Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Habari za weekend, Jamani wanawake mwenzangu naombeni ushauri.

Mimi ni mama nina umri wa miaka 38 nina watoto 3.

Kwa ufupi mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi kwa furaha sana, tena furaha sana, tulikuwa kila weekend lazima tutoke out na kufanya shopping za kawaida tuu. Tulikuwa ni watu wa furaha na visuprise kibao, na zawaidi sana tuu.

Nakili kwa kusema mume wangu alinipenda sana, kuna kipindi alininunulia gari la Toyota vixz ni kadogo hivi.

Na alikuwa ananijazia mafuta full mimi ni kujimwaga na watoto wangu mpaka basi. Alikuwa ni mtu wa kunifanyia surprise mpaka basi, na nakili katika siku zote hizo mume wangu sijawahi hisi anafanya lolote lile baya kwangu. Alikuwa ni mume mzuri na baba mzuri tuu.

Sasa shida ilianza sehemu niliokuwa nafanya kazi kulikuwa na mkaka mmoja nilizoeana nae kama mfanya kazi mwezangu tuu, lakini akaanza kunitongoza ,mimi nikamwambia kuwa ni mke wa mtu nina ndoa yangu ila yeye hakujali, na wakati wote huwo sijawahi kumsaliti mume wangu hata siku moja.

Alinishawishi sana mpaka nikawa naona kelo, nikawa simjibu lolote alinisumbua kama 4 months hivi. Sasa siku moja aliniazima laptop yangu achukue movie, mimi napenda sana movie so nadownload kwenye pc yangu. Lkn alienda nayo nyumbani kwake.

Nikamwambia mbona umeondoka nayo akasema njoo uje kuchukua home coz mimi mwenyewe pc yangu niliiacha home.

Mimi si nakaenda bhana , baada ya kufika kwake akanikalibisha home kwake ni sehemu mzuri tuu. Lkn akaanza kama anataka sexy na yalikuwa majira ya 10 kasolo jioni maana ndo mda natoka ofisini.

Sasa kwa mda hule nilikuwa sijakutana na my hubby kama 1 week coz alikuwa anaumwa. Alivyonishawishi nilipatawa na hisia nikajikuja tunafanya ngono japo nashukuru alitumia condom maana alikuwa nazo home kwake.

Ukweli kuwa shughuli ilikuwa kubwa maana nilikuja kujishitukia ilikuwa ni saa 2 kasolo jioni. Nikiaangalia simu yangu nakuta nakuta missed call kama 8 za mume wangu na na sms 6, akiwa ananiuliza upo wapi mbona upokei simu , sms ya mwisho aliniambia tu ushaanza uhongo.

Nilishituka nikaamua kumwambia mume wangu ananitafuta si unaona akajibu ka mwambie tuu ulikuwa kwenye kikao.

Akaniambia oga kwanza ndo uwende home mimi nikaamua kuoga pale nimemaliza kuoga na chukua nguo kuvaa nakuta sketi na chup* yangu imeloa nikaja kujua kuwa ni uteute wa uk* maana alinishika shika na sehemu za nje ya uk* wangu na kuniingiza vidogo.

So uteute ulikuwa mwingi mpaka sketi ya niliyotoka nayo home ilikuwa imelowa kwa nyuma.

Nilijuta sana usiku ule na mda ulikuwa ni kama saa 3 kasoro hivi ndo natoka pale nikamtumia sms nakuja mume wangu akanijibu sawa.

Nafika home nikakuta geti limefugwa nikashuka kwenye gari najaribu kufungua limefugwa nampigia njoo ufungue geti haongei na anakata simu, kwenye gari nilikuwa na kanga so nikachukua kanga nikajifunika ili my hubby asione sketi iliyolowa kwa nyuma.

Siku ile nilikaa nje mpaka saa 6 ndo akaja kunifungulia geti, akaniambia alikuwa anasubiri watoto walale kwanza.

Sasa kwa mshituko nilibaki natetemeka sana naingia ndani sina ujasili kabisa akaniuliza ulikuwa wapi , mimi nikamjibu tulikuwa kwenye kikao ila sorry kipenzi sikukuambia , akaniuliza tena ulikuwa wapi na kikao kilifanyika wapi mimi si nikamwambia ofisini.

Kumbe yeye alikuja ofisi saa 12 jioni. Akakuta ofisi imefungwa, mume wangu ajawahi kunizaba kibao alinipiga kibao kimoja kikali sana.

Nilipiga kelele Sasa ile nainuka kanga si ikanivuka, mume wangu akaniona nyuma nimelowa.

Alinishika na mimi nilikuwa sitaki anikague ila kwa vile yeye ni mwanaume alinishida nguvu, na kufanikiwa kuniangali na akajua kuwa nimemcheat.

Akaniacha mimi kwenda chumbani nimerudi sebuleni nimechukua simu yangu sms imeingia ya jamaa yule ananiuliz mume wako kakuzingua na samahani sana kwa haliyotokea.

