Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Umewahi kumsaliti mume wako? Ulitumia njia gani kurudisha mahusiano yenu kama mwanzo?

Ushauri wangu japo utauona wa kijinga ni huu.

Tafuta mwanamke mwingine unae ona mzuri kwa mmeo fanya ufanyavyo waingie kwenye mahusisno wanyanduane kama mara tatu nne hivi mmeo anogewe nae alafu siku andaa tukio ufumanie alafu huyo mwanamke amuache mmeo kikatili.

Atarudi nyuma na usiongee chochote wala kumlaumu wewe uwe mtu wa kukaa na kujilizaliza hata wiki nzima.

Niamini atajiona mjinga na kurudi kwako na kuona huko nje anapoteza muda tu na roho yake itakua nyeupe itasuuzika kuona nae amechit.


Dada matatizo magumu yanahitaji njia ngumu kuyatatua sio rahisi kama wengi wanavyo kushauri. Ila hakikisha huyo dada unaingia nae mkataba kuwa ni dili mnacheza.
Wamalize kimafia😂😂ukute wa nje kanogewa akamwaga Siri 😂😂
 
Hivi ingekuwa mwanaume ndo kakosea ingekuwaje
Kafanya Kosa sawa na kaomba msamaha katubu kuwa kakosea anataka mkewe afe Kwa presha tu 3yrs nyumba Hana amani

Akitaka apewe atention ampotezee kwanza wanasema ukikimbiza kinachokimbia ndo kinazid kukimbia kuondoka awe busy na mamboyake alee wanae ale vizuri ananepe apendeze mume ndo ataamua kusamehe au kutosamehe ukijitirisha huruma Huwa mnajiona nyinyi ndo malaika kumbe wapi
Umeongelea roho au nafsi ya mwanaume katika kusamehe usaliti wa ndoa kirahisi rahisi sana.
Kwenye hilo wanaume wapo tofauti sana na wanawake, najua hutanielewa labda uumbwe na roho kama ya mwanaume.
 
Hata mimi tu siwez kumsamehe mke akichepuka, ni bora mngeachana tu ile mwanzo.

Siku ukiteleza ukafanya kosa jingine jamaa atakumaliza huyo, hasira zake hazijaisha hata kidogo.

Kama ni watoto mtalea tu hata mkiwa mbalimbali ili kulinda uhai wenu.
mimi nliliweka wazi hilo mapema sina msamaha kwenye hilo yani mke wabgu nliwambia hata dunia nzima iniombe samahani sitosamehe kabisa, siwezi kwa kweli
 
Aisee....kumbe huko makazini mnaliwa tuu kirahisi hivyo.
Kwanza huyo mume wako naye bewege.

Ssa anakasirika nini mke kwenda nje...sii anaonja de libolo tofauti.

Ebu mwambie aache ushamba bwana. Karne ya sasa haya mambo ya kuchapiwa vitu easy tuu.

Ni kukaa chini na kuulizana sasa bby umejifunza style gani mpya huko
Kwa mwanaume rijali, kuchapiwa inaumiza moyo Sana!
 
Kwani kila anaye chepuka haridhishwi na mumewe?
Huyu anasema mumewe alikuwa anaumwa kwa siku kadhaa hawakufanya tendo, kosa la mume ni lipi? Kuugua?

[emoji1787][emoji1787] Na wewe unaamini kweli alichepuka sababu ya mume kuumwa?! Hizo ni sababu tu za kijinga za kutaka kujitetea, ila ukweli kuna kitu alitaka kujua na si umeona alivyomsifia huyo jamaa!

Na km ule mchepuko ungemsaidia na kumpenda hata asingekuja kuomba ushauri sababu alijua kumkuna kipere
 
Yawezekena pia tatizo liko kwa mwananke pia, (la kisaikolojia) anajistukia na kujihisi his yawezekena jamaa hajabadilika kivile.
Sawa lkn mtu kuendelea Kuishi mkiwa hamuelewi sio kitu kizuri haijalishi amekukosea kias gani
 
Mhn! Hi dizain kama chai😄

Otherwise usitafute sababu ya kwenda kuchukuwa laptop kwa mtu aliyekutongoza. Wtf.
Hawezi kusahau huyo jamaa. Kama siyo hao watoto angekutoa baru.
 
