Umewahi kukutana na usumbufu unaosababishwa na huu mmea

Umewahi kukutana na usumbufu unaosababishwa na huu mmea

Kuna fala tulikutana nae katoka shamba kumbe kashajua tuna majani yetu likatupeleka sehemu ambayo hata samaki hakuna,
Siku ile tulirudi watupu, bahati yake alituzidi umri,
Hasira zetu tulizielekeza kwenye miwa ya watu
 
Kwanini polisi wasiwe wanautumia huu wanapokuwa wanataka information kwa lijambazi halafu lenyewe halitaki kutoa taarifa
 
Unju bin upupu

Balaa lake sio dogo ukijigusa muwasho wake unawasha mpaka mfupa
 
Kuna mkulima mmoja wa nyanya anatumia huu kutengeneza dawa ya mdudu anaitwa kantangaze...

Huyo mdudu asogei
 
Nimevulia/ulia Samaki Sana enzi za utoto wangu... Tunatwanga mmbichi Tunamix na ugoro,Pilipili..then Tunaena kumwaga mtoni karibu na chazo ....samaki wanakuwa wamekunywa POMBE alafu wanaibuka juu ... Ni mwendo wa kuwakamata tuuuh ...

Pili mmea huo ukikauka ukiutwanga unawasha kuliko ...maji ya Field force unit...
 
Kuna fala tulikutana nae katoka shamba kumbe kashajua tuna majani yetu likatupeleka sehemu ambayo hata samaki hakuna,
Siku ile tulirudi watupu, bahati yake alituzidi umri,
Hasira zetu tulizielekeza kwenye miwa ya watu
😂😂😂😂😂 Ila moment Kama hizo zilikuwa tamu sanaaa...
Unafika home na samaki ndoo nzima ..😂😂😂
 
Kwa sie makomando wa porini, upupu haujawahi kuwa shida hata kidogo.

Ukiwa machakani, kwa bahati mbaya ukajikuta umeugusa upupu, usikurupuke kuanza kujikuna,itazame sehemu inayowasha kwa umakini sana(unatakiwa kuwa mvumilivu tu) utaona vile vimiba vya upupu vimenasa hapo, cha kufanya vitoe taratiiibu na kwa uangalifu, vikiisha hata dk2 hazipiti muwasho utapotea na kukufanya uendelee na mishe zako kiulaiiini.

Hata uking'atwa na nyuki au nyigu, usikurupuke kujikuna, utakua umetibua kila kitu, wewe hangaika na kile kimwiba tu.
 
Hiyo ndo Ile ambayo ukimpa mbwa anamsahau mpaka boss wake?
Kabisa mkuu, mzee Mwasekaga aling'atwa na mbwa wake kwa ujinga wa kijana wake. Alichoma samaki, katikati akaweka hiyo kitu, akamlisha. Madhara aliyo sababisha yalikuwa ni makubwa sana. Ashukuriwe Mwakifwamba, alimpiga risasi akafa.
 
Kabisa mkuu, mzee Mwasekaga aling'atwa na mbwa wake kwa ujinga wa kijana wake. Alichoma samaki, katikati akaweka hiyo kitu, akamlisha. Madhara aliyo sababisha yalikuwa ni makubwa sana. Ashukuriwe Mwakifwamba, alimpiga risasi akafa.
Angekufa yule mdingi.
Vijana wengine vichwa panzi kabisa
 
Basi hayo majani yana afadhali
Hamna mkuu sijawahi minywa pumbu,ila kwa imani tu najua ni moja ya njia zinazoweza kukufanya utoe ushirikiano kwa hao ambao watakuwa wanazimiliki pumbu zako kwa wakati huo
 
1616479281894.png

Upupu
 
Back
Top Bottom