Ile sijamaliza naendela kuperuzi akanipokonya simu na kosoma sms nyingi , kisha akasibitisha kuwa nimemcheat.

Alinifukuza nje na siku ile nilikaa nje ya nyumba mpaka asubui.

Nilijitahidi kumwamba msamaha ilishindikana nikaenda kwa rafiki mmoja ni mama mtu mzima nikamueleza basi akaamua kwenda kwa mume wangu kuongea nae ila ilishindikana. Nakumbuka ofisini sikwenda kama 2 weeks hivi.

Mume wangu si akafikisha mpaka kanisani kuwa anataka kuvunja ndoa niliitwa na watumishi na na kujaribu kuweka sawa ila aliendeleza na nia ya kuniacha na yeye alidai kapata maumivu makali kwa sababu hajawahi kunicheat.

Ugomvi ulifika mpaka kwa wazazi wetu wote wawili, ofisini kwa kipindi kile nikawa naenda siku moja moja huku nalia kila siku, yule mwanaume aliniuliza nikamwambia ndoa yangu imeingia Dosali aliniomba msahama tuu.

Ugomvi uliendela kama miezi 8 hivi, yeye aliendeleza msimamo wake hule hule.

Nilimuomba msahama sana na nikamuahidi sitarudia tena. Na nilijuta sana.

Ila mwishowe alikubali kupokea ushauri wa wazazi wake kuwa tuishi tuu ili kulinda maslai wa watoto.

Na yeye akasema kuwa kazini ndo kulimpelekea yote hayo. Mwishowe tulikubaliana mimi niache kazi na kuwa mama wa nyumbani. Nilikubali kuacha kazi na kuwa mama wa nyumbani kazi ya 550,000 kwa mwezi niliiacha.

Baada ya hio kesi mume wangu alibadilika sana home , alinichukua gari, kutola out kuliisha , surprise na vizawadi vingi vilipotea , na hakuwa mtu wa furaha tena tangu siku ile.
Mpaka leo ni kitu najuitia sana kwa kile kulitokea na hata yule jamaa nilimwambia naacha kazi kwa sababu ya ndoa yangu kwa tukio lile. Aliniomba tuu msamaha.

Nilijaribu kumshawishi mume wangu ili arudi kwa aliyake ya kawaida ila nilishidwa , niliamua kuwa mke bora kwake , kuangaika kumfurahisha ila ilishindika. Hata Sasa kwenye yendo simuoni kama anaenjoy kama hapo mwanzo maana tukiwa kwenye tendo mume wangu alikuwa ni mtu wa kunifurahia sana mpaka kuna kipindi machozi yanamtoka kwa furaha ya tendo. Ila kwa sasa hakuna kabisa.

Sasa wanawake wenzangu ni ishu imetokea 3.5 years ago na imeniathili sana tena sana.
NAOMBENI USHAURI JAMANI NIMRUDISHE MUME WANGU HUYU.

NIMEJUTA SANA KWA LILE. USHAURI TAFADHARI.
Kama yeye hajawahi kucheat kabisa,Dawa mtafutie wanawake watano tena pisi Kali haswa wajilengeshe kwa jamaa na uhakikishe awalambe wote. Hii itamsaidia kupona na kusahau maumivu uliomsababishia kwa kiasi, utanishukuru baadae
 
[emoji3][emoji3]
Hakunaga Mwanamke wa hivi.

Hawa Vijana WA siku hizi wameamua kuwa Wanawake wanajipa majina mpaka ya kike(vinginevyo awe ame-copy hiki kisa) lakini nunauhakika mwandishi wa Stori hii ni Mwanaume.

Ukifungua Luninga unakutana na Kina Dulvani wanaojigeuza Wanawake, ukija JF nako vivyohivyo. Unabaki unasikitika tuu.
Yeah!

90%+ hii ni chai....
 
Unaongea rahisi kwasababu hujaoa na hujui uchungu wa mke
Wala hamna kigumu hapo...mke kama kitombwer kasha tombwer wewe una options mbili tuu.
Mosi mkae mkubali kuwa ilishatokea basi mke aendelee kukupa mbususu au pili fukuza mbwa hiyo lete pisi nyingine uishi kwa amani.
Sasa wee unaishi na mtu huku unamuwazia mabaya sii kujinyima raha ya maisha. Trust broken can never be rebuilt
 
Katika vitu vinavyopendwa sana na Ibilis ni kuachanisha ndoa yaani mke na Mume! maana anajua atapata njia rahisi ya kuharibu watoto wenu maana watakosa malezi ya wazazi wawili. pia wewe mwanamke hutakaa utulie tena maana utakuwa ushaachwa na ngumu kwa mwanamke aliyezalishwa watoto watatu kuolewa tena(though inatokea ila si sana) ,so utaishia kuwa ni mwanamke wa kuziniwa tu

Shetani alimtumia huyo jamaa wa ofisini kuivunja ndoa yenu....yaani alifanya kazi mbili kwa wakati mmoja.

