EvilSpirit
JF-Expert Member
- Jun 15, 2017
- 10,576
- 16,644
- Thread starter
- #41
Ndio upupu kweli huo jamaa yangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio upupu kweli huo jamaa yangu?
Ni kitu ganiNcha bujiku
Nipe uzoefu wako wa kuminywa goroli mkuu
😂 😂 😂Ndio upupu kweli huo jamaa yangu?
Daaah kaka hapa kuna kizazi cha kairuki - imtu..unawachanganyia pod na upupu..hapo kwenye pod apo wataeka ipod...Yeah,pod zake ni kama za upupu
Mjinga mmoja alikung'utia kwenye dawati la mwalimu mmoja mnoko sana, pamoja na rundo lake la bakora ilibidi asaliku amri na kurudi ofcn huku akitelekeza mzigo wake wa fimbo darasani.Ni mmea ambao unaweza kukusababishia usumbufu mpaka ukajuta kuzaliwa.Watoto ambao wamekulia ndani ya mageti watakuwa hawajui.Unaweza kuwaadhibu watu na huu mmea
View attachment 1732173
Sasa kulikuwa na upupu halafu na majani fulani hivi ukiyafinyanga yananuka kuliko kinyesi...Nakumbuka wakati nipo Shule ya Msingi wanafunzi watundu walivipaka viti na meza za Walimu hii kitu. Shule nzima ililambwa bakora za haja!
Kwanini polisi wasiwe wanautumia huu wanapokuwa wanataka information kwa lijambazi halafu lenyewe halitaki kutoa taarifa
Ndoo nzima hupati bos, kile kijiji idadi yà walafi ilikuwa kubwa kuliko idadi ya samaki😂😂😂😂😂 Ila moment Kama hizo zilikuwa tamu sanaaa...
Unafika home na samaki ndoo nzima ..😂😂😂
Dawa ya kuuwa wadudu kwenye mimea, pia hutumika kuuwa samaki mtoniNi mmea ambao unaweza kukusababishia usumbufu mpaka ukajuta kuzaliwa. Watoto ambao wamekulia ndani ya mageti watakuwa hawajui. Unaweza kuwaadhibu watu na huu mmea
View attachment 1732173
Kisukuma tunaita MLUKU Mwaka jana tulinunu debe la majani tukatwanga, tukaenda mtoni kuweka kwenye vidimbwi tuliokota kambare + sato gunia tatu.Huo sio upupu, majani hutumika kuogeshea mifugo kama mbwa, mbuzi, n.k...
Kwa watu wa Kyela majani yake hutwangwa kisha humwagwa mtoni, samaki hukosa nguvu na kufa, inakuwa rahisi kuvua. Kwa kilugha huitwa NKONDO
Nakumbuka wakati nipo Shule ya Msingi wanafunzi watundu walivipaka viti na meza za Walimu hii kitu. Shule nzima ililambwa bakora za haja!