Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Huu ndio wenyewe.Mkuu ni sahihi kabisa ila ina utofauti na upupu (bomu la nyuklia) View attachment 1732216
Ingekuwa bangi tungeiita bangi ya Msumbiji
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu ndio wenyewe.Mkuu ni sahihi kabisa ila ina utofauti na upupu (bomu la nyuklia) View attachment 1732216
Maisha ya ujanani hayo mkuuMwanangu wewe tunatoka kijiji kimoja.
Ukimwaga mtoni unaenda kusubiria samaki bondeni huko
Au ya Nkothankotha MalawiHuu ndio wenyewe.
Ingekuwa bangi tungeiita bangi ya Msumbiji
😂😂😂😂😂 Ila moment Kama hizo zilikuwa tamu sanaaa...Kuna fala tulikutana nae katoka shamba kumbe kashajua tuna majani yetu likatupeleka sehemu ambayo hata samaki hakuna,
Siku ile tulirudi watupu, bahati yake alituzidi umri,
Hasira zetu tulizielekeza kwenye miwa ya watu
Hiyo ndo Ile ambayo ukimpa mbwa anamsahau mpaka boss wake?Au ya Nkothankotha Malawi
Kwanini polisi wasiwe wanautumia huu wanapokuwa wanataka information kwa lijambazi halafu lenyewe halitaki kutoa taarifa
Kabisa mkuu, mzee Mwasekaga aling'atwa na mbwa wake kwa ujinga wa kijana wake. Alichoma samaki, katikati akaweka hiyo kitu, akamlisha. Madhara aliyo sababisha yalikuwa ni makubwa sana. Ashukuriwe Mwakifwamba, alimpiga risasi akafa.Hiyo ndo Ile ambayo ukimpa mbwa anamsahau mpaka boss wake?
Angekufa yule mdingi.Kabisa mkuu, mzee Mwasekaga aling'atwa na mbwa wake kwa ujinga wa kijana wake. Alichoma samaki, katikati akaweka hiyo kitu, akamlisha. Madhara aliyo sababisha yalikuwa ni makubwa sana. Ashukuriwe Mwakifwamba, alimpiga risasi akafa.
Hamna mkuu sijawahi minywa pumbu,ila kwa imani tu najua ni moja ya njia zinazoweza kukufanya utoe ushirikiano kwa hao ambao watakuwa wanazimiliki pumbu zako kwa wakati huoUshawahi kubanwa MBUPU?
Nakumbuka wakati nipo Shule ya Msingi wanafunzi watundu walivipaka viti na meza za Walimu hii kitu. Shule nzima ililambwa bakora za haja!Duh... upupu... Nilijipaka jivu mwili mzima kwa kuamini kwamba usumbufu utapotea
Hamna mkuu sijawahi minywa pumbu,ila kwa imani tu najua ni moja ya njia zinazoweza kukufanya utoe ushirikiano kwa hao ambao watakuwa wanazimiliki pumbu zako kwa wakati huo
Nipe uzoefu wako wa kuminywa goroli mkuuBasi hayo majani yana afadhali
Ncha bujikuNi mmea ambao unaweza kukusababishia usumbufu mpaka ukajuta kuzaliwa.Watoto ambao wamekulia ndani ya mageti watakuwa hawajui.Unaweza kuwaadhibu watu na huu mmea
View attachment 1732173