtu wa kukuroga home Boysi kutafutwa kulogwa na ukoo tena watanga [emoji23]
sawa mkuuHakuna mtu wa kukuroga home Boy
Mi nipo usijali
Ni wachache ambao mtaachana asikutolee maneno ya kashfa.Na hapo mwanamke anaanza kukumbuka mtu ambae alikuwa anamjali na kumpa mda wake, tatizo lao wanaharibu sana.
Ni ulimbukeni tu Kwan hao lawyers wana nini sasa..wanalewa tu konyagi mitaani na kunywa eagle.Kasumba tu!wote kujifanya ma lawyer nani atafundisha mpaka waje waparikane hao lawyers.
hasa akimpata mwenye uwezo kukuzidiNi wachache ambao mtaachana asikutolee maneno ya kashfa.
hasa na yule uliempenda sana inaumizaNaomba mungu nisije kataliwa kabisa aiseeee
Daaah sema tupo tofauti..hasa na yule uliempenda sana inaumiza
ukataliwe na nani lea familia ntakusemea kwa shem😂Naomba mungu nisije kataliwa kabisa aiseeee
ndio huwa hivyo kwa wengi, huwezi kuumia kwa mtu ambae sio mpenzi wako.Daaah sema tupo tofauti..
Mii naanza kuumia kwa yule ambaye nimeshakuwa nae kwa mahisiano.
Ila kama sipo nae kwenye mahusiano ndo nipo katika harakati za kumtongoza hata akikataa sawa tu maana nakua sijapenda.
Napenda baada ya kukubaliwa
🤓🤓🤓🙌🙌🙌🙌
Kijana na share tuu.ukataliwe na nani lea familia ntakusemea kwa shem😂
Eagle tena sio balimi😅?Ni ulimbukeni tu Kwan hao lawyers wana nini sasa..wanalewa tu konyagi mitaani na kunywa eagle.
Balimi tena wanalamba eagle afu na sound mob kuhusu vipengele vya bandari..Eagle tena sio balimi😅?
Mbwembwe kibaoBalimi tena wanalamba eagle afu na sound mob kuhusu vipengele vya bandari..
Acha tu mkuu afu wakitoka hapo wanakuacha na ngeu ya moja au mbili au konyagi ndogo(kabinti).Mbwembwe kibao
Khaa [emoji1787][emoji1787]Haujamwelewa mleta mada read between the lines km wanavyofanya wanasheria....
Kule juu kaongelea = people
Umewahi kukataliwa %na mtu au watu% hadharani kinyume na ulivyotarajia?
Expectation kills , (people kill), they kill us once when we wait for the same things we did for people. (People kill). They kill us twice when we don't really get anything.
Kwa hio center of action ni people
I'm the best English teacher without any certificates.
Haya nenda katandike mkanda sasa upasue miamba M-BANTU