Lucky saba
Member
- Apr 11, 2013
- 9
- 23
Ahh, bwana mmoja Aliitwa Issa, alinyoosha mifuko 2017 uni people wanamkumbuka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaa hii chuo gani mbona 1.9 disco hii wewe umepitaje hapo hiyo cheti rudisha ona kaaibu kidogoMimi nilikua mtu nisiependa kusoma tokea niko mdogo mpaka kufika chuo kikuu japo nilipokua mdogo nilikua sipendi kusoma na sikiwahi kufeli..
Nilivyofika chuo na ule u free mwingi Mimi ndio nilikua mtaalamu wa movie mpya mpya, nikapanga gheto nje yani habari za chuo sina quiz washikaji wananifanyia. Naenda chuo usiku kudownload movie tu.
Chuo niligraduate na GPA ya 1.9 hata sijutii.
Hii ni aina gani ya usimualiaji 😂Mimi nishawahi kula Ada , na mtihani unakaribia.
Umenifrahisha sana hasa kwenye GPAMimi nilikua mtu nisiependa kusoma tokea niko mdogo mpaka kufika chuo kikuu japo nilipokua mdogo nilikua sipendi kusoma na sikiwahi kufeli..
Nilivyofika chuo na ule u free mwingi Mimi ndio nilikua mtaalamu wa movie mpya mpya, nikapanga gheto nje yani habari za chuo sina quiz washikaji wananifanyia. Naenda chuo usiku kudownload movie tu.
Chuo niligraduate na GPA ya 1.9 hata sijutii.
Kabisa ani hii September conference mwenyewe nimehudhuria sana[emoji23] [emoji23] [emoji23] Septemba conference haijawahi kumuacha mtu salama
GPA ya 1.9 hii nikipiga hesabu zangu sijui kama inakujaMimi nilikua mtu nisiependa kusoma tokea niko mdogo mpaka kufika chuo kikuu japo nilipokua mdogo nilikua sipendi kusoma na sikiwahi kufeli..
Nilivyofika chuo na ule u free mwingi Mimi ndio nilikua mtaalamu wa movie mpya mpya, nikapanga gheto nje yani habari za chuo sina quiz washikaji wananifanyia. Naenda chuo usiku kudownload movie tu.
Chuo niligraduate na GPA ya 1.9 hata sijutii.
Kwann hujutii?Mimi nilikua mtu nisiependa kusoma tokea niko mdogo mpaka kufika chuo kikuu japo nilipokua mdogo nilikua sipendi kusoma na sikiwahi kufeli..
Nilivyofika chuo na ule u free mwingi Mimi ndio nilikua mtaalamu wa movie mpya mpya, nikapanga gheto nje yani habari za chuo sina quiz washikaji wananifanyia. Naenda chuo usiku kudownload movie tu.
Chuo niligraduate na GPA ya 1.9 hata sijutii.
Mlifoji saini ya nini?mie na wadau tulifoji saini, tulidakwa bila hata kutegemea, ilikua ni disco, adhabu nyepesi kabisa kabisa ni kurudia mwaka
nilitamani kurudisha mda nyuma qmmmq
ila alisamehe, nikachukua laki nzima kulala na malaya kujipongeza
ni quiz ya praki ile , sikumbuki vizuri hasa, ila yule ticha alikua anaweka signature yake kwa chini kuashiria praki mliifanya, ebana hata sitaki kukumbukaMlifoji saini ya nini?
Ila lecturer wa chuo ni wakamiaji sanani quiz ya praki ile , sikumbuki vizuri hasa, ila yule ticha alikua anaweka signature yake kwa chini kuashiria praki mliifanya, ebana hata sitaki kukumbuka
kweliIla lecturer wa chuo ni wakamiaji sana