Habari za weekend, Jamani wanawake mwenzangu naombeni ushauri.

Mimi ni mama nina umri wa miaka 38 nina watoto 3.

Kwa ufupi mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi kwa furaha sana, tena furaha sana, tulikuwa kila weekend lazima tutoke out na kufanya shopping za kawaida tuu. Tulikuwa ni watu wa furaha na visuprise kibao, na zawaidi sana tuu.

Nakili kwa kusema mume wangu alinipenda sana, kuna kipindi alininunulia gari la Toyota vixz ni kadogo hivi.

Na alikuwa ananijazia mafuta full mimi ni kujimwaga na watoto wangu mpaka basi. Alikuwa ni mtu wa kunifanyia surprise mpaka basi, na nakili katika siku zote hizo mume wangu sijawahi hisi anafanya lolote lile baya kwangu. Alikuwa ni mume mzuri na baba mzuri tuu.

Sasa shida ilianza sehemu niliokuwa nafanya kazi kulikuwa na mkaka mmoja nilizoeana nae kama mfanya kazi mwezangu tuu, lakini akaanza kunitongoza ,mimi nikamwambia kuwa ni mke wa mtu nina ndoa yangu ila yeye hakujali, na wakati wote huwo sijawahi kumsaliti mume wangu hata siku moja.

Alinishawishi sana mpaka nikawa naona kelo, nikawa simjibu lolote alinisumbua kama 4 months hivi. Sasa siku moja aliniazima laptop yangu achukue movie, mimi napenda sana movie so nadownload kwenye pc yangu. Lkn alienda nayo nyumbani kwake.

Nikamwambia mbona umeondoka nayo akasema njoo uje kuchukua home coz mimi mwenyewe pc yangu niliiacha home.

Mimi si nakaenda bhana , baada ya kufika kwake akanikalibisha home kwake ni sehemu mzuri tuu. Lkn akaanza kama anataka sexy na yalikuwa majira ya 10 kasolo jioni maana ndo mda natoka ofisini.

Sasa kwa mda hule nilikuwa sijakutana na my hubby kama 1 week coz alikuwa anaumwa. Alivyonishawishi nilipatawa na hisia nikajikuja tunafanya ngono japo nashukuru alitumia condom maana alikuwa nazo home kwake.

Ukweli kuwa shughuli ilikuwa kubwa maana nilikuja kujishitukia ilikuwa ni saa 2 kasolo jioni. Nikiaangalia simu yangu nakuta nakuta missed call kama 8 za mume wangu na na sms 6, akiwa ananiuliza upo wapi mbona upokei simu , sms ya mwisho aliniambia tu ushaanza uhongo.

Nilishituka nikaamua kumwambia mume wangu ananitafuta si unaona akajibu ka mwambie tuu ulikuwa kwenye kikao.

Akaniambia oga kwanza ndo uwende home mimi nikaamua kuoga pale nimemaliza kuoga na chukua nguo kuvaa nakuta sketi na chup* yangu imeloa nikaja kujua kuwa ni uteute wa uk* maana alinishika shika na sehemu za nje ya uk* wangu na kuniingiza vidogo.

So uteute ulikuwa mwingi mpaka sketi ya niliyotoka nayo home ilikuwa imelowa kwa nyuma.

Nilijuta sana usiku ule na mda ulikuwa ni kama saa 3 kasoro hivi ndo natoka pale nikamtumia sms nakuja mume wangu akanijibu sawa.

Nafika home nikakuta geti limefugwa nikashuka kwenye gari najaribu kufungua limefugwa nampigia njoo ufungue geti haongei na anakata simu, kwenye gari nilikuwa na kanga so nikachukua kanga nikajifunika ili my hubby asione sketi iliyolowa kwa nyuma.

Siku ile nilikaa nje mpaka saa 6 ndo akaja kunifungulia geti, akaniambia alikuwa anasubiri watoto walale kwanza.

