Umewahi kukumbwa na janga gani chuoni mpaka ukapaona chuoni kuchungu?

Umewahi kukumbwa na janga gani chuoni mpaka ukapaona chuoni kuchungu?

Ahh, bwana mmoja Aliitwa Issa, alinyoosha mifuko 2017 uni people wanamkumbuka
 
Wasalaam!

Niwape pole, pia pongezi kwa kuhitimisha ama kuendelea kuhitimisha majukumu ya leo

Leo napenda tukumbushane juu ya maisha ya chuo, na hasa kwa upande wa changamoto tulizopitia katika kukamilisha ndoto zetu za kielimu.

Katika maisha ya chuo kuna changamoto nyingi mno, kuna kushinda njaa, kufukuzwa chuoni kwa sababu ya ada, Kuna kutoelewana na wakufunzi na hapo kupitia magumu magumu kweli kweli, je, wewe mwenzangu umepitia yapi katika kuikamilisha ndoto yako itimie?
;
NILIYOPITIA MIMI NI HAYA;
mimi njozi yangu niliijenga chini ya msingi wa mambo ya afya ya binadamu, miaka Kadhaa iliyopita nilifanikiwa kumaliza form six, na kujiunga na chuo x, kilichopo hapa Dar es Salaam (kwani ndipo karata yangu ilipoangukia baada ya application), nakumbuka kabla post hazijatoka, nilikuwa najishughulisha na mambo ya mapindi kwa masomo ya Physics, Chemistry, Biology na Maths, kuanzia form 3 mpaka form six, lakini pia kilimo, hasa cha mpunga MKOANI HUKO.

Basi Bhana , post zikatoka, nimechaguliwa kitu nlichokipenda sana, but mkopo hakuna, nikajadiliana na mzazi, akaniambia nenda siwezi shindwa kukulipia, nikaingia mzigoni, mwaka wa kwanza ukawa poa sana, wa pili ukawa poa kwa wasiwasi ila ukapita salama, watatu ada ikagoma kabisa, msosi hakuna, ela sina Nikawa natamani angalau nipate vijana wa six niwabrash waniachie hata jero jero Walau mkono uende kinywani ila wapi!

Hali ilikuwa tete kias kwamba nutritional status zilikua very poor, magonjwa ya fungus na nutritional deficiency hayaishi , chuo nikikanyaga nafukuzwa sababu ya ada , kiukweli hata utamu wa masomo hakuna , kuiba siwez, madili mjini hapa sina, je, nifanyeje na future yangu inapotea? Maana kila nkimcheck mother , economically hayuko poa, kihomehome tuko mim na dogo na dogo yuko five private! Je, nitafanya nini?

ITAENDELEA!
20221215_230309.jpg
 
Mimi nilikua mtu nisiependa kusoma tokea niko mdogo mpaka kufika chuo kikuu japo nilipokua mdogo nilikua sipendi kusoma na sikiwahi kufeli..

Nilivyofika chuo na ule u free mwingi Mimi ndio nilikua mtaalamu wa movie mpya mpya, nikapanga gheto nje yani habari za chuo sina quiz washikaji wananifanyia. Naenda chuo usiku kudownload movie tu.

Chuo niligraduate na GPA ya 1.9 hata sijutii.
Khaa hii chuo gani mbona 1.9 disco hii wewe umepitaje hapo hiyo cheti rudisha ona kaaibu kidogo
 
kwangu mimi ni pale nilipofeli kufanya mtihani wa final maana credits hazikutimia. halafu hakuna hata mwanafunzi mmoja aliyeniambia siku ya pili yake ndipo nilipogundua wanafunzi waliniona kama mavi sijui mtu asiyefaa kuwa katika jamii. aisee nilitengwa kwa nzia hapo. niliumia aisee sana tu.
 
Mimi nilikua mtu nisiependa kusoma tokea niko mdogo mpaka kufika chuo kikuu japo nilipokua mdogo nilikua sipendi kusoma na sikiwahi kufeli..

Nilivyofika chuo na ule u free mwingi Mimi ndio nilikua mtaalamu wa movie mpya mpya, nikapanga gheto nje yani habari za chuo sina quiz washikaji wananifanyia. Naenda chuo usiku kudownload movie tu.

Chuo niligraduate na GPA ya 1.9 hata sijutii.
Umenifrahisha sana hasa kwenye GPA
 
Mimi nilikua mtu nisiependa kusoma tokea niko mdogo mpaka kufika chuo kikuu japo nilipokua mdogo nilikua sipendi kusoma na sikiwahi kufeli..

Nilivyofika chuo na ule u free mwingi Mimi ndio nilikua mtaalamu wa movie mpya mpya, nikapanga gheto nje yani habari za chuo sina quiz washikaji wananifanyia. Naenda chuo usiku kudownload movie tu.

Chuo niligraduate na GPA ya 1.9 hata sijutii.
GPA ya 1.9 hii nikipiga hesabu zangu sijui kama inakuja

Grade C yenye point 2.0

Grade Ina point 1.0

Sasa ukipata C FLAT utaangukia 2.0 overall GPA.

Au huko kwenye hadi Grade D inahesabiwa.

Unieleweshe hapo au umesoma Chuo Cha city college sio vya TCU.
 
