Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umeupataje ualimu, maana kuna mada umesema ni mwalimuMimi nilikua mtu nisiependa kusoma tokea niko mdogo mpaka kufika chuo kikuu japo nilipokua mdogo nilikua sipendi kusoma na sikiwahi kufeli..
Nilivyofika chuo na ule u free mwingi Mimi ndio nilikua mtaalamu wa movie mpya mpya, nikapanga gheto nje yani habari za chuo sina quiz washikaji wananifanyia. Naenda chuo usiku kudownload movie tu.
Chuo niligraduate na GPA ya 1.9 hata sijutii.
O-level div 2, advance 2 PCB , chuo nikasoma physics..ajira nikapata miaka hiyo Morogoro huko, chuo nilikuwa nazingua sio kwamba sikuwa na akili sikuwa serious na masomo tu, japo sijawahi kupenda kusoma tokea nikiwa primary. Na kilichonifanya nisitilie mkazo chuo course nyingi ni zile tumeshazisoma advance huko, electronics, optical instrument, electromagnetism na nyingine nyingi, so nilikuwa naenda kwenye mtihani tu.Umeupataje ualimu, maana kuna mada umesema ni mwalimu
Changamoto kubwa nlioipata first year ni manzi kuja geto na kushindwa kumla .....baada ya kushindwa mbinu due to the effects of domo zegeKatika harakati za kusaka elimu vyuoni wanafunzi wanakutana na kashikashi nyingi sana zinazosababisha wakati mwingine mpaka mtu kuachana na mambo elimu, mfano kujikuta uko kwenye mgogoro na mwalimu wako sababu wote mnamfukuzia binti fulani, kufanya starehe kwa kupitiliza mpaka unasahau kilichokupeleka ni baadhi ya kati ya mengi.
Je ulishawahi kukutana na kisanga gani mpaka ukapaona chuoni kama uwanja wa vita? Uliweza kurudi kwenye mstari au mpaka leo bado ni majuto tu?
Sitomsahau msimamizi wa Research yangu ya Masters, DR BARBARA, huyu dada wa kizungu kwanza alikuwa mdogo kiumri kwangu lakini madharau kama yote. Anataka Jumamosi na Jumapili iwepo maabara asipokuona msala.Katika harakati za kusaka elimu vyuoni wanafunzi wanakutana na kashikashi nyingi sana zinazosababisha wakati mwingine mpaka mtu kuachana na mambo elimu, mfano kujikuta uko kwenye mgogoro na mwalimu wako sababu wote mnamfukuzia binti fulani, kufanya starehe kwa kupitiliza mpaka unasahau kilichokupeleka ni baadhi ya kati ya mengi.
Je ulishawahi kukutana na kisanga gani mpaka ukapaona chuoni kama uwanja wa vita? Uliweza kurudi kwenye mstari au mpaka leo bado ni majuto tu?
😂 😂 😂 😂Changamoto kubwa nlioipata first year ni manzi kuja geto.na kushindwa kumla .....baada ya kushindwa mbinu due to the effects of domo zege
walau umepata funzo kupitia hayoStarehe za kupitiliza pombe sana na nilikuwa sina mkopo.
Nlijikuta nimetafuna ada yote ikabidi nipostpone nikatafuta hela next year nilifanikiwa ku graduate.
Na advance nilikula ada ya mwaka mzima 1.4m mpaka leo sijaclear najuta sana instead huwa natumia loss report kwenye harakati za kusaka ajira.
vipi mwaka wa tatu, ulifanikiwa kutoboa bila zengwe?Nilipiga sup nikashindwa kuchomoa nikawa na third attempt
Daah kila nikikumbuka matokeo yangu nakuwa na huzuni tu maana nikishikwa tena hiyo ni retake siendelei mbele
Na somo gumu kisenge na PROf mnoko alinikariri baada ya kumfuma mtu ananifanyia quiz Ali note jina langu mwenzangu alimsamehe
Semister zote mbili za mwaka wa pili sikuishi kwa amani nilijua kabisa hapa mwaka wa 3 sitoboi
Yule PROf alikufa na maradhi ..so japo ni huzuni somo akapewa mwengine huyo mwengine alishangaa jamaa bado kashkilia watu third round alivyopewa idadi ya stds wenye sups atakao simamiavipi mwaka wa tatu, ulifanikiwa kutoboa bila zengwe?
noma sana 😀 😀Yule PROf alikufa na maradhi ..so japo ni huzuni somo akapewa mwengine huyo mwengine alishangaa jamaa bado kashkilia watu third round alivyopewa idadi ya stds wenye sups atakao simamia
So hapo ikawa magoli [emoji3]
Ulikua unatandika wote wawili 😀 sipati picha ulivyokuwa unarusha mikono kama jackie chan vile 😃😃Mimi tukio la chuo ambalo sitolisahau ni mwaka wa kwanza.
Hostel room tulipangwa wa 4. Sasa mambo ya kike tena roommates wangu watatu wakaungana wakaninunia halafu wakawa wananipiga vijembe live. Wakavuka mipaka wakawa wananiharibia vitu vyangu. Mfano, nikitanyika kitanda wanatoa shuka na kuvuruga nikiwa sipo.
Sasa hiyo siku kama Mungu. Naenda class nikawa nimesahau notes room. Nikarudi kabla hata sijamaliza kushuka ngazi. Nikavikuta vinavuruga vitu vyangu.
Hasira ilinipanda nikaona liwalo liwe. Nikakamata mmoja nikamtembezea kichapo wakaingilia wale wawili. Nikawachanganya wote. Nikawapiga wote. Yaani walinichangia watatu lakini walichapika haswa hadi vikakimbia nje vingine havijavaa hata nguo.
Baadae warden akatuita tukatakiwa tufukuzwe hostel.
😀😀😀nyie mnaiba pesa aisee kama hamkufukuzwa mshukuru sanaTulipogundua kwamba chuoni hawana kawaida ya kufuatilia watu walio feli(discontinue) tukaunda team ya watu kama saba na kutengeneza vitambulisho fake vya watu walifeli kuendelea na masomo mara tu baada ya orodha kutoka ubaoni kuonyesha kweli wamefeli.Kweli tukafaniki kuchukua zile pesa dirishani (enzi hizo pesa haitumwi kwenye benki account) na kugawana kadri ya ushiriki wa kila mmoja wetu.Kasheshe ilikuja baada ya mmoja wa waliofeli kujitokeza kupinga kuwa hajafeli (kukata rufaa) na kukuta pesa yake imechukuliwa.....ilikuwa mbaya maana yule aliyechuykua pesa alikuja kujulikana na kusimamishwa masomo na kutakiwa kuzirudisha pesa zote
😂 😂 😂 pisi ikakuponzaSikuwahi pata sup mpaka mwaka wa 3 nikajimix nikamfanyia quiz pisi flani lecture akagundua kiufupi nilisup...nikacarr...baada ya kulia sana ndo akaniambiaa komaa upate marks nzuri utapita akaniachia ila nilikoma.
😂 😂 😂 Septemba conference haijawahi kumuacha mtu salamaTulikua tunaita septemba conference.. sjawai kosa.. had nilikua nakonda