Kwanza alimuingia jamaa akafanikiwa kukushawishi ukamsaliti mumeo

Kisha fasta akamuingia Mumeo kumtia wasiwasi aebde kukucheki ofisini , alipokukosa akampa mawazo kuwa unamcheat.

So hapo amefanikiwa kuivunja ndoa kwa jiwe moja tu.

Amini Amini nakwambia kuwa mumeo hataweza kusahau tukio hilo na litamuuma mpk anazama futi 6 chini ya udongo.

Anaweza kukusamehe ila hawezi kusahau abadani.
 
Ndo maana nimesema kuwa mambo amabayo yalipaswa kuwa siri.
sawa mkuu wanaume wengi tunafeli hapo .unamwambia mke siri kibao oh kwetu tuko hivi,mali hii oh nilipata kwa kuua ohh sijui. matokeo yake tunajikuta ni wa tumwa kwa wake zetu wenyewe kwa sababu ukimsema tu ,unajua atakinukisha .tuweni makini tuwe na siri sio kilakitu mwanamke lazima ajue.kumbuka huyo ni rafiki tu ambaye mmekubaliana muanzishe familia mda wowote anaweza kubadilika.unamueleza siri zako zote baadae anazitumia kama siraha kukuangamiza we mwenyewe
 
Aisee....kumbe huko makazini mnaliwa tuu kirahisi hivyo.
Kwanza huyo mume wako naye bewege.

Ssa anakasirika nini mke kwenda kutombwer nje...sii anaonja de libolo tofauti.

Ebu mwambie aache ushamba bwana. Karne ya sasa haya mambo ya kuchapiwa vitu easy tuu.

Ni kukaa chini na kuulizana sasa bby umejifunza style gani mpya huko
[emoji2]
 
Dada mmeo hatapona kwa kumfanyia mambo ya nje ya mwili,mmeo kaumia nafsi.Hivyo inahitajika nguvu ya kiroho kuponya majeraha yale so ushauri wangu okoka ili upatanishwe na Mungu akusaidie jinsi ya kumwombea ndipo utaokoa ndoa yako hivihivi utajikuta umepoteza kila kitu
 
The only thing kumpa jamaa amani ni ww kuomba talaka kwa sharti la kumuachia mali yote au uchukue ulichochuma na sio kugawana nae mali. Muache mkaka wa watu na mali yake. Ww nenda kwa uliyeanzisha nae mahusiano.
Kashaacha KAZI Sasa Ndo shida hyoo
Ila honestly sijawahi cheat na simuelewi mwanamke anaemcheat mmewe labda mme Yuko jela siwezi msemea ila mnaishi wote ndani...
Noooo...nooo..nooo....
Wanaume wake zenu wanaliwa mnoo makazini
 
Unamsalitije mumeo kiboya hivyo? Yaani ulishindwa kabsa kusimamia uongo mpk ukakiri.. m'ume ht umkamate live hakubali, wew ni nini kilikufanya ukiri, ht km kulikuwa na vithibitisho tosha hukutakiwa kukubali kwa mustakabali wa maisha yenu
 
Hilo ni jeraha la ndani huwez mponya Kwa vitu vya nje. Kila dhambi Ina gharama yake ya kulipa.
Jipangie ratiba, ya kuomba na kufunga kumuombea Mungu amponye huo Moyo ili akae sawa.
Tena sio tu kumuombea akae sawa, uombe Toba Kwa Mungu Kwa kuruhusu uovu ukapita hapo, na umebomoa nyumba yako Kwa mikono yako, hakikisha unaomba Toba vizuri,

Cz wewe umesababisha wewe usimtafute shetan hapo,

Sijui Mungu atakujibu lini, ila atakujibu, hiyo iwe ni agenda yako ya maombi Hadi uone matokeo Kwa Macho.

Usikemee shetan na tayar ulimpa uhalali wa kuingia ktk ndoa. Omba Toba Ili Mungu akusaidie.

Sababu unaweza fanya yote, moyo wa binadamu kaumba Mungu, na yeye ndiye anaweza kuufinyanga tena. Huwez mbadilisha Kwa akil zako huyo mumeo.

Usitegemee uombe siku Moja ukaacha, ugonjwa unaingia Mara moja lakini dawa inafany kazi Kwa siku kadhaa, inategemea na aina ya ugonjwa
 
Ilitokea mara moja dear,
Noo...as a woman.unapaswa kwanza kuheshimu kiapo,mume na familia,Mimi nilishapata scenario kama Yako na nilikataa macho makavu with big no Huku namtazama usoni
Tuseme kwelii Ht we ulitaka pia hiko kitu kitokee ungekua serious kabisa asingekufanya kitu Wala Nini
Mwanaumee anaangalia respond Yako,ikiwa positive unaliwaa...
Km sitaki kuliwa Ht univue nguo hunili ng'ooo
Sidhani km ulibakwa dada
 
Back
Top Bottom