Mwaka wa kwanza nilichomoka fresh

Mwaka wa pili ulikuwa mgumu mitihani migumi ssna nikalamba makarai na B za kutosha.

Nikagundua sikua nasoma effectively na sikua majibu mtihani vizuri nikajioanga kwa mwaka wa tatu

Nikalamba A za kutosha na B+

nikamakiza na Upper second class with honours.
 
Mimi nilikua mtu nisiependa kusoma tokea niko mdogo mpaka kufika chuo kikuu japo nilipokua mdogo nilikua sipendi kusoma na sikiwahi kufeli..

Nilivyofika chuo na ule u free mwingi Mimi ndio nilikua mtaalamu wa movie mpya mpya, nikapanga gheto nje yani habari za chuo sina quiz washikaji wananifanyia. Naenda chuo usiku kudownload movie tu.

Chuo niligraduate na GPA ya 1.9 hata sijutii.
Kwann hujutii?
 
Mimi nakumbuka niko mwaka wa pili field nikaingiziwa mpunga mrefu field hadi nikashangaa. Kila siku nikawa nauchungulia kama watapunguza. Baada ya wiki nikaona bado upo. Nikaukwangua wote, ni mwendo wa bata tu. Baadaye nikarudi Chuoni, nikasoma semester yote fresh, sasa imefika kipindi cha mitihani nakosa permit!! [emoji26][emoji26] Kufuatilia imekuaje, naambiwa unadaiwa laki nne ambazo si zako, ziliingizwa kimakosa kwenye akaunti yako!! [emoji23][emoji23] Jasho acha linitoke, ila baadae walinikubalia kufanya kwa sharti la kuzilipa kabla ya kujisajili semester itakayofuata!!
 
Mimi Sina visanga vya chuo mambo yangu yalikuwa smooth tu Hadi nimemaliza.

Nakumbuka tupo second year Kuna jamaa alikuwa anasoma course sensitive ambayo huwezi tegemea kuwa atakamatwa akiiba laptop, hiyo siku jamaa alishikwa red handed akiiba alipata mkong'oto wa maana na wanafunzi wengine Kisha akafikishwa kituo Cha polisi Cha jirani, ilikuwa mbaya maana ndo ilikuwa basi Tena masomo yalikomea hapo.
Hapo alikuwaga na gal wake waliokuwa hawaachani Kila sehemu wote am sure yule dada alipitia kipindi kigumu sana.
 
mie na wadau tulifoji saini, tulidakwa bila hata kutegemea, ilikua ni disco, adhabu nyepesi kabisa kabisa ni kurudia mwaka
nilitamani kurudisha mda nyuma qmmmq
ila alisamehe, nikachukua laki nzima kulala na malaya kujipongeza
 
mie na wadau tulifoji saini, tulidakwa bila hata kutegemea, ilikua ni disco, adhabu nyepesi kabisa kabisa ni kurudia mwaka
nilitamani kurudisha mda nyuma qmmmq
ila alisamehe, nikachukua laki nzima kulala na malaya kujipongeza
Mlifoji saini ya nini?
 
Binafsi nilikosea kusoma , Alhamdu,, 🙆‍♀️
 
Mimi na mshkaji wangu tuliiba mbuzi wa mashindano tena siku ya fainali tukaenda kumficha kwa mshkaji wangu tukijua hatujajulikana kumbe kuna wanoko walituona wakawa wanafuatilia lengo lao watukamate siku tunayomchinja mungu mkubwa dem wa mnoko mmoja nilikua napiga kisela akaja kuniambia mtakamatwa aloo roho zilienda mbio usiku usiku tukaenda kwa mshkJ wangu kwao tulipoficha mbuzi tukamchukua tukaenda kumuuza kwa wauza supu wa mjini hata hatukufaidi nyama tukaahirisha na house party tulio andaa hapo geto madem tulikua tumewapanga waje siku fulani wakaona kimya dah ilitukata stimu sana na uoga juu
 
Mimi ilikuwa mwaka wa kwaza nilikuwa cr bhna acha tu kulikuwa na mwalimu wetu alikuwa anafundisha counselling sasa halikuwa hatokei class wala nini akitokea anafundisha nus saa anaondoka

Sasa wanafunzi walikuwa hawapendi siku hiyo tulifanya test walimu wengine wote waliludisha karatasi ikawa bado yeye na course work zilikuwa zishaaza kutolewa na huyo mwalimu tulikuwa hatujafanya presentation at individual work alikuwa anaweka marks kulinga na mtu anavyo muona

Ilifika kipindi chake cha kwaza saa moja watu wamejihimu class wanafika wakasema kamuite mwalimu nikaenda akasema kashamalizana na sisi kwaio haitaji husumbufu

Nikaludi class nikawapa taarifa akatokea shushu akuongea kitu class akaenda kwa mkuu wa chuo moja kwa moja mkuu wa chuo akamuita mwalimu akachambwa akaja class akawa anaongea uku analia watu wakanigeuzia kibao cr mbeya hatumtaki tuchague mwingine

Niliumia sna mpaka leo yule mwalimu ana jua ni mimi ndie nilienda kusema tukawa hatusalimiani mpaka namaliza na nilipata sup kwasababu hiyo mimi niliamua kwenda dar baada ya vuguvugu hilo nikaludi juma pili juma tatu mtihan ase sitosahau nilihish kwa shida
 
Back
Top Bottom