Umewahi kukataliwa hadharani kinyume na ulivyotarajia?

Umewahi kukataliwa hadharani kinyume na ulivyotarajia?

Wala aliponisindikiza home rafiki yake alikuwepo nikaona sio mbaya akilala kwetu kwanza bro yupo chuo tukanyemelea chumba changu nikampa vizuri hadi raha nililalaje kwa raha maana nilisex valentine day na mwanaume mwenye lipsi pana kajazia vyema , ananukia na anajua shughuli hajaoa hatukufanya kwa malipizo tulipendana asubuhi kufika nikaenda kupika chai ya wote akanywa wazazi kwenda akaoga , tukarudia hadi mchana . Yule kaka akapiga simu bro uko wapi akasema kwa kina unique unafanya nini tunakulana wewe si ulisema humtaki mie namtaka period . Yeye akadai huyo manzi ndio anamlipia kodi basi ikaishia hapo. Maisha yakaendelea nilikosa 1 nikapata wakutulia naye ila alilia aisee kuchukuliwa kababe kazuri kanakokata kata mauno
nmependa ulivyomalizia kuwa unayakata mauno😊
 
1.Expectation kills......It kills[emoji736] not they kill[emoji777]
2.It kills us once we wait[emoji736] not once when we wait- matumizi ya “ When” yaendane na uhai wa sentensi Tafadhali

JESUS CHRIST!!!!!
Tena umerudia ....”They kill us”

Hata kama ni lugha ya upili lakini yapaswa kuitendea haki,Au ni vema kunyooka na kiswahili chetu mwanzo mwisho mbona ni kizuri tu.

Na hapo nimesoma fani ya mining sijui kama ningekuwa mwalimu wa English kama ngekuacha bila kukucharaza njukuti
Nimemkumbuka mwalimu wa kiingereza 😀
 
wengi wao wapo hivi hasa akishapata mtu anaeona anamfaa kwa muda huo ila uzuri hao watu wa hivyo huwa jawadumu sijui kwanini.
Mkuu sisi wanaume uongo mwingi sana aisee hasa kama hujapata tunda.

Sababu inakua jamaa anakua keshamchoka manzi, hawezi kufake ten zile out za mara kawa mara, mawasiliano ya kila muda hawezi.
 
sasa hapo sapraizi ni ipi wakati tulipanga na akakubali iwe hivyo?
Alichokifanya alikusudia kukifanya taarifa na utaratibu mzima nilishamjulisha kabla na alikubali ndio maana alishiriki.
Wakati wa ujana wangu nikifinya ama kuingia katika mahusiano, mwanamke ndiye atakuwa kwanza ku-expose mahusiano yetu na si mimi!.
Nitamkula kimya kimya then utasikia marafiki zangu ama family yangu " kumbe wewe una date na fulani!"
Na mimi nitaonyesha kukataa then watafunguka"katuambia yeye mwenyewe".
Sasa nyie vijana wa siku hizi mnakimbia mbele hadi mnaacha mpira nyuma.
Ikiwa mlikubaliana, why kwake likawa jambo zito na wewe ukaingia kichwa kichwa?.
Next time utaumbuka zaidi!
 
Wala aliponisindikiza home rafiki yake alikuwepo nikaona sio mbaya akilala kwetu kwanza bro yupo chuo tukanyemelea chumba changu nikampa vizuri hadi raha nililalaje kwa raha maana nilisex valentine day na mwanaume mwenye lipsi pana kajazia vyema , ananukia na anajua shughuli hajaoa hatukufanya kwa malipizo tulipendana asubuhi kufika nikaenda kupika chai ya wote akanywa wazazi kwenda akaoga , tukarudia hadi mchana . Yule kaka akapiga simu bro uko wapi akasema kwa kina unique unafanya nini tunakulana wewe si ulisema humtaki mie namtaka period . Yeye akadai huyo manzi ndio anamlipia kodi basi ikaishia hapo. Maisha yakaendelea nilikosa 1 nikapata wakutulia naye ila alilia aisee kuchukuliwa kababe kazuri kanakokata kata mauno
Hi Ina onesha we Ni konkodi wa kugegedwa🤣😂 mshamba_hachekwi
 
Back
Top Bottom