mzee wa kasumba
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 1,440
- 2,952
Ha ha ha haaa kupaapakeKuna siku niliona kijana anampiga msichana pale ferry
Yaani alimtwanga na ndio akawa anashindilia na mkungu wa ndizi kichwani ghafla akachukua lifenesi akampigia kichwan nikaona binti ka kakamaa shingo imeinama sa nkataka niingilie sijui gunzi lilitokea wapi likanipita kwa kichwa nilitetemekaaaaa
Kumbe bhana yule binti alikuwa kalewa afu mwizi sijui ni unga ule maana hata husikii yowe na wala haongei
Baadae akaamka mbiooo nkahisi nimeona series sijui.
Acha Kbs,,, mpaka kesho sisahau hilo tukio. Wapita njia wengine walikuwa kimyaaa nikajisemea hawa watauana huku tunawaona. Weeeeeee wewe bhana hurumahuruma ningetolewa jicho.Ha ha ha haaa kupaapake
Chanzo cha ugomvi ilikuaje mkuu... Maana kipigo hicho hupewa watu maalum (wagoni)Dahhhh.....
Nikiwahi kumpa kichapo yule jamaa, Hadi nikamvunja mkono.
Mwishi niliishia kwenda jela na baada ya kutoka niliapa sinto pigana tena katika maisha yangu hapa duniani, maana nikigundua naweza kuja kuua aiseeee
UgomviAcha Kbs,,, mpaka kesho sisahau hilo tukio. Wapita njia wengine walikuwa kimyaaa nikajisemea hawa watauana huku tunawaona. Weeeeeee wewe bhana hurumahuruma ningetolewa jicho.
[emoji3][emoji3] kumbe ulikuwa unapigana na sensei.... Ha ha haHahaha,tulikuaga tunafanya mazoezi ya kung fu,,
Then kuna siku nikajiona nimefuzu,kwenye kotaz yetu kuna yanki katokea bongodaresalaam,
So nikaamua kununua ugomvi ili kujifanyia assessment,[emoji16][emoji16][emoji847][emoji847]
Aisee nilikula mawashigeli ya taya,,sijakaa sawa nikala roundkick ya shingo,,chini,
Niliponyanyuka kimya kimya nikaongoza njia kwenda home,
I see,imepita miaka mingi,ila huwa sisahau kile kichapo..[emoji3][emoji3] kumbe ulikuwa unapigana na sensei.... Ha ha ha
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1] kwa hiyo kujua kurusha ngumi kwa step ukajiona mwamba Sana?Hahaha,tulikuaga tunafanya mazoezi ya kung fu,,
Then kuna siku nikajiona nimefuzu,kwenye kotaz yetu kuna yanki katokea bongodaresalaam,
So nikaamua kununua ugomvi ili kujifanyia assessment,[emoji16][emoji16][emoji847][emoji847]
Aisee nilikula mawashigeli ya taya,,sijakaa sawa nikala roundkick ya shingo,,chini,
Niliponyanyuka kimya kimya nikaongoza njia kwenda home,
Angekupa na Yokogeri ya koromeo ufe kabisa πππHahaha,tulikuaga tunafanya mazoezi ya kung fu,,
Then kuna siku nikajiona nimefuzu,kwenye kotaz yetu kuna yanki katokea bongodaresalaam,
So nikaamua kununua ugomvi ili kujifanyia assessment,πππ€π€
Aisee nilikula mawashigeli ya taya,,sijakaa sawa nikala roundkick ya shingo,,chini,
Niliponyanyuka kimya kimya nikaongoza njia kwenda home,
Haiku husuana na pesa wala mapenzi, yule jamaa alimwaga pombe yangu na mimi nikaona amenidharau sana.Chanzo cha ugomvi ilikuaje mkuu... Maana kipigo hicho hupewa watu maalum (wagoni)
Ha ha ha haHaiku husuana na pesa wala mapenzi, yule jamaa alimwaga pombe yangu na mimi nikaona amenidharau sana.
Then niliondoka tulipokua nae, na kisha nikasogea jirani kidogo tofauti na pale mwanzo.....
Alicho kosea zaidi ni kuona nimemuogopa na akadhania mimi ni mnyonge na akanifuata nilipo huku akitema mbovu, sasa hapo mimi sikuona ubaya akinitukan bali nilikumbuka tu alivyo mwaga pombe yangu aiseeee... Jamaa nilimfua hadi akapata kiu kabla sijamuwekea alama ya milele.
Hiyo ya Koromeo inaitwa shuto...na inapigwab kwa upanga was kiganja Cha mkono kooni...lazima mutu akuniye akipigwa hiyo washararaaaAngekupa na Yokogeri ya koromeo ufe kabisa πππ
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Hahaha,tulikuaga tunafanya mazoezi ya kung fu,,
Then kuna siku nikajiona nimefuzu,kwenye kotaz yetu kuna yanki katokea bongodaresalaam,
So nikaamua kununua ugomvi ili kujifanyia assessment,[emoji16][emoji16][emoji847][emoji847]
Aisee nilikula mawashigeli ya taya,,sijakaa sawa nikala roundkick ya shingo,,chini,
Niliponyanyuka kimya kimya nikaongoza njia kwenda home,
Kudadeki maana yake ni nini?Ilikuwa lini na sababu ilikuwa nini (kama unafahamu)
Aisee ugomvi sio mzuri kiiuiivyo.
Nimekumbuka siku nilipomshuhudia jamaa amepigwa roba anashindwa hata kupumua (kudadadeki)
Afu watu wanamshangilia tu. Ha ha ha ha!
Sijajua chanzo cha ugomvi ni nini. Jamaa alipoachiwa hakua tena na aptait ya kupigana.
Hebu tupe ushuhuda wako wa ugomvi, ngumi, vurumai, mkong'oto, n.k
Kupaapake ni nini?Ha ha ha haaa kupaapake
Uko jela walikuacha salama?Dahhhh.....
Niliwai kumpa kichapo yule jamaa, adi nikamvunja mkono.
Mwisho niliishia kwenda jela na baada ya kutoka niliapa sinto pigana tena katika maisha yangu hapa duniani, maana niligundua naweza kuja kuua aiseeee