Sasa kwa mshituko nilibaki natetemeka sana naingia ndani sina ujasili kabisa akaniuliza ulikuwa wapi , mimi nikamjibu tulikuwa kwenye kikao ila sorry kipenzi sikukuambia , akaniuliza tena ulikuwa wapi na kikao kilifanyika wapi mimi si nikamwambia ofisini.

Kumbe yeye alikuja ofisi saa 12 jioni. Akakuta ofisi imefungwa, mume wangu ajawahi kunizaba kibao alinipiga kibao kimoja kikali sana.

Nilipiga kelele Sasa ile nainuka kanga si ikanivuka, mume wangu akaniona nyuma nimelowa.

Alinishika na mimi nilikuwa sitaki anikague ila kwa vile yeye ni mwanaume alinishida nguvu, na kufanikiwa kuniangali na akajua kuwa nimemcheat.

Akaniacha mimi kwenda chumbani nimerudi sebuleni nimechukua simu yangu sms imeingia ya jamaa yule ananiuliz mume wako kakuzingua na samahani sana kwa haliyotokea.

Ile sijamaliza naendela kuperuzi akanipokonya simu na kosoma sms nyingi , kisha akasibitisha kuwa nimemcheat.

Alinifukuza nje na siku ile nilikaa nje ya nyumba mpaka asubui.

Nilijitahidi kumwamba msamaha ilishindikana nikaenda kwa rafiki mmoja ni mama mtu mzima nikamueleza basi akaamua kwenda kwa mume wangu kuongea nae ila ilishindikana. Nakumbuka ofisini sikwenda kama 2 weeks hivi.

Mume wangu si akafikisha mpaka kanisani kuwa anataka kuvunja ndoa niliitwa na watumishi na na kujaribu kuweka sawa ila aliendeleza na nia ya kuniacha na yeye alidai kapata maumivu makali kwa sababu hajawahi kunicheat.

Ugomvi ulifika mpaka kwa wazazi wetu wote wawili, ofisini kwa kipindi kile nikawa naenda siku moja moja huku nalia kila siku, yule mwanaume aliniuliza nikamwambia ndoa yangu imeingia Dosali aliniomba msahama tuu.

Ugomvi uliendela kama miezi 8 hivi, yeye aliendeleza msimamo wake hule hule.

Nilimuomba msahama sana na nikamuahidi sitarudia tena. Na nilijuta sana.

Ila mwishowe alikubali kupokea ushauri wa wazazi wake kuwa tuishi tuu ili kulinda maslai wa watoto.

Na yeye akasema kuwa kazini ndo kulimpelekea yote hayo. Mwishowe tulikubaliana mimi niache kazi na kuwa mama wa nyumbani. Nilikubali kuacha kazi na kuwa mama wa nyumbani kazi ya 550,000 kwa mwezi niliiacha.

Baada ya hio kesi mume wangu alibadilika sana home , alinichukua gari, kutola out kuliisha , surprise na vizawadi vingi vilipotea , na hakuwa mtu wa furaha tena tangu siku ile.
Mpaka leo ni kitu najuitia sana kwa kile kulitokea na hata yule jamaa nilimwambia naacha kazi kwa sababu ya ndoa yangu kwa tukio lile. Aliniomba tuu msamaha.

Nilijaribu kumshawishi mume wangu ili arudi kwa aliyake ya kawaida ila nilishidwa , niliamua kuwa mke bora kwake , kuangaika kumfurahisha ila ilishindika. Hata Sasa kwenye yendo simuoni kama anaenjoy kama hapo mwanzo maana tukiwa kwenye tendo mume wangu alikuwa ni mtu wa kunifurahia sana mpaka kuna kipindi machozi yanamtoka kwa furaha ya tendo. Ila kwa sasa hakuna kabisa.

Sasa wanawake wenzangu ni ishu imetokea 3.5 years ago na imeniathili sana tena sana.
NAOMBENI USHAURI JAMANI NIMRUDISHE MUME WANGU HUYU.

