Umewahi kukutana ana kwa ana na mnyama gani mkali?

Umewahi kukutana ana kwa ana na mnyama gani mkali?

Tulikuwa tunawinda usiku, tumepaki landrover tunatembea kutafuta wanyama? Mwendo mrefu bila kuoma mnyama yeyote! , master akasema lazima kuna chui au simba anayewafukuza wanyama ili tusiwapate.

Ikabidi mission ibadilike! Tuanze kwanza kumuwimda huyu anaewafukuza wanyama!
Ni stor ndefu ila tulimuua chui mkubwa sijawai ona!
Baada ya hapo yulipata wanyama wakutosha!

Kwamba anawafukuza makusudi?
 
Mimi kuna siku niko na Pikipiki nimetoka site huko Nyengedi napanda Milima ya Rondo mida ya saa 2 usiku aisee Mara simba huyu hapa nilianguka na Pikipiki nikainyanyua sikugeuka nyuma nilipofika kijijini palepale nilizimia.

Kuna siku tena natoka Makangaka naelekea Kiranjeranje kupanda basi saa 12 Asubuhi niko na miguu aisee ghafla naona simba dume na jike huwezi amini simba Walikuwa hawana njaa walinisindikiza ila Mimi begi nilitupa na Viatu nilikimbia baadae akaja jamaa wa baiskeli aliokota viatu na begi kauliza nani mwenye begi nikamtajia vitu vilivyopo ndani kitambulisho na nguo akanipa begi.

Kuna siku tena niko speed natoka kinyope nakuja Rutamba pale katikati chui huyu hapa kainua miguu aisee nilinyosha wanguwangu akaruka pembeni.

Siku nyingine tuko na gari Tukaona tembo wanne ruangwa wanapita.

Kiboko ashanikosa kwenye mtumbwi mto Ruvuma daraja la Mkenda hakuwa na mtoto alikuwa anaibuka nasikia akiwa na mtoto ndio anakuwa mkali.

Nyoka ndio sana barabarani nishakutana nao zaidi ya Mara tatu ila wadogo wadogo sijawahi kukutana na joka kubwa na kuna siku tumekaa kwenye mti ghafla nyoka kadondoka.

Aisee tunaoishi huku Lindi tumepakana karibu sana na pori kubwa la selous yaani tunapocheza Cheza huku njiani tunakutana na viumbe machachari hapa ninahamu tu kuja kukutana na mamba live ndio sijawahi kumuona.
Mkoa wenu una madudu yote ya ajabu nigga cheki mfano huu mziki wa leo
 

Attachments

  • IMG20240204150457.jpg
    IMG20240204150457.jpg
    1.8 MB · Views: 12
Nyie watu mbona majasiri kihivyo au ndo stori za nyuma ya keyboard. Mie nyenyere tu chumbani silali iweje waishi mazingira hatarishi namna hiyo utembee mida ya uhuru wa fisi, nyoka, simba, chui, tembo nk nk. Hapa ndo picha la kihindi kutolewa Facebook na kuletwa humu saver linajaa mada fikirishi hakuna
 
Uso kwa mbavu na mamba saa kumi na mbili asubuhi. Sijajua nilifikaje nyumbani na yeboyebo moja mkononi badala ya mguuni

Uso kwa uso na nyoka twaita swila asee nimetoka mapumziko ya saanne. Namkuta jamaa kajaa sebleni alafu nimempita mlangoni nampitaje ili nitoke njee?
Ikabidi nijitoe ufahamu na wenge limezidi siku hiyo ndo nikatambua niko na kipaji cha kuruka sema ni mvivu tu

Nikafanikiwa kufika kwa jirani baba juma. Baba juma anafika naonamwenzangu anatetemeka miguu kuona ile ndude inaingia chumba kingine akasema mdogowangu tuondoke hapa pana vita nzito ila usiseme kama tumemwona mdusu humu ndani
Siku hiyo ndo nikajua kazi ya kuka macho naimudu vema mana nyumba nzima mimi niko macho peleang
 
Siku nakatiza misitu ya Mabwe Pande nikakutana na Mamba wawili wanatiana. Kuniona wakashtuka. Wakaanza nikimbiza. Nilikimbia sana nikapanda juu ya mti mrefu yule dume naye akawa anapanda anile. Nikamtemea mate usoni halafu nikamtoboa jicho moja na kijiti ndo kurudi chini.
mamba anataka akule mzigo?
 
Mimi kuna siku niko na Pikipiki nimetoka site huko Nyengedi napanda Milima ya Rondo mida ya saa 2 usiku aisee Mara simba huyu hapa nilianguka na Pikipiki nikainyanyua sikugeuka nyuma nilipofika kijijini palepale nilizimia.

Kuna siku tena natoka Makangaka naelekea Kiranjeranje kupanda basi saa 12 Asubuhi niko na miguu aisee ghafla naona simba dume na jike huwezi amini simba Walikuwa hawana njaa walinisindikiza ila Mimi begi nilitupa na Viatu nilikimbia baadae akaja jamaa wa baiskeli aliokota viatu na begi kauliza nani mwenye begi nikamtajia vitu vilivyopo ndani kitambulisho na nguo akanipa begi.

