mchajikobe
JF-Expert Member
- Aug 14, 2009
- 2,661
- 1,267
lil flower mwenyewe!taarifa zako ninazo!sasa fanya kuni-piemu niwe na namba yako kabisa.ai em about to leave the placeGeoff bado uko barazani nimepata tetesi Chrispin ametangulia kuaanda meza inakuaje ucje ukapitwa sorry out of topic.
Wahi kwanza huko nitakuPM 2 dont worrylil flower mwenyewe!taarifa zako ninazo!sasa fanya kuni-piemu niwe na namba yako kabisa.ai em about to leave the place
lil flower mwenyewe!taarifa zako ninazo!sasa fanya kuni-piemu niwe na namba yako kabisa.ai em about to leave the place
Masa wewe mshapu sana, kazi kweli kweliCheck your PM nimekupa number ya LiL Flower!
hehehe!nimepata bwana!nitamdipu baadaeMasa wewe mshapu sana, kazi kweli kweli
Masa wewe mshapu sana, kazi kweli kweli
NITAMDIPU MIDA MIDA!naona vojana wapo kwenye madaladala wanasogea eneo la tukio😀Usikonde my dia flower! Nina aibu sana huwezi amini, jamaa ameisha kupigia?
NITAMDIPU MIDA MIDA!naona vojana wapo kwenye madaladala wanasogea eneo la tukio😀
Zina mgomo au tatizo gani?Bajaj zina matatizo leo?
unajua leo sio geti-tugedha!isipokuwa nina neno nataka kuteta na hawa makamanda!pia tunataka kumuelekeza viwanja stahili kwa hapa mjini mpwa kaizer!so,kama unavyojua tena mamaa wa bajaji hatokuwepo!wala rasta-woman zd hatakuwepo!Bajaj zina matatizo leo?
unajua leo sio geti-tugedha!isipokuwa nina neno nataka kuteta na hawa makamanda!pia tunataka kumuelekeza viwanja stahili kwa hapa mjini mpwa kaizer!so,kama unavyojua tena mamaa wa bajaji hatokuwepo!wala rasta-woman zd hatakuwepo!
safari hii unalo!OK OK
Pass my warm love to gals watakao pitia usawa wenu, waambie bado nimekamatika huku visiwani
Sasa huko visiwani mnatizamana vipi aibu za nini?Usikonde my dia flower! Nina aibu sana huwezi amini, jamaa ameisha kupigia?
Sasa huko visiwani mnatizamana vipi aibu za nini?
hapo hakuna raha yeyote ni karahaMambo kwenye giza bwana! mavazi ya huku si unajua tena kininja tu!
hapo hakuna raha yeyote ni karaha
Masa acha hizo kuchunguliana kwenye giza unaona nini, labda kupapasaMtu asikudanganye full kuchunguliana!
Masa acha hizo kuchunguliana kwenye giza unaona nini, labda kupapasa
Kwenye giza unakutana na vingine ndivyo sivyo, acha hizoUnaona visivyoonekana !!! ukiweka na mipapaso basi raha za kufa mtu!