NIMEJUTA SANA KWA LILE. USHAURI TAFADHARI.
Najaribu kuya feel maumivu alionayo huyo Mume wako[emoji24][emoji24]

SO SAD[emoji24][emoji24]

KATAA NDOA, NDOA NI MATESO
 
Nilimuotea wife anatongozana na mshikaji kwenye sms, nikachukua panga kisha nikampigia video call huyo jamaa...nikawa namtandika wife mabapa ya panga ya hatari huku jamaa yake anaangalia kwenye video call. Ni mweupe sana nikawa nikipiga panga bapa kunaacha alama ya panga imejichora mgongoni, mapajani, mikononi, kwenye vigingi kote ni alama za mapanga tu. Nipo nae Hadi Leo ingawa simtilii umuhimu kiivo ni vile tu tuna family ya 3 kids tunaishi kimachale machale tu simjali kama zaman tokea hapo.
 
Habari za weekend, Jamani wanawake mwenzangu naombeni ushauri.

Mimi ni mama nina umri wa miaka 38 nina watoto 3.

Kwa ufupi mimi na mume wangu tulikuwa tunaishi kwa furaha sana, tena furaha sana, tulikuwa kila weekend lazima tutoke out na kufanya shopping za kawaida tuu. Tulikuwa ni watu wa furaha na visuprise kibao, na zawaidi sana tuu.

Nakili kwa kusema mume wangu alinipenda sana, kuna kipindi alininunulia gari la Toyota vixz ni kadogo hivi.

Na alikuwa ananijazia mafuta full mimi ni kujimwaga na watoto wangu mpaka basi. Alikuwa ni mtu wa kunifanyia surprise mpaka basi, na nakili katika siku zote hizo mume wangu sijawahi hisi anafanya lolote lile baya kwangu. Alikuwa ni mume mzuri na baba mzuri tuu.

Sasa shida ilianza sehemu niliokuwa nafanya kazi kulikuwa na mkaka mmoja nilizoeana nae kama mfanya kazi mwezangu tuu, lakini akaanza kunitongoza ,mimi nikamwambia kuwa ni mke wa mtu nina ndoa yangu ila yeye hakujali, na wakati wote huwo sijawahi kumsaliti mume wangu hata siku moja.

Alinishawishi sana mpaka nikawa naona kelo, nikawa simjibu lolote alinisumbua kama 4 months hivi. Sasa siku moja aliniazima laptop yangu achukue movie, mimi napenda sana movie so nadownload kwenye pc yangu. Lkn alienda nayo nyumbani kwake.

Nikamwambia mbona umeondoka nayo akasema njoo uje kuchukua home coz mimi mwenyewe pc yangu niliiacha home.

Mimi si nakaenda bhana , baada ya kufika kwake akanikalibisha home kwake ni sehemu mzuri tuu. Lkn akaanza kama anataka sexy na yalikuwa majira ya 10 kasolo jioni maana ndo mda natoka ofisini.

Sasa kwa mda hule nilikuwa sijakutana na my hubby kama 1 week coz alikuwa anaumwa. Alivyonishawishi nilipatawa na hisia nikajikuja tunafanya ngono japo nashukuru alitumia condom maana alikuwa nazo home kwake.

Ukweli kuwa shughuli ilikuwa kubwa maana nilikuja kujishitukia ilikuwa ni saa 2 kasolo jioni. Nikiaangalia simu yangu nakuta nakuta missed call kama 8 za mume wangu na na sms 6, akiwa ananiuliza upo wapi mbona upokei simu , sms ya mwisho aliniambia tu ushaanza uhongo.

Nilishituka nikaamua kumwambia mume wangu ananitafuta si unaona akajibu ka mwambie tuu ulikuwa kwenye kikao.

Akaniambia oga kwanza ndo uwende home mimi nikaamua kuoga pale nimemaliza kuoga na chukua nguo kuvaa nakuta sketi na chup* yangu imeloa nikaja kujua kuwa ni uteute wa uk* maana alinishika shika na sehemu za nje ya uk* wangu na kuniingiza vidogo.

