Umewahi kukumbwa na janga gani chuoni mpaka ukapaona chuoni kuchungu?

Umewahi kukumbwa na janga gani chuoni mpaka ukapaona chuoni kuchungu?

Third attempt ya Dr madege SUA ilikwa anipe usingiz.
Ukiwa na third attempt kuna mda ukilala unaiota [emoji1787]

Kama ulikuwa na furaha ukiifikiria tu furaha inayeyuka

Na kwenye exam ticket inaonekana labda uifiche wana wasiione


Maana sup kawaida ila third kila mtu anaficha mnakutana kwenye pepa [emoji3]
 
Ukiwa na third attempt kuna mda ukilala unaiota [emoji1787]

Kama ulikuwa na furaha ukiifikiria tu furaha inayeyuka

Na kwenye exam ticket inaonekana labda uifiche wana wasiione


Maana sup kawaida ila third kila mtu anaficha mnakutana kwenye pepa [emoji3]
😂 😂 😂
 
Mkuu, sijui kama ni mwaka mmoja ila mimi pesa iliiingia ya watu wawili nilichomoa fasta, nikaitwa na mhasibu nikakataa. Issue ikaja yale mabum mawili ya mwisho yalikuwa yanakatwa juu kwa juu.

Ahahah maisha yalikuw magumu sana mwishoni.
Dean wetu anazingua majina alibandika kweny ubao wa matangazo kama wezi vile kutudhalilisha Kuna Wana wanasema hawakurudisha na ilikuwa semester ya mwisho
 
Nilipata sup ya negotiation n mediation alafu mkufunzi mtata ukikata rufaa anaku mind mara 2

Mwamba nikakata rufaa, jamaa wakija kwangu wanasema mkufunzi haniachi aseeh lazima anile kichwa tena na tena

Nilikuja kuchomoka, tangu hapo nikaacha ubwege

huyu mkufunzi mbona kama wa pale faculty of law[emoji23][emoji23][emoji23] chuo cha mji kasoro bahari
 
Nilikula hela ya field aloo siku ya kwenda field inafika Sina hela.namshukuru mungu nilichangiwa na wenzangu.
 
Nakumbuka niko second year,nikatokewa na demu mmoja wa mwaka wakwanza..siku moja kaja room bahati nzuri tulikuwa tunakaa wanne room moja,.siku alokuja room wenzangu wawili walikua library huyu mwingine akanipa nafasi nichakate mbususu..hee demu askate Moto?masaa mawili mtoto hana dalili za kuamka,nakumbuka ilikua mida ya saa mbili usiku tukampanga mshikaji wangu mmoja alikua na gari tukazima umeme hostel nzima tukambeba usiku huo mpaka room kwake,mi mda huo huo nkaingia mitini..kesho yake napigiwa simu na mshikaji wangu mmoja akanambia rudi chuo kumbe demu alikimbizwa hospital akarudiwa na fahamu usiku wa manane na kitanda alicholazwa pembeni yake alilazwa demu wangu mwingine (walikua hawajuani) akamsimulia mwanzo mwisho kilichotokea nikapigwa vibuti viwili siku hiyo hiyo[emoji23][emoji23]Baadae nkaja kuambiwa yule demu alikua na ugonjwa na anaweza akazima siku nzima[emoji114]
 
Mimi nakumbuka nilikula sup kijinga sana 2011 .. kisa ni POMBE narudi ni POMBE niko zangu geto nimetulia sikwenda kwenye kipindi mara nasikia msg inaingia nakuja kuangalia naaona kuna test ya ghafla ya taxation.

Aisee nikachomoka kama risasi nauliza anatoa wapi naambiwa alio fundisha leo aisee yule ticha alikuwa kiboko sana. ghafla tumeingia watu kama 30 hivi ticha akawa anashangaa akahairisha kutoa akasema next time. Asubuhi kulikuwa na pindi lake kumbe katuma msg kwa DN kuwa jioni kuna test na wakati natoka chuo kuna jamaa yangu mmoja alipiga bingo sijuii wapi akawa anatoa ofer za konyagi na safarii ile nashuka geto namuona huyo ananiita nikajumuika naangalia namuona na DN, tukaanza kutupia vitu saa 7 hivyoo saa 10 msg inaingia test akili ya pombe tukasema hatuendi tutalalamika kuwa tulikuwa hatuko tulikuwa town.

