Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Generally nyie wanawake ni dhaifu sana( japo sio wote) Always hamjui kitu mnachokitaka in life, japo umejutia kosa lako.
Yani wiki moja tu inakushinda kuvumilia? Hivi mtu usiyempenda unawezaje kuwa wett akikushika? Yani unawekewa mtego rahisi na unajaa 100?
Watu wanaenda kozi miezi 3 msituni , unarudi mke yupo ngangari kinyama, watu wanaenda OP Darfur huko, mke anabaki meizi kibao hapigwi dushe ( japo wengine wana cheat)

Anyway wa kulaumiwa ni huyo dogo , hakika jamaa angedeal na huyo mpuuzi wa kazini kwenu kwanza.
Mwenye makosa ni mwanamke na wala siyo huyo jamaa wa huko kazini, wewe imagine wanawake wote wanaosumbuliawa kwa kutongozwa sana, wachukue maamuzi kama ya mtoa mada eti kisa sijui wanasumbuliwa sana, you think hiyo itakuwa ni akili au upumbavu na kutokujielewa?
 
Ni ngumu cute,bila kuremba huo ndo uhalisia....kikubwa tulia tu endelea kumweshimu na kujishusha sikuzote.....afu acha kumsifu Kwa bed maana utamwongezea hasira atakuona mnafki
Exactly akubaliane na hali tu, ameyakanyaga, wanaume huwa tunaumia sana iki happen situation kama hiyo.
 
Mwenye makosa ni mwanamke na wala siyo huyo jamaa wa huko kazini, wewe imagine wanawake wote wanaosumbuliawa kwa kutongozwa sana, wachukue maamuzi kama ya mtoa mada eti kisa sijui wanasumbuliwa sana, you think hiyo itakuwa ni akili au upumbavu na kutokujielewa?
Ni kweli, ila hata huyo Dogo wa kazini ana makosa yake, wewe unajua ni mke wa mtu lakini bado unaendelea kumtongoza na kumuwekea mitego makusudi .
 
Huyo jamaa kuna siku Atakukula tu tena.. WATU WANAPASHA VIPORO KIRAHISI SANA
Hii iko wazi and the way alivyosifia kwenye uzi wake kwamba gemu ilianza sa kumi sijui mpaka sa mbili ndo akashtuka, obviously kuna wakati akiwa katika kuwaza lazima atakuwa anamkumbuka jamaa.
 
Ni kweli, ila hata huyo Dogo wa kazini ana makosa yake, wewe unajua ni mke wa mtu lakini bado unaendelea kumtongoza na kumuwekea mitego makusudi .
Bro kutongozewa mkeo ni situation ya kawaida sana na ina happen kwa ndoa nyingi sana,, all in all swali linalobaki ni jeh mkeo anajitambua? Jeh anakupenda? Jeh anakuheshimu?
 
One ya point 14 ,ukaingia udsm form six ,ndo naiskia kwako[emoji854]

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Kama ni kweli basi walikuwa na Raha one ya 14 A level ila pia mwalimu mmoja aliniambia enzi zao kulikuwa hamna division Bali ukipata "S" tu unaandikiwa umefaulu sawa na aliyepata D,C,B,A
 
Nenda kaolewe na mchepuko
Sasa hapo hamkomoi mkewe... mkewe anafurahi kisiri siri na anakunwa nje na hawara zake, au ukute anawaleta hapo hapo wamkune, mumewe akiwa hayupo. Jamaa anajikomoa mwenyewe. Ni lofa!

Sent from my SM-G800F using JamiiForums mobile app
kweli kuacha kumgusa na huku bado uko nae kwa dunia ya leo bado ni ujinga kwa upande wa mwanaume na kutojitambua kwa mwanaume. fukuza tafuta mtu mwingine uishi nae uinjoy maisha. kisa cha nini kujitesa.

"kwa habari ya uzinzi amepatikana na kosa hilo mwache"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Akati Niko shule miaka hiyo Kuna jamaa alikuwa anaimba music ,ni msanii wa mbele, alikuwa anasema hivi,. ;there is no excuse my friend,for breaking my heart x2,,,,mi nilielewaga hapohapo tuu,




Ila mumeo ana Tabia zote za kiume, asilimia 97 he is the man, hizo tatu ni za kuwasikiliza wazazi,


NB:nyie wanawake epukeni sana kuwasaliti wanaume ambao hamjawai kuwaona na michepuko Wala kushika sms za mapenzi katika cmu zao,na simu zao Zina Tabia sawa na remoti za tivii sebuleni,Haina pass word na Kila mtu anatumia, Hawa Huwa Wana mambo machache akijua umemsaliti, 1)akuache hata ulie vipi 2)akuue kabisa, 3) ajiue ,,,,,chunguzeni ,,,,,
Huyo mumeo ni kitu Cha hatari mpaka hapo, ukichunguza lazima alikuwa na Tabia hizo, Omba Mungu,



Kumsaidia mruhusu atoke nje, anaweza akarudi au asirudi,mana pia ni wacheshi kwa watu waliowazoea ,ila wapole sana kwa wageni unaweza SEMA Huwa haongei, ni watu wa mood, akitoka anaweza akabalance hisia kwamba kumbe ni kawaida tuu, au akakuona wa ovyo zaidi,
Sahihi kabisa..
 
Huyo mwanaume,katuwakilisha wànaume wengi.Siwezi kukupenda kama zamani,endapo nikijua we ni msaliti na siwezi kuamini kama hunioni mi ni mjinga kuliko huyo uliyechepuka nae.
Nitakudanganya kua nakupenda,lakini ukweli ni kwamba kovu la kunisaliti litakua linayoneshwa kila mara.Olewa na unayempenda,kuepuka kumuumiza mumeo.Usalití una athari kubwa sana hasahasa kama mume sichepuki.Chepuka kama mume wako anachepuka,huyo mumeo hatakua na maumivu kama yule ambaye hachepuki.
 
Imeniuma mno yaani mwenyewe Ni mme wa mtu. Ila mpaka nimeogopa kutongoza mke wa mtu ingawa Nina mchepuko mke wa mtu Ni mwanamke mzuri mno
Kaombe toba mkuu, achana na huo uovu mapema otherwise.....
 
Hamuwezi kuwa kama mwanzo kamwe,sisi wanaume kuna muda tunakubali tu matokeo kwamba tayari nishachapiwa ila kamwe hatusahau wala kurudi katika hali ya awali.
Hapo jamaa anaishi na wewe ili tu kumalia muhula wa ndoa ulosalia,ila imani kwako hana tena.
 
Wewe hutoaminika tena siku zote za maisha yako. Kilicho baki kaa nae ulee watoto wenu na kumuongezea mwingine na mwingine , usitegemee akuamini wala kukuthamini tena kama mwanzo

Mwanamke ukisha chiti na mumeo akajua thamani yako imeshaisha hataufanye nini huwezi kuwa na thamani ile ile..

Nb. Mwanamke msaliti hasamehewi hata kidogo ila unampuuzia tuu.
 
Back
Top Bottom