Cpp
JF-Expert Member
- Nov 1, 2012
- 1,199
- 2,403
Sikulipa ela ya chakula, sasa wakati wa kusaini clearance form kuna pengo sehemu ya chief warden. Ilibidi niingie mtaani kufoji muhuri wa chief warden na saini yake. Bahati nzuri hawajastuka mpaka wakati wa graduation.
Hii ilinifanya hata caution money nisiifatilie kwa uoga wa kustukiwa kwenye huu msala wangu.
Hii ilinifanya hata caution money nisiifatilie kwa uoga wa kustukiwa kwenye huu msala wangu.