Umewahi kukutana na watu wa ajabu kwenye maisha yako? Walikuwa watu wa aina gani?

Umewahi kukutana na watu wa ajabu kwenye maisha yako? Walikuwa watu wa aina gani?

Kuna mwanangu anaitwa Erick huyu jamaa hatari kwa kumbukumbu .Mpaka saa kaimeza yote kichwani.Hata umuamshe usiku ,umuulize saa ngapi sasa hivi.Utajibiwa tu ni saa saba na dk 14 ukicheki kwenye simu ni kweli.Sijui ni jini huyu au alien.
😐 Duh, Mr masaa, huyo alikuwa jini kabisa,
 
Back
Top Bottom