Itovanilo
JF-Expert Member
- Jul 30, 2018
- 2,314
- 5,150
Huu siyo upupuWe huujui upupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huu siyo upupuWe huujui upupu
HUO NDO UPUPU MKUU?Upupu.
Weka mbali hyo kitu
Niliwahi kuuona Kibaha vijijini wanauita Kibaazi na Morogoro vijijijini,wanyeji wa huko wanaita Kitupa.Kwa kilugha ni nkondo, hutumika kuua wadudu kwenye miili ya wanyama na kuvulia samaki mtoni au kwenye mabwawa. Sio upupu
Nikwel sie tunauita UTUPAHuo sio upupu, majani hutumika kuogeshea mifugo kama mbwa, mbuzi, n.k...
Kwa watu wa Kyela majani yake hutwangwa kisha humwagwa mtoni, samaki hukosa nguvu na kufa, inakuwa rahisi kuvua. Kwa kilugha huitwa NKONDO
Dah! Umalile syosa Malafyale!!! Ndobhile fijo bha malankoma no nkondo.. HahahaaaHuo sio upupu, majani hutumika kuogeshea mifugo kama mbwa, mbuzi, n.k...
Kwa watu wa Kyela majani yake hutwangwa kisha humwagwa mtoni, samaki hukosa nguvu na kufa, inakuwa rahisi kuvua. Kwa kilugha huitwa NKONDO
Ngangasyungu hahahaaMkuu ni sahihi kabisa ila ina utofauti na upupu (bomu la nyuklia) View attachment 1732216
Yah unaitwa Tephrosia vogellii au fish poison kama common name... Ur right bro....Huo sio upupu, majani hutumika kuogeshea mifugo kama mbwa, mbuzi, n.k...
Kwa watu wa Kyela majani yake hutwangwa kisha humwagwa mtoni, samaki hukosa nguvu na kufa, inakuwa rahisi kuvua. Kwa kilugha huitwa NKONDO
Mwaisa [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Kwa Petela au Nkatela? Une nalobhaga mwatenendeDah! Umalile syosa Malafyale!!! Ndobhile fijo bha malankoma no nkondo.. Hahahaaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Au Tephrosia purpurea na sumu yake ni rotenonoids ambayo ni sumu kali sana kwa samaki lakini kwa binadamu ni hafifu na hivyo haidhuru kwa kiwango cha kusababisha madhara.Yah unaitwa Tephrosia vogellii au fish poison kama common name... Ur right bro....
Nyie ndio mnaotuua kwa kutulisha vitu vya ajabu..Huo sio upupu, majani hutumika kuogeshea mifugo kama mbwa, mbuzi, n.k...
Kwa watu wa Kyela majani yake hutwangwa kisha humwagwa mtoni, samaki hukosa nguvu na kufa, inakuwa rahisi kuvua. Kwa kilugha huitwa NKONDO
Mimi sijakukua getini kabisa ila sijawahi kuuona kabla naskiaga tuuu taarifa zake kumbe ndo upo hivyo [emoji15]Ni mmea ambao unaweza kukusababishia usumbufu mpaka ukajuta kuzaliwa. Watoto ambao wamekulia ndani ya mageti watakuwa hawajui. Unaweza kuwaadhibu watu na huu mmea
View attachment 1732173
Kweli, sisi kwetu tunauita utupa,matumizi yake ni kama ulivyoelezaHuo sio upupu, majani hutumika kuogeshea mifugo kama mbwa, mbuzi, n.k...
Kwa watu wa Kyela majani yake hutwangwa kisha humwagwa mtoni, samaki hukosa nguvu na kufa, inakuwa rahisi kuvua. Kwa kilugha huitwa NKONDO
Aisee kumbe ni kweli nimeufananisha huu sio upupuHuu siyo upupu
Kweli mkuu huu sio upupu japo unafanana kwa sura na upupu.Nilivyouona nikajua ni upupuKweli, sisi kwetu tunauita utupa,matumizi yake ni kama ulivyoeleza
Kwetu huitwa utuba/utupa. Kazi ni hiyo hiyoHuo sio upupu, majani hutumika kuogeshea mifugo kama mbwa, mbuzi, n.k...
Kwa watu wa Kyela majani yake hutwangwa kisha humwagwa mtoni, samaki hukosa nguvu na kufa, inakuwa rahisi kuvua. Kwa kilugha huitwa NKONDO
Ewaaaa, swadaktaaa,huu ndiyo upupu,mmea wake unatambaa
Mkuu ni sahihi kabisa ila ina utofauti na upupu (bomu la nyuklia) View attachment 1732216