fundi bishoo
JF-Expert Member
- Jun 26, 2018
- 14,264
- 27,132
yaani bongo hii sio poa kama kuna video moja imetrend sana jana ya yule dada muuza ndz kkoo utashangaa nae anapata mashavu na matangazo ya kutosha kwa kipaji chake cha kutikisa makalioπ, namkumbuka yule jamaa , Kuwa naye anataka management
π Duh, Mr masaa, huyo alikuwa jini kabisa,Kuna mwanangu anaitwa Erick huyu jamaa hatari kwa kumbukumbu .Mpaka saa kaimeza yote kichwani.Hata umuamshe usiku ,umuulize saa ngapi sasa hivi.Utajibiwa tu ni saa saba na dk 14 ukicheki kwenye simu ni kweli.Sijui ni jini huyu au alien.
Najamba hata mara sabaπ€£π€£ kwaiy mkuu unaweza ata ukajamba mara 5 kwa dakika tano mkuu
namimi o level kuna jamaa alikua kitanda cha juu yangu alikua hivo hivo, sema alikua mpoleKuna jamaa naye tulivyokuwa advance ilikuwa michezo yake anajikojolea alafu anamsingizia wa deka ya juu.
jitahidi uwe raia mwema kila siku usiende selo au jela mkuuπ€£π€£π€£π€£Najamba hata mara saba
Kwanini πππjitahidi uwe raia mwema kila siku usiende selo au jela mkuuπ€£π€£π€£π€£
acha uchochezi π€£π€£π Watamfanyaje mkuu,
kwetu sisi wajela jela tukiskia harufu ya ushuzi au kijambo kimetoka huwaga kinatupa stimu sana π€£π€£Kwanini πππ
π€, sijaona hiyo, tayari ipo viral?, Miso misondo tayari amepigwa chini kufunga mwakayaani bongo hii sio poa kama kuna video moja imetrend sana jana ya yule dada muuza ndz kkoo utashangaa nae anapata mashavu na matangazo ya kutosha kwa kipaji chake cha kutikisa makalio
aaah amna misondo bado yupo mwsho wake january hviiπ€, sijaona hiyo, tayari ipo viral?, Miso misondo tayari amepigwa chini kufunga mwaka
Yule mwamba alikuwa na shida sio bure, yeye akilala ata dakika 30 tayari anaharibu.Kikojozi ni hatari sana, mpaka advance, bado mtu anakojoa tu,
ππππππkwetu sisi wajela jela tukiskia harufu ya ushuzi au kijambo kimetoka huwaga kinatupa stimu sana π€£π€£
akawa anatiririshanamimi o level kuna jamaa alikua kitanda cha juu yangu alikua hivo hivo, sema alikua mpole
π€£π€£ head foreheadππππππ
Kibofu chake ni kibofu.Yule mwamba alikuwa na shida sio bure, yeye akilala ata dakika 30 tayari anaharibu.