Tulikuwa tunawinda usiku, tumepaki landrover tunatembea kutafuta wanyama? Mwendo mrefu bila kuoma mnyama yeyote! , master akasema lazima kuna chui au simba anayewafukuza wanyama ili tusiwapate.
Ikabidi mission ibadilike! Tuanze kwanza kumuwimda huyu anaewafukuza wanyama!
Ni stor ndefu ila tulimuua chui mkubwa sijawai ona!
Baada ya hapo yulipata wanyama wakutosha!
Mkoa wenu una madudu yote ya ajabu nigga cheki mfano huu mziki wa leoMimi kuna siku niko na Pikipiki nimetoka site huko Nyengedi napanda Milima ya Rondo mida ya saa 2 usiku aisee Mara simba huyu hapa nilianguka na Pikipiki nikainyanyua sikugeuka nyuma nilipofika kijijini palepale nilizimia.
Kuna siku tena natoka Makangaka naelekea Kiranjeranje kupanda basi saa 12 Asubuhi niko na miguu aisee ghafla naona simba dume na jike huwezi amini simba Walikuwa hawana njaa walinisindikiza ila Mimi begi nilitupa na Viatu nilikimbia baadae akaja jamaa wa baiskeli aliokota viatu na begi kauliza nani mwenye begi nikamtajia vitu vilivyopo ndani kitambulisho na nguo akanipa begi.
Kuna siku tena niko speed natoka kinyope nakuja Rutamba pale katikati chui huyu hapa kainua miguu aisee nilinyosha wanguwangu akaruka pembeni.
Siku nyingine tuko na gari Tukaona tembo wanne ruangwa wanapita.
Kiboko ashanikosa kwenye mtumbwi mto Ruvuma daraja la Mkenda hakuwa na mtoto alikuwa anaibuka nasikia akiwa na mtoto ndio anakuwa mkali.
Nyoka ndio sana barabarani nishakutana nao zaidi ya Mara tatu ila wadogo wadogo sijawahi kukutana na joka kubwa na kuna siku tumekaa kwenye mti ghafla nyoka kadondoka.
Aisee tunaoishi huku Lindi tumepakana karibu sana na pori kubwa la selous yaani tunapocheza Cheza huku njiani tunakutana na viumbe machachari hapa ninahamu tu kuja kukutana na mamba live ndio sijawahi kumuona.
Wa tunda manMkoa wenu una madudu yote ya ajabu nigga cheki mfano huu mziki wa leo
Karibu lindi ujionee hasa nachingweaMara zote hizo unakutana na wanyama hatari?Watakuwa hadi wamekuzoea sasa.
Ngoja nikuwekee nyayo za simba za jana baada ya mvua kukata uzidi kunywa chaiHii chai wapelekee watoto wenzako
Nipo Serengeti hapa napiga stori na chui.Huko nitakaribia.Tuombe uzima.Ka
Karibu lindi ujionee hasa nachingwea
Hoja ya sumu ya nyoka inategemea pia urefu wa meno yake ambao utatoa mwongozo sumu anaitoa inaingia wapi kayi ya vein na ateri,Mbona wengine wanasema black mamba ndo anasumu kali
SawaOya hamieni PM mnaharibu uzi
mamba anataka akule mzigo?Siku nakatiza misitu ya Mabwe Pande nikakutana na Mamba wawili wanatiana. Kuniona wakashtuka. Wakaanza nikimbiza. Nilikimbia sana nikapanda juu ya mti mrefu yule dume naye akawa anapanda anile. Nikamtemea mate usoni halafu nikamtoboa jicho moja na kijiti ndo kurudi chini.
Karibu sana mkuu....Lami had pwani Tena bas kumekucha mm nilikuwa nakaa karibia pwani
Asante sanaKaribu sana mkuu....
Ufurahie supu ya samaki na chapati
πππππ
Ulikua unakaa pwani ya wapi...?Asante sana
Jina nimepasahau ule mtaa sikukaa sana ila ni kule pwani kabisa ni nyumba ya Tatu kutoka ilipo bahariUlikua unakaa pwani ya wapi...?
Anaitwa mkunga kama sikoseiChunusi wa majini..
Au simply Chunusi
Yeah hujakosea kabisa Huko Kwetu Tanga na zanzibar tunawala SanaAnaitwa mkunga kama sikosei
Makangaga mkuu!! Mwenyeji wa huko au Gypsum ilikupeleka? Nimeshawahi kusikia hizi tetesi lakini sijawahi kukutana nao.Mimi kuna siku niko na Pikipiki nimetoka site huko Nyengedi napanda Milima ya Rondo mida ya saa 2 usiku aisee Mara simba huyu hapa nilianguka na Pikipiki nikainyanyua sikugeuka nyuma nilipofika kijijini palepale nilizimia.