Kuna siku tena niko speed natoka kinyope nakuja Rutamba pale katikati chui huyu hapa kainua miguu aisee nilinyosha wanguwangu akaruka pembeni.

Siku nyingine tuko na gari Tukaona tembo wanne ruangwa wanapita.

Kiboko ashanikosa kwenye mtumbwi mto Ruvuma daraja la Mkenda hakuwa na mtoto alikuwa anaibuka nasikia akiwa na mtoto ndio anakuwa mkali.

Nyoka ndio sana barabarani nishakutana nao zaidi ya Mara tatu ila wadogo wadogo sijawahi kukutana na joka kubwa na kuna siku tumekaa kwenye mti ghafla nyoka kadondoka.

Aisee tunaoishi huku Lindi tumepakana karibu sana na pori kubwa la selous yaani tunapocheza Cheza huku njiani tunakutana na viumbe machachari hapa ninahamu tu kuja kukutana na mamba live ndio sijawahi kumuona.
Makangaga mkuu!! Mwenyeji wa huko au Gypsum ilikupeleka? Nimeshawahi kusikia hizi tetesi lakini sijawahi kukutana nao.
 
Mimi kuna siku niko na Pikipiki nimetoka site huko Nyengedi napanda Milima ya Rondo mida ya saa 2 usiku aisee Mara simba huyu hapa nilianguka na Pikipiki nikainyanyua sikugeuka nyuma nilipofika kijijini palepale nilizimia.

Kuna siku tena natoka Makangaka naelekea Kiranjeranje kupanda basi saa 12 Asubuhi niko na miguu aisee ghafla naona simba dume na jike huwezi amini simba Walikuwa hawana njaa walinisindikiza ila Mimi begi nilitupa na Viatu nilikimbia baadae akaja jamaa wa baiskeli aliokota viatu na begi kauliza nani mwenye begi nikamtajia vitu vilivyopo ndani kitambulisho na nguo akanipa begi.

Kuna siku tena niko speed natoka kinyope nakuja Rutamba pale katikati chui huyu hapa kainua miguu aisee nilinyosha wanguwangu akaruka pembeni.

Siku nyingine tuko na gari Tukaona tembo wanne ruangwa wanapita.

Kiboko ashanikosa kwenye mtumbwi mto Ruvuma daraja la Mkenda hakuwa na mtoto alikuwa anaibuka nasikia akiwa na mtoto ndio anakuwa mkali.

Nyoka ndio sana barabarani nishakutana nao zaidi ya Mara tatu ila wadogo wadogo sijawahi kukutana na joka kubwa na kuna siku tumekaa kwenye mti ghafla nyoka kadondoka.

Aisee tunaoishi huku Lindi tumepakana karibu sana na pori kubwa la selous yaani tunapocheza Cheza huku njiani tunakutana na viumbe machachari hapa ninahamu tu kuja kukutana na mamba live ndio sijawahi kumuona.
Chatu.
 
Mimi kuna siku niko na Pikipiki nimetoka site huko Nyengedi napanda Milima ya Rondo mida ya saa 2 usiku aisee Mara simba huyu hapa nilianguka na Pikipiki nikainyanyua sikugeuka nyuma nilipofika kijijini palepale nilizimia.

Kuna siku tena natoka Makangaka naelekea Kiranjeranje kupanda basi saa 12 Asubuhi niko na miguu aisee ghafla naona simba dume na jike huwezi amini simba Walikuwa hawana njaa walinisindikiza ila Mimi begi nilitupa na Viatu nilikimbia baadae akaja jamaa wa baiskeli aliokota viatu na begi kauliza nani mwenye begi nikamtajia vitu vilivyopo ndani kitambulisho na nguo akanipa begi.

Kuna siku tena niko speed natoka kinyope nakuja Rutamba pale katikati chui huyu hapa kainua miguu aisee nilinyosha wanguwangu akaruka pembeni.

Siku nyingine tuko na gari Tukaona tembo wanne ruangwa wanapita.

Kiboko ashanikosa kwenye mtumbwi mto Ruvuma daraja la Mkenda hakuwa na mtoto alikuwa anaibuka nasikia akiwa na mtoto ndio anakuwa mkali.

Nyoka ndio sana barabarani nishakutana nao zaidi ya Mara tatu ila wadogo wadogo sijawahi kukutana na joka kubwa na kuna siku tumekaa kwenye mti ghafla nyoka kadondoka.

Aisee tunaoishi huku Lindi tumepakana karibu sana na pori kubwa la selous yaani tunapocheza Cheza huku njiani tunakutana na viumbe machachari hapa ninahamu tu kuja kukutana na mamba live ndio sijawahi kumuona.
Hivyo vyote sio hatari. Omba siku ukutane na mwanamke. Ukichomoa njoo nitag uchukue vocha.
 
Back
Top Bottom