Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Ndiyo maana nawashangaa wanawake mnaoingia kwenye ndoa. Unawezaje kulala na mtu mmoja tu muda wote??

Kuwa huru, ishi huru, ishi peke yako ili uchague nani wa kulala naye, ubadilishe ladha na aina ya ddyudyu.

Ushauri wangu kwako. Badilisha staili ya kungonoka, anza kumpa tigo, fanya BJ na uwe unameza shahawa zake, mbuzi kagoma kwenda kwa sana na badilisha miguno. Utanishukuru.
Tatizo kila badiliko ndo litanfanya ahisi kajifunza kwa mchepuko
 
Ushauri wangu japo utauona wa kijinga ni huu.

Tafuta mwanamke mwingine unae ona mzuri kwa mmeo fanya ufanyavyo waingie kwenye mahusisno wanyanduane kama mara tatu nne hivi mmeo anogewe nae alafu siku andaa tukio ufumanie alafu huyo mwanamke amuache mmeo kikatili.

Atarudi nyuma na usiongee chochote wala kumlaumu wewe uwe mtu wa kukaa na kujilizaliza hata wiki nzima.

Niamini atajiona mjinga na kurudi kwako na kuona huko nje anapoteza muda tu na roho yake itakua nyeupe itasuuzika kuona nae amechit.


Dada matatizo magumu yanahitaji njia ngumu kuyatatua sio rahisi kama wengi wanavyo kushauri. Ila hakikisha huyo dada unaingia nae mkataba kuwa ni dili mnacheza.
Hakuna mwanamke wa Kufanya hilo dili bila kuharibu Kazi mkuuu... yani kitaumanaa tuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] siku isiyo na jina demu wa dili atabeba mimbaa kama sio Kumchana mume wa huyu demu ukweli wote.
 
Hiyo ndio imekwisha hivyo, hakuna tena ndoa hapo, wewe jua tu ndoa ndio imekufa kilichobakia ni kuzikwa tu. Hata itokee miujiza gani, huyo mume hatarudi tena kuwa kama hapo awali. Unaposikia ndoa za watu zimevunjika, wanandoa wameachana au wanandoa wameuana basi visa na matukio yaliyopelekea kufikia hapo ni kama hicho kisa chako.

Pia jiandae kwa lolote, mume anaweza kugeuka na kuwa mzinzi, mlevi au mkatili. Asipojimaliza yeye basi atakumaliza wewe.
Mambo ya ndoa na mahusiano kuyashauri inahitaji hekima sana kwa kweli hasa kwa ambao hatujawahi kuingia

Huyu dada tatizo kajiweka victim sana, akubali makosa na akubali kujisamehe kwanza yeye na nafsi yake lakini pia ampe space jamaa ya kupumua, asilazimishe kufanya chochote tofauti .. Focus aweke kwenye watoto tu na kutenda yanayopasa kutenda kama mke bila kutegemea reaction ya mwanzo kwa sababu ni natural kwa kovu alilolisababisha

Kulazimisha na kujikumbusha yaliyopita yanamkosesha hata yeye furaha na ni ngumu kutoa positive energy kama ndani kwako kupo negative..

Kingine ajiingize kwenye maombi, kuna mambo ambayo yapo juu ya uwezo wetu kifikra, kihisia na kiroho.
Akabidhi kila kitu kwa Mungu wake ili kila akiamka, ndoa isiwe gereza ila sehemu yake nzuri ya kuishi. Akijipenda, akahamisha focus kwa watoto kama kitu kinachombakiza ndoani lakini kutenda yanayompasa kufanya pasipo kulazimisha kitu kwa mumewe, automatically tension iliyojitengeneza baina yao itapungua na hakika Mungu atafanya kitu...
 
Huu ushauri inategemea na aina ya mwanaume na aina pia ya mwanamke.....yeye kacheat afu kalowa [emoji16][emoji16][emoji16]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani itakuwa alikuwa analowaa kabla ya kuliwaaa..Sasa uliwe na condom unaendeleaje kulowa...??? Au jamaa alikuwa kibamia..
 
Vumilia jamaa atakuja kukusamehe mkiwa wazee na mtaishi kwa furaha na amani kuitafuta pepo ila kwa sasa hata mimi siwezi kukusamehe tena una bahati jamaa bado anakula mzigo. Mimi hapana yani ningeleta chuma kipya hapo hapo ndani wewe ubaki mlezi.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani itakuwa alikuwa analowaa kabla ya kuliwaaa..Sasa uliwe na condom unaendeleaje kulowa...??? Au jamaa alikuwa kibamia..
Hatari aisee huyu alimpenda sana yule kijana sio kwa kulowa kule
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yani itakuwa alikuwa analowaa kabla ya kuliwaaa..Sasa uliwe na condom unaendeleaje kulowa...??? Au jamaa alikuwa kibamia..
Alilowa kabla ya kuvuliwa nguo 😁😁😁 sema nyege zilikuwepo.
Yupo demu anajielewa kwenye show yaani anavua nguo zote anaingia bed unajilia dodo kiulaini.
 
Yani ukimfumania mkeo au ukijua amecheat hata ukiingiza dushe umwagi kabisa. Mbunye unaiona ya baridi kama maji ya Kwenye friji. Kiufupi kila siku nazidi kuamini islamic ni dini ambayo ipo sahihi sana katika maisha yakawaida ya binadamu. Tunapigwa sana fix kanisani.
 
Hiyo ni tabia yako....Ina maana wewe una utoto kiasi gani mpaka ushindwe kugundua kuwa laptop ilikuwa ni mtego tena Kwa mtu aliyekutamkia kwamba anakupenda. Mapenzi uliyoyafanya ni hulka ya mawazo yako juu ya huyo mchepuko wako.

Tabia ni kama ngozi ukiipaka dawa inabadirika rangi, dawa ikikosekana inarudi kwenye rangi yake ya awali.
 
Back
Top Bottom