Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Aisee....kumbe huko makazini mnaliwa tuu kirahisi hivyo.
Kwanza huyo mume wako naye bewege.

Ssa anakasirika nini mke kwenda kutombwer nje...sii anaonja de libolo tofauti.

Ebu mwambie aache ushamba bwana. Karne ya sasa haya mambo ya kuchapiwa vitu easy tuu.

Ni kukaa chini na kuulizana sasa bby umejifunza style gani mpya huko
Kama unazo............zitakuwa za bangi
 
Ila wadada sehemu za makazini mnakuwa dhaifu sana sijui kwa nn?

swala la kuchepuka lina vichochezi ,ukiviepuka basi unaweza kuepuka ngono kabisa .

Baadhi ya vichochezi hivyo ni ;
1.Nguo zisizo na stara
2. Mazoea ya kijinga haswa baina ya jinsia mbili.
3. Mambo ya kupenda kwenda kweny sehemu za starehe sijui miziki kama sherehe au party na watu wengine.

4.Pombe na vilevi vingine.

Dada zangu mnakuwa na elimu pamoja na ujuzi ndo inawasaidia kupata kazi zenu ila mnashindwa kujiamini ...Mfano wewe umeolewa ila still unashindwa kujitambua hapo kazini ni ujuzi wako ndo unakuweka hapo ila unaanzisha mazoea ya kishamba bila ya kujielewa ni hatari sana.

Baadhi ya mambo ni mepesi ila angalia na matokeo yake ,ngono ya nusu saa unaweza kuharibu furah yako ya milele.


Nawakubali ,wadada wale waliopo serious makazini na wanajua nin kimewaleta urafiki wa kishamba unakuwa vulnerable kuingia kweny mambo ya hovyo ,Hizi kisses and hugs achaneni nazo naona sana hii tabia unaweza kufanya mara ghafla mwenza wako kaingia ofisini kwako basi hapo ni mgogoro mkubwa.


Fanya kilichokuleta unapewa mtego simple unashindwa kuchomoa?
Uzungu uzungu na maigizo mengi ofisini ndio yanapelekea ngono zembe. Unakuta mke anajenga mazoea ya kijinga na vijana vijana au waume za watu ofisini.


Uzungu uzungu wakati wa lunch ndio huanzisha mawasiliano na michezo ya kutamaniana na kuombana mchebwede.
 
Hujamkuta bikra maana yake alishatombwa sana kabla haujamuona mbona hukuchukia kabla hujanyoa kwa hio kausha mwanaume ndio maana tumewekewa makoromeo shingoni tuwe na vifua wanaume
Binti usiongee kama unanijua sana,halafu acha kujilengesha kwangu.
 
Tafuta kazi au shughuli ya kufanya, kisha omba taraka na watoto umwachie ili atafute mke mwema ataamua kuchagua aanze upya au akusamehe, utakuja kuamka umekatwa nyonyo moja! Mtu gani asiyeachilia moyo wake !
Nimechekaa...hahaa..akinya bata🤸‍♂️
 
Uzungu uzungu na maigizo mengi ofisini ndio yanapelekea ngono zembe. Unakuta mke anajenga mazoea ya kijinga na vijana vijana au waume za watu ofisini.


Uzungu uzungu wakati wa lunch ndio huanzisha mawasiliano na michezo ya kutamaniana na kuombana mchebwede.
Tena na hizi simu ndio kabisa. Full kuchat na viemoj ndio vinarahisisha mambo kabisa
 
Back
Top Bottom