ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
hahaha hii itakua unguja au pemba vijijininilikutana na mende
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaha hii itakua unguja au pemba vijijininilikutana na mende
Mbona wengine wanasema black mamba ndo anasumu kaliVifutu hao. Wapo sana Iringa na alininusuru nikiwa mdogo huko Moro. Nilimkanyaga ni Mungu tu aliniepusha kwani yule kifutu(Viper) ndio nyoka mwenye sumu zaidi duniani.
Whatsapp image, January 30,2024.nimetoka kuua hili dude masaa machache yaliyopitaView attachment 2892845
Kwa Afrika nyoka hatari na mwenye sumu kali kuliko wote ni Koboko tu na kwa Tanzania wanapatikana kwa sana Tabora.Vifutu hao. Wapo sana Iringa na alininusuru nikiwa mdogo huko Moro. Nilimkanyaga ni Mungu tu aliniepusha kwani yule kifutu(Viper) ndio nyoka mwenye sumu zaidi duniani.
Hapana ndugu yangu......wewe ni mtu makini na uzi wako ulikuwa na mantiki lakini kuna watoto wameamua kuleta utoto na kuharibu maana nzima ya Uzi......Mkuu hata wewe kweli ninayekuheshimu unanitoa maana kumbuka me jf nimeingia 2014
Unachanganya bro, kuna nyoka mwenye sumu kali na nyoka mwenye uwezo wa kugonga mara nyingi. Koboko anagonga hata mara 50 bro kwani akigonga, meno yake hayatoki baada ya kugonga ila.kifutu ndio nyoka mwenye sumu zaidi duniani.Kwa Afrika nyoka hatari na mwenye sumu kali kuliko wote ni Koboko tu na wanapatikana kwa sana Tabora.
[emoji23][emoji23][emoji23]Pole sana Kijana wa Dar.nilitandikwa kucha na paka shume, alinipiga makucha ya kwenye komwe nilipiga yowe hadi nikajamba.
Black mamba ana sumu kali ila Google bro uone kati ya Koboko na Kifutu(Viper) yupi ana sumu kali. Koboko ni mkali, ana hasira kali na anang'ata bila kuachia Jino na ana uwezo wa kuua/kung'ata ng'ombe hata 50 kwa wakati mmoja.Mbona wengine wanasema black mamba ndo anasumu kali
Kha!kha!,Ikawaje sasa?,Leta stori mkuu.Nilikutana na chatu inchi 8 kwenye 6*6
actually ni mwaka 2022 nyoka aligongwa na gari then tukapita pembeni yake na boda iliogofya sanaWhatsapp image, January 30,2024.
nilitandikwa kucha na paka shume, alinipiga makucha ya kwenye komwe nilipiga yowe hadi nikajamba.
Baby we nae mfukunyuku! Khaaa!Whatsapp image, January 30,2024.