Ticha akatoa test tena open mamake aisee wakati anaondoka amemealiza mida ya saa 10 akapita kupata msosi akatufuma live tuko tuna Gonga NYAGI beer kama zote yani ile picha sita sahau maana tulikuwa wote wa darasa moja na tuko watu kama 9. Alijikausha kama sio yeye ana akawa anakula huku anatuangalia.
 
kosa lingine ilikuwa ni kulamba ada sema ilikuwa sio nyingi kama laki 3 ila cha moto nilikiona maana ilikuwa ni tumbo joto.
Usile ADA HAILIPIKI. Mimi nilijaribu hapo ndipo nilijua nani rafiki na nani adui. Pia hapo nilijua nina ndugu wa namna gani. Chuo kilinicheleweshea bumu sasa hela ya kuongezea ada nikaila maana home wasingenielewa kuwaambia naomba hela ya kula. Mpaka inafika siku ya mitihani bado hela haijasoma so nikaenda kwa Dean of School akaniandikia barua nikapewa examination card nikafanya pepa. Hela ikatoka nipo home nikatumia kama laki nikijifariji hela ya field ikiingia nitalipa. September conference ikaniita nafika kigezo ni kuingia ni kulipa ada. Hapo sina nina laki nne na nusu tu we nilikoma. Piga simu zote watu hara hawapokei yani. Mshkaji mmoja rafiki yangu na yeye akashikwa akaja kufanya mtihani. Anakuja maza ake akamtumia hela ya kula kwenye simu nakumbuka tu alinipa simu akaniambia mwanangu kalipe ada. Nikatoa ada nikalipa ada halafu nikarudi tena bro sina hela ya kula. Mwana alinilisha wiki mbili. With that he became my brother. Hata leo alinipigia simu nina tatizo hili naomba msaada i don’t think twice maana hata ile hela hakuitoa yeye niliitoa mimi yani hata kuiona hakuiona. Huwa namwambia Mungu endelea kumbariki maana ndugu waligoma hata kunimbia hatukupi. Pia nimejifunza kutoa feedback kwa watu kuhusu mambo mbalimbali.
 
Usile ADA HAILIPIKI. Mimi nilijaribu hapo ndipo nilijua nani rafiki na nani adui. Pia hapo nilijua nina ndugu wa namna gani. Chuo kilinicheleweshea bumu sasa hela ya kuongezea ada nikaila maana home wasingenielewa kuwaambia naomba hela ya kula. Mpaka inafika siku ya mitihani bado hela haijasoma so nikaenda kwa Dean of School akaniandikia barua nikapewa examination card nikafanya pepa. Hela ikatoka nipo home nikatumia kama laki nikijifariji hela ya field ikiingia nitalipa. September conference ikaniita nafika kigezo ni kuingia ni kulipa ada. Hapo sina nina laki nne na nusu tu we nilikoma. Piga simu zote watu hara hawapokei yani. Mshkaji mmoja rafiki yangu na yeye akashikwa akaja kufanya mtihani. Anakuja maza ake akamtumia hela ya kula kwenye simu nakumbuka tu alinipa simu akaniambia mwanangu kalipe ada. Nikatoa ada nikalipa ada halafu nikarudi tena bro sina hela ya kula. Mwana alinilisha wiki mbili. With that he became my brother. Hata leo alinipigia simu nina tatizo hili naomba msaada i don’t think twice maana hata ile hela hakuitoa yeye niliitoa mimi yani hata kuiona hakuiona. Huwa namwambia Mungu endelea kumbariki maana ndugu waligoma hata kunimbia hatukupi. Pia nimejifunza kutoa feedback kwa watu kuhusu mambo mbalimbali.
Inspiration
 
Back
Top Bottom