Umewahi kukosa kitu gani kwa sababu ya kusema ukweli?

Umewahi kukosa kitu gani kwa sababu ya kusema ukweli?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Katika maisha kuna baadhi ya mambo unaweza kuyapata kirahisi kwa kusema uongo au kudanganya, lakini pia kuna mambo mengine unaweza kuyakosa au usifanikiwe kwakua tu umesema ukweli.

Je, ni mambo gani katika maisha ulitumia ukweli ukayakosa na ulipotumia uongo ukayapata kirahisi?

Ukweli mchungu.
 
Katika maisha kuna baadhi ya mambo unaweza kuyapata kirahisi kwa kusema uongo au kudanganya, lakini pia kuna mambo mengine unaweza kuyakosa au usifanikiwe kwakua tu umesema ukweli.

Je, ni mambo gani katika maisha ulitumia ukweli ukayakosa na ulipotumia uongo ukayapata kirahisi?

Ukweli mchungu.
Kumkubali ujinga wa boss wangu ili mambo yangu yaende sawa..Huyu boya aliharibu ndoa ya mwenzie hadi ndoa ikavunjika mambo yakawa moto , na hapo nyuma kidogo kuna kosa ilitokea na kidogo nitimuliwe kibaruani,yeye ndio alinibeba .

Ikabidi niwe mnafiki tu nimsupport hivyo hivyo japokuwa ilikuwa inaumaa ,nikikataa nitaishije mjini bila kazi ,mwamba amegongewa na kinyang'anywa jumla ndoa mbichi yenye miaka 3 na mtoto moja na michango ya harusi tulichanga.


DUNIA HAIJAWAI KUWA SAWA....NI UWANJA WA FUJO.


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom