Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Hakuna mwanamke wa Kufanya hilo dili bila kuharibu Kazi mkuuu... yani kitaumanaa tuuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] siku isiyo na jina demu wa dili atabeba mimbaa kama sio Kumchana mume wa huyu demu ukweli wote.
Uko sahihi
 
chakuchosha Zaidi Mpk mbili usiku Bado mpo tu kaahh
Ingekua bahati mbaya km anavodai Kum na mbili angekua nyumbani ila alinogewa na shoo na wahuni wanavojua kukamia
Mie nilijua mapema kuwa Sara mzuri alikwisha mwingiza moyoni huyo mjuba hivyo haikutokea kwa bahati mbaya, na ingekuwa hajamuingiza moyoni asingeingia hata humo ndani kwa jamaa kisa anafuata laptop.

Kwa kifupi alifuata mgegedo na akaupata
 
Nikimtaja wataanza kumtolea macho hubby wangu [emoji3059]
Nitajie mie tu ili nianze maombezi asije ibiwa na kukukimbia mazima.

Nitamuombea kwa kulitaja jina lake yaani utamshukuru Mungu kwa jinsi jamaa atakavyo tulia na wewe tu.

NB
huwa nafanya maombezi bure kabisa siombagi sadaka, sina hata kapu la sadaka home kwangu so usinione kuwa ni mwizi wa hela za watu, mie huombea tu na kuacha Mungu ajibu maombi.
 
Nakuelewa kuwa ulipitia kipindi kigumu sana na unaumizwa na hali ya ndoa yako. Ni muhimu kutambua kuwa hali hii imekuathiri kwa muda mrefu na inaonekana unapenda sana mume wako na unatamani kurudisha uhusiano wenu wa awali. Hapa kuna ushauri wa jumla ambao unaweza kuzingatia:

1. Mawasiliano: Ni muhimu kuwa na mazungumzo ya wazi na mume wako. Eleza jinsi unavyojisikia na jinsi unavyojisikitisha kuhusu tukio lililotokea. Eleza kwa kina jinsi unavyompenda na jinsi ulivyokosea. Toa mwanya wa mazungumzo na sikiliza pia hisia na maoni yake.

2. Uaminifu na uwazi: Onyesha uaminifu wako kwa mume wako na uhakikishe kuwa hali kama hiyo haitajirudia. Kuwa wazi juu ya hisia zako na tamaa yako ya kurekebisha uhusiano wenu. Weka mipaka na hakikisha kuwa unatekeleza ahadi zako.

3. Usikivu na kuelewa: Jitahidi kusikiliza na kuelewa hisia za mume wako. Anaweza kuwa ameumizwa sana na kuvunjika kwa uaminifu na inaweza kuchukua muda kwake kupona. Kuwa na subira na muonyeshe kuwa unathamini hisia na maumivu yake.

4. Kujenga upya imani: Kurejesha imani katika uhusiano wenu itahitaji muda na juhudi za pamoja. Weka mkazo katika vitendo vyenye uaminifu na uwazi. Tengenezeni muda wa kukaa pamoja na kufanya mambo mnapofurahia na kukuza upya uhusiano wenu.

5. Msaada wa kitaalam: Ikiwa unahisi kuwa nyinyi wawili mnahitaji msaada wa ziada, fikiria kumwona mshauri wa ndoa au mtaalamu wa saikolojia. Wataweza kuwasaidia kufanya kazi kupitia changamoto zenu na kutoa mwongozo unaofaa kulingana na hali yenu maalum.

6. Subira na uvumilivu: Kurejesha uhusiano wa awali baada ya kuvunjika kwa uaminifu ni mchakato mgumu na unachukua muda. Kuwa tayari kuvumilia changamoto zinazoweza kutokea na kuwa na subira katika safari yenu ya kujenga upya imani na upendo.

Ni muhimu kukumbuka kuwa kila uhusiano ni tofauti, na hakuna suluhisho moja sahihi ambalo litafanya kazi kwa kila mtu. Ni jukumu lako na la mume wako kufanya maamuzi yanayofaa kulingana na hali yenu na kujitahidi kuimarisha uhusiano wenu.
Asante sana,
Japo sijawahi kas nikaongea nae jinsi ninavyojisikia nikimuona si mtu wa furaha . Nitajitahidi kufanya hasa ilo la kwanza.
 
Asilimia kubwa ya wanaume wanauliwa na wake zao kimya kimya bila kujulikana. Sababu kuu ni mbili:-

1. Mwanamke akitoka nje ya ndoa akanogewa, ni rahisi sana kumtanguliza mbele za haki mume wake ili apate uhuru wa kula vitamu vya nje.

2. Mme akigundua ya kwamba mke wake ametoka nje ya ndoa, hawezi kusahau kamwe na atakufa kwa stress kama ataendelea kukaa na huyo msaliti. Wanaume tuko weak sana katika kukabiliana na stress.

N.B
Sheria ni moja, kama umegundua mke wako amesaliti ni kuachana naye kwa ajili ya kulinda uhai wako na uhai wake maana unaweza kuua pia. Hii ni principal ukienda nayo against lazima utakipata cha mtema kuni.

Mtu hafi kibwege hivyo kama nzi...
 
Kama story hii ni ya kweli, Fanya hivi.

1. Amini hilo tukio halitasahaulika, umefanya umefanya bhaaas. kwahiyo usifanye juhudi eti mambo yarudi kama mwanzo.

2. Kama hakuna hatari za domestic violence, usivunje ndoa kabisa kama mlivyoshauriwa na wazazi wa pande zote mbili, wana busara ndo maana wamewashauri hivyo.

3. Anza kujifunza kuishi naye kama business partners, mambo ya watoto kusoma, jinsi ya kuweka sawa biashara flan, uwekezaji flan..., Hapa kazi tu, akitaka mchezo na we usiwe na haraka naye mpaka akuseduce kdg..., Ila usimnyime hata siku moja.

4. Ondoa lile gubu la kike kabisa, huna muda wa kuringa, kubembelezwa nk nk, sasa hivi ni mwendo wa kutumia akili na kukubaliana kama watu wazima.

5. Tumia ushauri wa kumfanya naye acheat akose uhalali, kama ulivyoshauriwa hapo juu. .

With time atapona, ataona nia ya dhati ya kutaka kuendelea na ndoa. Hata isipokuwa hivyo, basi watoto watakuwa wamekua wamesoma na kupata haki zote.

Hakuna haki yako hata moja itapotea kwa kufanya hayo, kucheat hakukuondolei haki hata moja kwenye stahiki za vitu mlivyotengeneza pamoja, so endelea na bidii hiyo hiyo hupotezi.


Ukivunja kama lesbians, mashoga, na vijana wengine wa hovyo wanavyokushauri yatatokea yafuatayo.

1. Hiyo alama kwamba ulikuwa mke wa mtu na ndoa ikakushinda haitofutika, hivyo hicho kitu bado kitakuandama, hujakimbia kitu.

2. Hakuna mwanaume wa maana atakutaka, labda kula na kusepa, hata huyo kijana uliyemloweshea naye atakukwepa kiakili. utajikuta upo katikati huna anayekutaka, utakuwa tu mpira wa kona, nami ntakuja kama mshauri na mfariji nile nisepe. jinamizi la kukaa kwenye ndoa kuheshimiwa litaendelea kukutafuna kiakili.

3. Watoto wataishi maisha ya ovyo, mana hatujui mama wa kambo atakayepatikana atakuwaje, au baba wa kambo atakuwa na tabia zipi kama utaenda nao, ndo tunakuja kukutana na mzazi amelala na mwanaye tunashangaa kumbe huu ukambo kambo ndo unasababisha.

Niishie hapa kwa sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
All of the above.
Ila kweli evu tutumie logic kidogo. Mke wako umemuoa ambaye wewe umemkuta tayari ameshaonja mboo kama kumi hivi. Wee mwenye kabla ya kumuoa umemgegeda wee ndio ukaamua kumuoa. Je kweli ni kweli kwamba katika miaka yote mtakayoisbi kwenye ndoa hatachepuka? Tuwe wakweli
Na hata ukimuoa bado atayombwa
IMG_20230523_045525.jpg
 
Kila nikijiweka kwenye position ya huyo mwanaume sio ukiendelea kua mke wangu au kuishi kwangu toka siku hiyo....Haimake sense kuishi na mwanamke ambaye hauna hisia nae wala haumuamini tena.Sorry for a bitter truth ila you belong to the streets,the streets called and you answered so hapo ni Mungu tu ndo anaweza badili kinachoendelea.
 
Asante sana,
Japo sijawahi kas nikaongea nae jinsi ninavyojisikia nikimuona si mtu wa furaha . Nitajitahidi kufanya hasa ilo la kwanza.
huna unachojutia wewe.Ulipenda ulichofanya na kwakwel unacho stahili ni kumwacha mshkaji aendelee na maisha yake..Kawa mjinga sana huyo jamaa kuwasikiliza hao wazee walimsisitiza asikuache.
SAsa wewe endelea tu kukaa hapo utaondoka na ulemavu siku sio nyingi kama sio kufa kabisaa haklaf jamaa akafungwe maisha mwisho watoto wenu wabaki yatima kisa upumbavu wakomShetan hajamalizana na wewe.anataka akutumie zaid kumtia baba wa hao watoto jela af wewe uende kaburin maana hapo balaa alilolenga shetan ni kuwaangamiza na kuharibu maisha ya hao watoto wabaki yatima.
 
All of the above.
Ila kweli evu tutumie logic kidogo. Mke wako umemuoa ambaye wewe umemkuta tayari ameshaonja mboo kama kumi hivi. Wee mwenye kabla ya kumuoa umemgegeda wee ndio ukaamua kumuoa. Je kweli ni kweli kwamba katika miaka yote mtakayoisbi kwenye ndoa hatachepuka? Tuwe wakweli
achana na haya mambo banaaa.. vitu vingine unatakiwa ku imagine tu
 
Dada pole kwa yaliokukuta,
Kwa kawaida sisi wanaume tuna wivu sana kwa wake zetu.

Yani mume akijua mkewe analiwa na mtu mwingine daa tunapata maumivu makubwa sana.

Tena tunaweza tusisahau maishayetu yote.

" ni bola kuwa mchafu hata pia kuwa hujui kupika lakini si kwenda kutoa utamu kwa kidume kingine".

Kusahau ni MUNGU mwenyewe tuu ndo anaweza kutusaulisha.
Basi kama ndo hivyo basi mume mwenyewe awe mzizi sana ndo atachukulia kawaida.

Ndo maana wanawake wanaotuelewa sisi wanaume kuwa tunawivu sana akitaka kucheat.

Anakuwa makini sana, wengi wanategea mume labda awe amesafiri kikazi ndo anacheat.
Au wengi wanacheat Asubui au mchana.

Wanawake wanaocheat jioni na night ni wachache sana kwani mume wake ni rahisi kumsitukizia.

Pole dada, vumilia tuu.
" Mwanamke mpumbavu hubomoa nyumba yake kwa mikono yake mwenywe"
Unachepuka masaa matatu si unawazimu wewe.halafu unapata na ujasiri wa kusoma text ya mchepuko usiku huohuo. We mzoefu huna lolote
 
Back
Top Bottom