So uteute ulikuwa mwingi mpaka sketi ya niliyotoka nayo home ilikuwa imelowa kwa nyuma.

Nilijuta sana usiku ule na mda ulikuwa ni kama saa 3 kasoro hivi ndo natoka pale nikamtumia sms nakuja mume wangu akanijibu sawa.

Nafika home nikakuta geti limefugwa nikashuka kwenye gari najaribu kufungua limefugwa nampigia njoo ufungue geti haongei na anakata simu, kwenye gari nilikuwa na kanga so nikachukua kanga nikajifunika ili my hubby asione sketi iliyolowa kwa nyuma.

Siku ile nilikaa nje mpaka saa 6 ndo akaja kunifungulia geti, akaniambia alikuwa anasubiri watoto walale kwanza.

Sasa kwa mshituko nilibaki natetemeka sana naingia ndani sina ujasili kabisa akaniuliza ulikuwa wapi , mimi nikamjibu tulikuwa kwenye kikao ila sorry kipenzi sikukuambia , akaniuliza tena ulikuwa wapi na kikao kilifanyika wapi mimi si nikamwambia ofisini.

Kumbe yeye alikuja ofisi saa 12 jioni. Akakuta ofisi imefungwa, mume wangu ajawahi kunizaba kibao alinipiga kibao kimoja kikali sana.

Nilipiga kelele Sasa ile nainuka kanga si ikanivuka, mume wangu akaniona nyuma nimelowa.

Alinishika na mimi nilikuwa sitaki anikague ila kwa vile yeye ni mwanaume alinishida nguvu, na kufanikiwa kuniangali na akajua kuwa nimemcheat.

Akaniacha mimi kwenda chumbani nimerudi sebuleni nimechukua simu yangu sms imeingia ya jamaa yule ananiuliz mume wako kakuzingua na samahani sana kwa haliyotokea.

Ile sijamaliza naendela kuperuzi akanipokonya simu na kosoma sms nyingi , kisha akasibitisha kuwa nimemcheat.

Alinifukuza nje na siku ile nilikaa nje ya nyumba mpaka asubui.

Nilijitahidi kumwamba msamaha ilishindikana nikaenda kwa rafiki mmoja ni mama mtu mzima nikamueleza basi akaamua kwenda kwa mume wangu kuongea nae ila ilishindikana. Nakumbuka ofisini sikwenda kama 2 weeks hivi.

Mume wangu si akafikisha mpaka kanisani kuwa anataka kuvunja ndoa niliitwa na watumishi na na kujaribu kuweka sawa ila aliendeleza na nia ya kuniacha na yeye alidai kapata maumivu makali kwa sababu hajawahi kunicheat.

Ugomvi ulifika mpaka kwa wazazi wetu wote wawili, ofisini kwa kipindi kile nikawa naenda siku moja moja huku nalia kila siku, yule mwanaume aliniuliza nikamwambia ndoa yangu imeingia Dosali aliniomba msahama tuu.

Ugomvi uliendela kama miezi 8 hivi, yeye aliendeleza msimamo wake hule hule.

Nilimuomba msahama sana na nikamuahidi sitarudia tena. Na nilijuta sana.

Ila mwishowe alikubali kupokea ushauri wa wazazi wake kuwa tuishi tuu ili kulinda maslai wa watoto.

Na yeye akasema kuwa kazini ndo kulimpelekea yote hayo. Mwishowe tulikubaliana mimi niache kazi na kuwa mama wa nyumbani. Nilikubali kuacha kazi na kuwa mama wa nyumbani kazi ya 550,000 kwa mwezi niliiacha.

Baada ya hio kesi mume wangu alibadilika sana home , alinichukua gari, kutola out kuliisha , surprise na vizawadi vingi vilipotea , na hakuwa mtu wa furaha tena tangu siku ile.
Mpaka leo ni kitu najuitia sana kwa kile kulitokea na hata yule jamaa nilimwambia naacha kazi kwa sababu ya ndoa yangu kwa tukio lile. Aliniomba tuu msamaha.