Kuna siku tena natoka Makangaka naelekea Kiranjeranje kupanda basi saa 12 Asubuhi niko na miguu aisee ghafla naona simba dume na jike huwezi amini simba Walikuwa hawana njaa walinisindikiza ila Mimi begi nilitupa na Viatu nilikimbia baadae akaja jamaa wa baiskeli aliokota viatu na begi kauliza nani mwenye begi nikamtajia vitu vilivyopo ndani kitambulisho na nguo akanipa begi.
Kuna siku tena niko speed natoka kinyope nakuja Rutamba pale katikati chui huyu hapa kainua miguu aisee nilinyosha wanguwangu akaruka pembeni.
Siku nyingine tuko na gari Tukaona tembo wanne ruangwa wanapita.
Kiboko ashanikosa kwenye mtumbwi mto Ruvuma daraja la Mkenda hakuwa na mtoto alikuwa anaibuka nasikia akiwa na mtoto ndio anakuwa mkali.
Nyoka ndio sana barabarani nishakutana nao zaidi ya Mara tatu ila wadogo wadogo sijawahi kukutana na joka kubwa na kuna siku tumekaa kwenye mti ghafla nyoka kadondoka.
Aisee tunaoishi huku Lindi tumepakana karibu sana na pori kubwa la selous yaani tunapocheza Cheza huku njiani tunakutana na viumbe machachari hapa ninahamu tu kuja kukutana na mamba live ndio sijawahi kumuona.
Chatu.Mimi kuna siku niko na Pikipiki nimetoka site huko Nyengedi napanda Milima ya Rondo mida ya saa 2 usiku aisee Mara simba huyu hapa nilianguka na Pikipiki nikainyanyua sikugeuka nyuma nilipofika kijijini palepale nilizimia.
Kuna siku tena natoka Makangaka naelekea Kiranjeranje kupanda basi saa 12 Asubuhi niko na miguu aisee ghafla naona simba dume na jike huwezi amini simba Walikuwa hawana njaa walinisindikiza ila Mimi begi nilitupa na Viatu nilikimbia baadae akaja jamaa wa baiskeli aliokota viatu na begi kauliza nani mwenye begi nikamtajia vitu vilivyopo ndani kitambulisho na nguo akanipa begi.
Kuna siku tena niko speed natoka kinyope nakuja Rutamba pale katikati chui huyu hapa kainua miguu aisee nilinyosha wanguwangu akaruka pembeni.
Siku nyingine tuko na gari Tukaona tembo wanne ruangwa wanapita.
Kiboko ashanikosa kwenye mtumbwi mto Ruvuma daraja la Mkenda hakuwa na mtoto alikuwa anaibuka nasikia akiwa na mtoto ndio anakuwa mkali.
Nyoka ndio sana barabarani nishakutana nao zaidi ya Mara tatu ila wadogo wadogo sijawahi kukutana na joka kubwa na kuna siku tumekaa kwenye mti ghafla nyoka kadondoka.
Aisee tunaoishi huku Lindi tumepakana karibu sana na pori kubwa la selous yaani tunapocheza Cheza huku njiani tunakutana na viumbe machachari hapa ninahamu tu kuja kukutana na mamba live ndio sijawahi kumuona.
Hivyo vyote sio hatari. Omba siku ukutane na mwanamke. Ukichomoa njoo nitag uchukue vocha.Mimi kuna siku niko na Pikipiki nimetoka site huko Nyengedi napanda Milima ya Rondo mida ya saa 2 usiku aisee Mara simba huyu hapa nilianguka na Pikipiki nikainyanyua sikugeuka nyuma nilipofika kijijini palepale nilizimia.
Kuna siku tena natoka Makangaka naelekea Kiranjeranje kupanda basi saa 12 Asubuhi niko na miguu aisee ghafla naona simba dume na jike huwezi amini simba Walikuwa hawana njaa walinisindikiza ila Mimi begi nilitupa na Viatu nilikimbia baadae akaja jamaa wa baiskeli aliokota viatu na begi kauliza nani mwenye begi nikamtajia vitu vilivyopo ndani kitambulisho na nguo akanipa begi.
Kuna siku tena niko speed natoka kinyope nakuja Rutamba pale katikati chui huyu hapa kainua miguu aisee nilinyosha wanguwangu akaruka pembeni.
Siku nyingine tuko na gari Tukaona tembo wanne ruangwa wanapita.
Kiboko ashanikosa kwenye mtumbwi mto Ruvuma daraja la Mkenda hakuwa na mtoto alikuwa anaibuka nasikia akiwa na mtoto ndio anakuwa mkali.
Nyoka ndio sana barabarani nishakutana nao zaidi ya Mara tatu ila wadogo wadogo sijawahi kukutana na joka kubwa na kuna siku tumekaa kwenye mti ghafla nyoka kadondoka.
Aisee tunaoishi huku Lindi tumepakana karibu sana na pori kubwa la selous yaani tunapocheza Cheza huku njiani tunakutana na viumbe machachari hapa ninahamu tu kuja kukutana na mamba live ndio sijawahi kumuona.