Preator
Member
- Sep 1, 2023
- 71
- 131
Tulikuwa tunawinda usiku, tumepaki landrover tunatembea kutafuta wanyama? Mwendo mrefu bila kuoma mnyama yeyote! , master akasema lazima kuna chui au simba anayewafukuza wanyama ili tusiwapate.
Ikabidi mission ibadilike! Tuanze kwanza kumuwimda huyu anaewafukuza wanyama!
Ni stor ndefu ila tulimuua chui mkubwa sijawai ona!
Baada ya hapo yulipata wanyama wakutosha!
Kwamba anawafukuza makusudi?