Nilijaribu kumshawishi mume wangu ili arudi kwa aliyake ya kawaida ila nilishidwa , niliamua kuwa mke bora kwake , kuangaika kumfurahisha ila ilishindika. Hata Sasa kwenye yendo simuoni kama anaenjoy kama hapo mwanzo maana tukiwa kwenye tendo mume wangu alikuwa ni mtu wa kunifurahia sana mpaka kuna kipindi machozi yanamtoka kwa furaha ya tendo. Ila kwa sasa hakuna kabisa.

Sasa wanawake wenzangu ni ishu imetokea 3.5 years ago na imeniathili sana tena sana.
NAOMBENI USHAURI JAMANI NIMRUDISHE MUME WANGU HUYU.

NIMEJUTA SANA KWA LILE. USHAURI TAFADHARI.
Daah maumivu ya husband wako nimeyafeel Kabisa, pole Sana ndugu yangu kwa mtihani huo mzigo wewe ndio ulidhamiria kufanya zambi,najua unajutia, mke anauma, Mimi demu tu alinisaliti kwa jamaa dereva boda boda sijui kwa vile sikuwa na maisha ya kivile,niliumia Sana na demu tuliachana mwishowe hadi leo anajutia ktka maisha yake kwani pia alibeba mimba jamaa akakataa kwenda kumsafisha kwani iliharibika mwishowe kwa ubinadamu nilimpeleka hospital akasafishwa kwa usaliti wake alitahayari lkn baadae kwa miaka kwenda akajanambia anatatizo kuhusu uzazi
 
Ulidhamiria kuliwa wewe, mwanamke anaongozwa na hisia zaidi kwaiyo mpaka kuliwa in konde boy voice tayari ulikua unahisia na uyo mjomba kama usipokua makini utaliwa tena kimasihara maana hapo kinachokuliza ni guilty/hatia kuwa mumeo kajua
 
Ushauri wangu we endelea kua mke mwema tu,muwazi na mpende Sana tu..
Hakuna namnaa hapo ya kufanya ila mmegundua Wanawake wanaopewa Kila kitu Ndo wanaongoza kuchepuka etiii
Huwa wanaamini kwamba kwa jinsi waume zao walivyo "nice" basi Wataomba msamaha na yataisha.
 
Omba mtengane kwa muda hata miezi kadhaa. Mweleze unataka kumpa muda apone majeraha yale akishakua sawa mrudi kuishi kama zamani. Akishindwa basi itabidi muachane.
Atazini tena huyu. Kama wiki tu alishindwa wakitengana miezi je?
 
Akati Niko shule miaka hiyo Kuna jamaa alikuwa anaimba music ,ni msanii wa mbele, alikuwa anasema hivi,. ;there is no excuse my friend,for breaking my heart x2,,,,mi nilielewaga hapohapo tuu,




Ila mumeo ana Tabia zote za kiume, asilimia 97 he is the man, hizo tatu ni za kuwasikiliza wazazi,


NB:nyie wanawake epukeni sana kuwasaliti wanaume ambao hamjawai kuwaona na michepuko Wala kushika sms za mapenzi katika cmu zao,na simu zao Zina Tabia sawa na remoti za tivii sebuleni,Haina pass word na Kila mtu anatumia, Hawa Huwa Wana mambo machache akijua umemsaliti, 1)akuache hata ulie vipi 2)akuue kabisa, 3) ajiue ,,,,,chunguzeni ,,,,,
Huyo mumeo ni kitu Cha hatari mpaka hapo, ukichunguza lazima alikuwa na Tabia hizo, Omba Mungu,



Kumsaidia mruhusu atoke nje, anaweza akarudi au asirudi,mana pia ni wacheshi kwa watu waliowazoea ,ila wapole sana kwa wageni unaweza SEMA Huwa haongei, ni watu wa mood, akitoka anaweza akabalance hisia kwamba kumbe ni kawaida tuu, au akakuona wa ovyo zaidi,
Ya ni kwelj simu yake mimi nawez shika mda wowote hana shida yoyote hata password hana
 
Back
Top Bottom